Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.o.!" #a$: 255-22-211%425 PRESIDENTS OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa malengo ya milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani. Rais Kikwete ametoa ushauri huo tarehe 28 Mei,201 mwanzoni mwa mkutano wa kimataifa unaohusu !fya ya Mama na Mtoto "i"ini #oronto $anada, amba%o alikuwa aki"ibu maswali kuhusu matokeo ya malengo ya milenia kuelekea mwisho wa muda wa kuyatekeleza mwakani 201&. 'Tua!i"i#$% &a"% a!'a&( $a)u*a!a"iza na ui!a+i#$a ,a"% ,()% )u"i,(,a-anii#$a au u,a-iia ' Rais amesema na kuwataka Mataifa kuhakikisha kuwa, malengo manane (8) ya milenia waliyo"iwekea, yanatekelezwa,kwa ukamilifu kwani ni malengo mazuri na muhimu kwa "amii zetu. Rais amesema .'aa/a ,a u,ai!a+i#$a na u,a)i!iza $a,a !a"%n0( !anan% )una1%za u&an0a na u)a-u)a !%n0in% na &ia )u$aii#$% u1a $a,a ,a #a#a $a,a#a$au"ii 1a"a u)%"%%z1a i"i )u#i*% u+u/i n,u!'a a)ia *i)i$a/a z%)u2. Malengo ya Milenia Kama yali*yoainishwa na +mo"a wa Mataifa ambayo n,hi zinazoendelea zinatakiwa kuwa zimeyafikia ifika%o mwaka kesho wa 201& ni %amo"a na kuondoa umaskini uliokithiri na n"aa, -limu ya Msingi kwa wote, +sawa wa ki"insia na fursa sawa kwa wanawake, ku%unguza *ifo *ya watoto wa,hanga na u%atikana"i wa huduma bora za uzazi. Mengine ni ku%anga na ukimwi, Malaria na magon"wa mengine,kulinda mazingira na ku"enga mshikamano wa kimaendeleo duniani. Ma%ema tarehe 28 Mei,201, Rais alikutana na wafanyabiashara na wawekeza"i wa makam%uni mbalimbali ya $anada, ambayo baadhi tayari yana *itega u,humi n,hini #anzani. Rais amewaeleza wawekeza"i fursa ambazo wanaweza ku%ata iwa%o watawekeza #anzania ikiwemo katika sekta mbalimbali za kiu,humi. #arehe 2. Mei,201 mkutano huu unatara"iwa kuendelea na kuzungumzia n"ia mbalimbali ambazo Mataifa yanatakiwa kufanya kwa %amo"a katika "itihada zao za kuimarisha !fya ya Mama na Mtoto. /metolewa na0 1remi Kibanga, Mwandishi wa 2abari wa Rais Msaidizi, Toronto-Canada. 2. Mei, 201
MAELEZO YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA KATIKA MKUTANO WA TANZANIA CENTER FOR DEMOCRACY, KUHUSU TAFAKURI NA MARIDHIANO KUELEKEA KATIBA MPYA: WHITESANDS HOTEL, DAR ES SALAAM, 12 FEBRUARI, 2014
HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA
MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2014/2015