You are on page 1of 20

info@arena.co.

ke

INSHA NOTES COMPLETE Kupinga


Utungo unaoundwa kwa mfululizo wa Kutoa uamuzi kutegemea upande ulio
sentensi zinazozungumzia jambo, tukio na hoja nyingi au nzito.
au kitu fulani g) Insha ya Mawazo
Aina a Inayohusu mambo ya kuwaza kuhusu
1. INSHA ZA KAWAIDA jambo fulani k.m. ‘MIMI NYUKI'
a) Insha ya Picha Ni nani asiyenifahamu mimi nyuki.
Ambapo mwanafunzi amepewa picha a) Insha ya Mazungumzo
kadha na kutakiwa kutunga kisa na Maongeo ya kawaida ambayo
kueleza yote yanayotokea kwenye picha huandikwa kama tamthilia
hizo. Chunguza vizuri ujue kinachotokea MAZUNGUMZO BAINA YA…
katika hizo picha. Muundo
Kichwa kiafikiane na picha ulizopewa. Kichwa
Kila picha ipangwe na kuwa na aya Jina la msemaji kwa herufi kubwa
moja. likifuatwa na koloni
b) Insha ya Methali Maneno ya msemaji
Insha inayosimulia kisa kinachoonyesha maelezo ya mandhari na vitendo vya
ukweli au uongo wa methali Fulani. msemaji kwenye mabano
Wazia methali nyingine za kutilia Wazungumzaji wasikike kama watu
mkazo methali uliyopewa. wa kawaida
Muundo Pawepo na sentensi ndefu na fupi
Kichwa Matumizi ya vihisishi
methali yenyewe Ukatizaji wa maneno…
Utangulizi 2. TUNGO ZA KIUAMILIFU
i. Maana ya juu/wazi Ambazo hutekeleza kazi maalum na
i. Maana ya ndani/batini huwa na muundo maalum.
Mwili Dayalojia
kisa kinachofungamana na methali Mazungumzo kati ya watu wawili au
cha kweli au cha kubuni zaidi kuhusu jambo au mada fulani
Hitimisho DAYALOJIA BAINA YA…
funzo/maadili Huwa na utangulizi, mwili na hitimisho
c) Insha ya Maelezo Mahojiano
Inayohusu kutoa ufafanuzi kuhusu mahali, Mazungumzo yanayoendeshwa kwa
kitu au jambo fulani kama vile ugonjwa wa muundo wa maswali na majibu
ukimwi, umuhimu wa maji, n.k. (MAHOJIANO BAINA YA…)
d) Insha ya Masimulizi Barua ya Kirafiki
Ambapo unatakiwa kusimulia hadithi, kisa au Inayoandikwa kwa ndugu, jamaa na
tukio kuhusu jinsi mambo fulani marafiki.
yalivyotokea. Huweza kuanzia kwa Muundo
‘Ilikuwa…' Anwani ya mwandishi (wima au
e) Insha ya Mdokezo mshazari. Jina lisiwekwe!)
Ambapo umepewa mdokezo wa kuanzia Tarehe ya kuandikwa barua (22
(xxx…) au kumalizia (…xxx) k.m. ‘…tangu Februari, 2011)
siku hiyo alikula yamini kutopuuza ushauri Mwanzo wa barua (kwa …
wa wazazi wake tena' mpendwa/kwenu…
f) Insha ya Mjadala utangulizi (salamu, kumjuliana hali)
Ambapo unatakiwa kujadili suala fulani k.m. mwili/yaliyomo (ujumbe)
‘Shule za mabweni zina manufaa' au Hitimisho (Kwa leo sina mengi.
‘Kujiajiri ni bora kuliko kuajiriwa' Jadili. Wasalimie jamaa wote. Ni mimi
Unapaswa: wako/wenu, Jina (wima au mshazari)
Kuunga
Barua Rasmi/Kwa Mhariri

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Barua ambazo huandikwa na kutumwa Februari 24, 2011


ofisini kwa kutaka kuomba kazi, HATIMA YA WATAHINIWA
kuomba msaada, malalamiko, kutoa Yaliyomo
maoni gazetini, n.k. Imeandikwa na…
Muundo Hotuba
Anwani ya mwandishi (wima au Maelezo yanayotolewa mbele ya watu.
mshazari) Hutolewa kwa usemi halisi na huanzia na
Tarehe ya kuandikwa (usiweke jina). kuishia kwa alama za usemi.
Marejeleo k.m. REJ: Muundo
SUD/MSS/054/009 (nambari ya Anwani (HOTUBA KUHUSU…)
kumbukumbu, faili au nambari ya Utangulizi (kutaja hadhira kuanzia
barua) walio mashuhuri, kuwasalimu,
Cheo na anwani ya mwandikiwa k.m. kujitambulisha na kuwakaribisha na
Mkurugenzi, Kiwanda cha majani chai kutambulisha kiini cha hotuba)
cha Kangaita, S.L.P, 12000, Kerugoya Yaliyomo (kutaja na kufafanua hoja)
au Mhariri wa Gazeti la ‘Nation', S.L.P Hitimisho (shukrani na kuwatakia
89000, Nairobi au KWA ANAYEHUSIKA mema katika shughuli zao za kila siku)
Kupitia kwa: MWALIMU MKUU, anwani Ratiba
Mtajo k.m. Kwa Mpangilio wa jinsi shughuli fulani
Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri inavyofanyika kulingana na wakati
Kichwa cha barua k.m. MINT: OMBI LA fulani uliotengwa k.m. sherehe ya arusi,
KAZI YA UALIMU/MAPENDEKEZO mazishi, siku ya michezo, kutoa
KUHUSU JUMA MRISHO/ MWALIKO zawadi n.k.
WA KUHUDHURIA KONGAMANO LA Muundo
KISWAHILI Kichwa (Ratiba ya shughuli gani, ya
Utangulizi (Mintaarafu ya tangazo nani, mahali na tarehe, mgeni wa
mlilochapisha…naandika heshima: …Wageni mashuhuri:
kuomba…jinsia…ahadi kufanya kazi 1….2….3….)
kwa bidii)
Mwili (matatizo, madhara,
mapendekezo (naomba, paswa, stahili,
naonelea ni bora)
Hitimisho (Natumai,
Nitashukuru…Wako mwaminifu/mtiifu, Makaribisho
sahihi, jina /cheo, Chama cha Kiswahili. Maombi
Nakala kwa: (i), (ii) (wima au mshazari) Kutoa tuzo
Barua ya Gazetini Iliyohaririwa Kutoa shukrani
Kichwa (kwa herufi ndogo na usemi Kufungwa kwa maombi
halisi) Kuondoka/kufumkana
mtajo (Mhariri,) Shajara
Utangulizi (Naandika kueleza…) Daftari ambayo huhifadhiwa matukio
Mwili (malalamiko, maoni, maombi, yanayofanyika kila siku. Yaweza kuwa
mapendekezo) ya siku moja, wiki au mwezi mmoja.
Hitimisho (Natumai…) jina na anwani ya Aina
mwandishi) a) Ya kibinafsi
Tahariri JUMANNE 30/8/10
Maelezo mafupi ya mhariri wa gazeti Leo tulizuru…
kutoa mawazo, maoni au msimamo b) Rasmi (hutumiwa katika ofisi)
wa chombo cha habari SHAJARA
anachowakilisha kuhusu suala JUMANNE MEI 7, 2008
maalum na muhimu.
Muundo
GAZETI LA MZALENDO Onyo

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Makatazo. b) Kibiashara
Tahadhari Sifa
ONYO! Lugha kwa kifupi
Julisho
USISIMAMISHE WALA
kuhusu Chuku
KUEGESHA GARI KWENYE ENEO
jambo la Takriri
HILI!
hatari. Alama ya (!) na (?)
Michoro
Maonyo
Maelezo kukihusu
Kinavyotumika
Ubora wake
Ilani Julisho, tangazo au notisi. Watengenezaji
JINUNULIE UNGA WA MAHINDI WA
ILANI
TAFADHALI USITUMIE SIMU
YA MKONO NDANI YA BENKI

ILANI YA SERIKALI KUHUSU KUZUKA KWA


UGONJWA WA KIPINDUPINDU
Serikali imetoa ilani kwa wananchi kuhusu
kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu. Kila c) Kifo
mwananchi anatakikana kuzingatia mambo TANGAZO LA KIFO
yafuatayo ili kudhibiti maambukizi. Tunasikitika kutangaza kifo cha
a) Mtu asinywe maji kabla kuyachemsha …Alikuwa…
b) Kupika chakula hadi kiive vizuri Mungu aiweke roho yake mahali pema
c) Kutoenda haja nje bali kutumia vyoo peponi
vya mashimo d) kazi
d) Mtu anawe mikono yake kwa sabuni SHULE YA UPILI YA GATWE
baada ya kutoka msalani Anwani, tarehe
e) Mtu asile matunda au mboga za NAFASI YA KAZI YA UHASIBU
majani bila kuziosha kwanza SIFA ZA MWOMBA KAZI
f) Anayeonyesha dalili ya ugonjwa wa JINSIA
kipindupindu apelekwe katika kituo Awe wa jinsia ya kike.
cha afya mara moja. UMRI
g) Uchuuzi wa vyakula umepigwa Awe na umri wa miaka isiyopungua25 na
marufuku isiyozidi 40.
h) Ufuliaji nguo motoni pia umepigwa ELIMU
marufuku
i. Awe na shahada ya uhasibu kutoka
Watakaokaidi maagizo katika (g) na (h)
chuo kikuu au awe na shahada ya
watachukuliwa hatua kali za kisheria ya
diploma ya juu ya uhasibu
kutozwa faini ya shilingi elfu tano au kifungo
ii. Awe amepata alama ya c katika
cha miezi miwili gerezani. kingereza
Matangazo
KAZI
Majulisho kuhusu jambo fulani. i. Kuidhinisha hati za malipo za shirika
a) Arifa
ii. Kusimamia shughuli za uhasibu katika
SHULE YA UPILI YA GATWE
idara inayohusika
Anwani, tarehe
UZOEVU/TAJRIBA
USAJILI WA …
Awe na uzoevu wa kazi usiopungua miaka
Sahihi
Jina 5 kwenye shirika au taasisi kubwa.
Cheo DINI

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Awe muumini wa dini ya kikristu na awe TAREHE…………………………………………………………


ameokoka. ………………………………………………………..
MUDA WA KAZI JINA………………………………………………………………
Kuanzia saa mbili hadi saa kumi na moja ……………………………………………………….
jioni na masaa mengine ikibidi. JINSIA……………………………………………………………
MSHAHARA ………………………………………………………
Mshahara utategemea elimu ya UMRI………………………………………………………………
anayehusika lakini utakuwa baina ya ksh ……………………………………………….........
24,000 na ksh 45000. TAREHE YA
MAELEZO YA ZIADA KUZALIWA……………………………………………………
i. Maombi yote yawe yamewasilishwa ………………………………………
kabla ya tarehe 30 mei 2010. URAIA……………………………………………………………
ii. Maombi yatumwe kwa: ……………………………………………………….
Katibu, NAMBARI YA
Halmashauri ya shule ya upili ya
KITAMBULISHO……………………………………………
Gatwe,
……………………………………
Anwani
KAZI………………………………………………………………
iii. Maombi yatakayopelekwa baada ya
……………………………………………………….
muda wa mwisho hayatajibiwa.
iv. Maombi yaandamane na hundi ya MKOA……………………………………………………………
shilingi elfu moja ambazo ……………………………………………………….
hazitarejeshwa. WILAYA…………………………………………………………
Maagizo/Maelekezo ……………………………………………………….
Maelezo kuhusu namna ya kufika SIMU………………………………………………………………
mahali kutoka kituo fulani au maelezo ……………………………………………………..
kuhusu njia ya kutumia kitu au huduma SAHIHI…………………………………………………………
fulani. ……………………………………………………….
Sifa TAREHE…………………………………………………………
a) Maelezo wazi ………………………………………………………
b) Michoro au ramani Hojaji
c) Dira Maswali ambayo hutumiwa kama
d) Huhusika maonyo msingi wa kufanyia utafiti na
e) Tarakimu k.m. 1×3 huelekezwa kwa mhojiwa.
f) Matumizi ya herufi nzito. Aina
Mifano a) Hojaji Wazi
a) Maagizo ya daktari kwa mgonjwa wa Hojaji yenye maswali ambayo mhojiwa
kisukari. anaruhusiwa kuyajibu kwa maneno
b) Maelekezo ya kutoka nyumbani hadi yake mwenyewe.
shuleni mwenu. UCHAGUZI NA VIONGOZI
c) Jinsi ya kutumia dawa za wadudu 1. Una maoni gani kuhusu uchaguzi wa
Kujaza Fomu kila baada ya miaka mitatu?
Karatasi ambayo ina nafasi ya …………………………………………………………………
kuandika maelezo ambayo yanatakiwa. …………………………………………………………………
a) Soma fomu kwa makini kabla ya ……………………………………
kujaza chochote. 2. Kwa nini una maoni hayo?
b) Andika maelezo kwa muhtasari. …………………………………………………………………
c) Usijaze kama huna hakika kwenye …………………………………………………………………
sehemu Fulani. ……………………………………
d) Usifutafute. 3. Wewe ungependelea utaratibu gani wa
e) Itumie alama inayostahili wakati wa uchaguzi?
kujaza fomu. …………………………………………………………………
MAELEZO YA KIBINAFSI …………………………………………………………………
……………………………………

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

4. Je ni kweli viongozi hung'ang'ania Taarifa inayotoka kwa mtu au watu


mamlaka? inayoeleza haja fulani k.m. risaala ya
.................................................................. rambirambi, risala ya heri njema, ya
................................................................... waajiriwa kwa mwajiri au kinyume.
................................................................... RISALA YA RAMBIRAMBI/HERI NJEMA
........................................................ KWA…KUFUATIA
5. Je viongozi hung'ang'ania uongozi kwa Mimi wako…
sababu zipi? Resipe
a) …………………………………………………………....…… Jumla ya hatua na kanuni ambazo
………………… hufuatiwa na mtu anayenuia kupika au
b) ………………………………………………………………… kuandaa kitu fulani.
………………… UPISHI WA PILAU
c) ……………………………………………….….……………… Walengwa/walaji
…………….…. Mipakuo mine (kwa watu wanne)
b) Hojaji Funge Viambata
Hojaji ambapo mhojiwa anapewa a) Vikombe viwili vya mchele
majibu kadha ambayo anatakiwa b) Gramu 25 za mafuta ya majimaji
kuchagua mojawapo bila kuwa na c) Vijiko viwili vidogo vya pilau masala
uhuru wa kuandika atakayo. d) Nusu kilo ya nyama
e) Vitunguu vinne vya ukubwa wa wastani
MATATIZO YA KIJAMII f) Vikombe vinne vwa maji
Tia alama kwenye jibu unaloafiki Hatua za Upishi
a) Jamii yetu inawakandamiza wanawake? a) Kaanga vitunguu katika mafuta hadi
Ndiyo ( ) La ( ) rangi yake ikaribie rangi ya udhurungi
b) Tatizo kubwa la jamii yetu kwa sasa ni b) Chemsha nyama pekee hadi ilainike
umaskini na ugonjwa. c) Ongeza nyama kwenye sufuria yenye
Kweli ( ) Si kweli ( ) vitunguu na upike kwa dakika tano
d) Ongeza mchele na uchanganye kwa
Mialiko mwiko
Barua ambayo hupeleka taarifa kwa e) Ongeza maji na uache mchanganyiko
mtu kumuomba ahudhurie sherehe utokote kwa dakika kumi na tano
fulani. f) Pakua pilau ikiwa tayari
a) Rasmi (kadi au barua rasmi)
Muundo Orodha Ya Mambo
Jina la mwalikaji/waalikaji a Mlolongo wa vitu vilivyoandikwa.
(Bwana/mabwana/bibi/kasisi/daktari MAHITAJI MUHIMU YA KURUDI SHULENI
Jina la mwalikwa TAREHE 5/1/2010

Sherehe (ndoa, mchango wa pesa, a) Sukari kilo mbili


Kuna aina mbili za mialiko. b) Dawa ya meno ya gramu hamsini
Kusherehekea/kuadhimisha…) c) Koko gramu 500
Kuhusu nani d) Sabuni sita za kipande
Mahali pa kukutanika e) Kalamu nne za rangi
Tarehe f) Penseli moja
Wakati g) Rangi ya viatu ya gramu 40
Anwani na nambari ya simu ya
mwalikaji ambapo jibu litapelekwa Tahakiki
kushoto chini (Majibu kwa…wima) a Maandishi ya kuchambua maandishi
b) Kirafiki (barua ya kirafiki) ya fasihi.
Sehemu ya mwili itoe habari zote USASA WAKUTANA NA UKALE
muhimu katika mwaliko. Anwani: Kitumbua Kimeingia Mchanga
Risala Mwandishi: Said A. Mohamed
Mchapishaji: Oxford University Press

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Mhakiki: Amina Fuzo Jina lake/lako


Maudhui Jinsia
Meme Anakotoka
a Barua ambazo huhusisha matumizi ya Umri
ya vifaa vya umeme kama talakilishi, Kuzaliwa
kiepesi/nukulishi/faksi au simu ya Maumbile
mkonono/tamba/rukono. Elimu
Barua za Mdahilisi/Pepe Kazi
a Ambazo hutumwa kwa tarakilishi Hadhi ya ndoa
kwa njia ya mtandao. Lugha
Ijumaa Machi 30, 2007 saa 08:09:19 Lakabu na sababu
Kutoka: aisha@yahoo.com Umaarufu
Kwa: ahmed@african online.ke Uraibu
Nakala kwa: amina @ mwananchi.com Wasifutaala/Wasifu Kazi
Maelezo rasmi kuhusu mtu binafsi
MINT/KUH:
ambayo huambatanishwa na barua ya
Barua ya kawaida kuomba kazi.
Hitimisho: Aisha Kizito Makwere WASIFUTAALA WANGU
Memo MAELEZO BINAFSI
a Taarifa fupi ambayo huandikwa Jina : Farida Almasi
ofisini kuhusu mambo ya ndani Juma
kutoa maelekezo, maelezo au

kukumbusha kuhusu jambo fulani. Tarehe ya Kuzaliwa : 7-6-1980


Ujumbe huwa mfupi na huhusu suala Umri : miaka 22
moja tu. Mahali pa kuzaliwa : Voi
SHULE YA UPILI YA GATWE Jinsia : mwanamke
Anwani Hadhi ya ndoa :
MEMO Nimeolewa/kapera
REJ: km/01/06 Nambari ya kitambulisho : 12345678
KUTOKA: Mwalimu Mkuu Uraia : Mkenya
KWA: wafanyakazi wote Lugha : Kiswahili,
MADA: likizo fupi Kingereza, Kikuyu
TAREHE: 28/2/2011 Anwani ya kudumu : S.L.P. 1600,
Ujumbe Voi
Sahihi Barua pepe :
Jina Farial@yahoo.com
Cheo (mwalimu mkuu) Simu tamba : 9876543210

Taarifa
a Kuarifu kuhusu habari mpya ELIMU
UCHOCHEZI Chuo Kikuu

Hitimisho cha Maseno (Shahada ya Uhasibu)


Mariga Mununga Shule ya upili
Mwanahabari ya Shimoni (Shahada ya KCSE)
Wasifu 1978-1987 Shule ya Msingi
a Maelezo ya mtu kuhusu mtu ya Umazi (shahada ya KCPE)
mwingine tangu kuzaliwa mpaka
alipo au kufa kwake.
WASUFU WA NDUGU YANGU JUMA TAJRIBA
Mpaka sasa Mhasibu katika
Tawasifu shule chekechea ya Mtakatifu Yohana
a Maelezo ya mtu kujihusu
TAWASIFU YANGU HABARI ZA ZIADA
Vidokezo URAIBU

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

a) Kusoma vitabu vya sarufi na fasihi Mkutano uliisha saa ngapi, maombi
b) Kutembelea wajane, mayatima na yaliongozwa na nani, na mwingine
wagonjwa ukapangwa kuwa wa siku gani.
c) Kuandika mashairi Maneo kama walikubaliana,
waliafikiana, alipendekezwa,
AZIMIO LANGU
ilisemekana, waliambiwa, ilionelewa ni
a) Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza bora, walishauriwa, ilidaiwa, aliomba,
masomo yangu hadi kiwango cha n.k.
uzamifu THIBITISHO
b) Kuwa mhasibu bora zaidi nchini kwa

matendo na kuwapa wananchi KATIBU TAREHE……………


huduma za kufaa SAHIHI ……………
WAREJELEWA MWENYEKITI TAREHE ……….......
1. Profesa Hassan Muoso, SAHIHI ……………
Chuo Kikuu Kenyatta, Ripoti

S.L.P.43844, Maelezo kuhusu mtu, kitu au tukio


Nairobi. a) Ripoti ya Kawaida
Swali huanzia kwa ‘Wewe kama katibu
2. Maimuna Njavu Mukota, wa chama…'
Shule ya Upili ya Alliance, Muundo
S.L.P. 1 234, Kichwa (ripoti ya kamati/jopo gani)
Nairobi. Utangulizi (maelezo mafupi ya jumla
Kumbukumbu kuhusu chama)
Shughuli za chama (i, ii, iii)
Maelezo kuhusu yaliyojadiliwa na
Hitimisho (matumaini, mwito kwa
kuafikiwa katika mkutano. wengine wajiunge, wajitahidi)
Muundo Ripoti imeandikwa na (jina,
Kichwa (kumbukumbu za mkutano wa cheo/katibu, sahihi, tarehe)
kamati/jopo gani, uliofanyika wapi, b) Ripoti Maalum
tarehe gani, saa ngapi hadi gani na Kichwa (ripoti ya jopo la kutathmini
majira) usalama barabarani)
Waliohudhuria (mwenyekiti, katibu, Utangulizi/Hadidu za rejea (ripoti
mweka hazina, wanakamati) ilihitajika na kamati gani, uchunguzi
Waliotuma udhuru kwa kutohudhuria ulifanywa kubainisha nini, matokeo
Waliokosa kutuma udhuru wa kuelezewa chini pamoja na
kutohudhuria mapendekezo kutolewa)
waalikwa
Jopo (majina na vyeo vya wanajopo
Ajenda waliohusika)
a) Kufunguliwa kwa mkutano (KUMB Utaratibu/ hatua za utafiti
3/2OO9)
(wanakamati walifanya nini (kamati
Kufunguliwa kwa mkutano, mwenyekiti iliwahoji…ilifanya ukaguzi wa magari,
kuwakaribisha na kuwashukuru iliwapa baadhi ya wasafiri hojaji
waliohudhuruia na kumwomba … wakajaza, ilipiga picha za video,
aongoze kwa maombi. mashauriano)
b) Kusoma na kudhibitisha kumbukumbu Matokeo (kamati iligundua kuwa: (a)
za mkutano uliotangulia
Mapendekezo (suluhisho la shida)
Kusomwa na katibu, aliyependekeza na Hitimisho (ripoti imeandikwa na, sahihi,
aliyedhibitisha. jina, cheo/katibu, tarehe 21 Machi
c) Masuala yaliyotokana na 2011.
kumbukumbu hizo 3. UTUNGAJI WA/INSHA ZA KISANII
(a) KUMB 8/2008 ununuzi wa miti
a) michezo ya kuigiza
d) Shughuli nyinginezo
b) hadithi fupi
e) Kufunga mkutano (KUMB 7/2009)
c) mashairi

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

d) mafumbo silabi zinazotamkika katika


e) vitanza ndimi mishororo
15. urari wa mizani
USHAIRI kuwepo kwa idadi sawa ya mizani
Istilahi za Kishairi
katika mishororo
1. arudhi 16. kina/vina
sheria za jadi zinazofuatwa na silabi zinazotamkika kwa namna
watunzi wa mashairi: sawa zinazopatikana katikati na
a) kugawa shairi katika beti mwishoni mwa sentensi.
b) beti kugawika katika mishororo 17. urari wa vina/vue
inayolingana kiidadi kuwepo kwa silabi zinazotamkika
c) mishororo kugawika katika kwa namna sawa
vipande Aina za Mashairi
d) mishororo kuwa na mizani a) mashairi la arudhi/ushairi wa kijadi
zinazolingana kiidadi (urari wa a Ambayo huzingatia sheria za jadi
mizani) za utunzi wa mashairi.
e) kuwa na vina vya kati na vya b) mashairi huru
mwisho vinavyotamkika kwa Ambayo hayazingatii sheria za jadi
namna sawa (urari wa vina) za utunzi wa mashairi.
f) mtoshelezo wa beti au beti Mashairi ya Arudhi
kutoa wazo kamili a) Aina
2. bahari
i. tathmina (mshororo mmoja katika
aina tofauti tofauti za mashairi k.m. kila ubeti)
ukara ii. tathnia (miwili)
3. ubeti/beti
iii. tathlitha (mitatu)
1 kifungu katika shairi iv. tarbia (minne)
kinachojitosheleza kimaaa v. takhmisa (mitano)
4. mshororo vi. tasdisa (sita)
mstari katika ubeti vii. ushuri (kumi)
5. mwanzo b) Bahari
mshororo katika ubeti
viii.mtiririko (mfanano wa vina vya kati
6. mloto
na vya mwisho katika shairi zima)
mshororo wa pili katika ubeti
ix. ukara (vina vya mwisho kufanana
7. mleo
na vya kati kutofautiana)
mshororo wa tatu katika ubeti
x. ukaraguni (vina vya kati na vya
8. kimalizio
mwisho kutofautiana katika shairi
mshororo wa mwisho ambao
zima)
haurudiwi katika kila ubeti
xi. kikwamba (mishororo kuanza kwa
9. kibwagizo/mkarara/kipokeo/kiitikio
neno fulani katika shairi zima)
mshororo wa mwisho ambao
xii. pindu (neno au maneno mawili ya
hurudiwarudiwa katika kila ubeti na
mwisho ya kila mshororo kutumiwa
hubeba maudhui au kiini cha shairi.
kuanzia mshororo unaofuata) k.m.
10. kipande/mgao
kicha changu wachezea. Wachezea
sehemu katika mshororo ambayo
kichwa changu.
huonyeshwa na koma na huwa na
xiii.Tenzi/tendi (mgao mmoja, kina
kina
kimoja)
11. ukwapi
xiv.Mathnawi (migao miwili, vina viwili)
kipande cha kwanza katika
xv. Ukawafi (migao mitatu, tumbuizo
mshororo
8,8,8)
12. utao
xvi.Ngonjera (majibizano)
kipande cha pili katika mshororo
xvii. Malumbano
13. mwandamizi
(kujinaki/kuonyesha ugwiji
kipande cha tatu katika mshororo
14. mizani

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

akimdunisha mshairi mpinzani ili a kibali mshairi alichonacho kukiuka


kutaniana) sheria fulani.
xviii. Msuko (mshororo wa mwisho i) Inkisari (kufupisha ili kuwe na
mfupi kuliko inayotangulia) urari wa mizani na vina.
xix. Sakarani (mchanganyiko wa Aghalabu huonyeshwa kwa
bahari) matumizi ya ritifaa k.m. ‘sikate-
xx. Dura mandhuma (kauli/swali katika usikate)
ukwapi na mjalizo/jibu katika utao xxxiv. Mazda/mazida
k.m. shida zikishinda, hazishindiki. (kurefusha neno ili kuwa na
Unalolipenda, halipendeki. urari wa mizani na vina)
Unapopaenda, hapaendeki) xxxv. Tabdila (kubadilisha
xxi. Gungu (mizani 12, kina kimoja tahajia ya neno bila kuzidisha
cha mwisho) au kupunguza mizani k.m.
xxii. Upeo (mishororo inayozidiana ki siachi-siati)
mizani) xxxvi. Utohozi
xxiii. Kikai (mizani 12, 4:8 au 8:4, xxxvii. Kuboronga/kufinyanga
hakuna ulinganifu wa mizani katika sarufi (kubadili mpangilio wa
ukwapi na utao) maneno katika sentensi k.m.
xxiv. Zivindo (hutoa maana tofauti za upesi jielimishe)
neno k.m. xxxviii. Kiswahili cha kikale/ujadi
xxv. Sumbila (kila ubeti una kimalizio (mtima, ngeu, insi, mja)
tofauti na beti nyingine) xxxix. Lahaja k.m. ficha-fita
c) Muundo/Umbo/Sura ya Nje xl. Matumizi ya ritifaa
xxvi. Kutaja idadi ya beti e) Lugha ya Nathari
xxvii. Mishororo mingapi katika kila lugha ya kawaida na kimtiririko
ubeti Kutotumia koma au vipande
xxviii. Vipande vingapi katika kila Kutumia maumbo ya kawaida ya
mshororo-aina maneno
xxix. Mpangilio wa mizani na jumla Ubeti kutengewa aya moja
k.m. ukwapi 8, utao 8, jumla 16. Kuondoa uhuru na kusanifisha
8 8 lahaja na kikale
8 8 f) matumizi ya lugha/fani
8 8 g) matumizi ya maneno (kama
8 8 yalivyotumiwa)
xxx. Mpangilio wa vina au kufanana, h) ujumbe
kutofanana katika shairi zima au i) maudhui
vina vya mwisho kufanana na vya j) dhamira
kati kutofautiana-bahari kusimanga, kusuta, kudharau,
na ma kusifu, kufunza, n.k.
na ma Mashairi Huru
na ma Sifa/Mbinu
ka ba a) urudiaji
Vina na Mizani i) wa neno (takriri neno)
8a 8b ii) wa kifungu (usambamba)
8a 8b Umuhimu
8a 8b i kusisitiza ujumbe
8c 8b i kutia ridhimu/mapigo fulani katika
xxxi. Kibwagizo(linacho au halina. usomaji
Kinakili kama kipo) b) mishata
xxxii. Majibizano (ngonjera) a mishtari ambayo haikamiliki.
xxxiii. Malumbano (majinaki) Mistari toshelezi ni mistari
d) Uhuru/Idhini za Kishairi iliyokamilika.

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

c) sehemu za beti kuingizwa ndani Kutotumia chumvi, sukari au mafuta


Umuhimu mengi
ili kusisitiza Kufanya mazoezi
kuzifanya zionekane wazi Kupimwa mara kwa mara
Ulinganishaji wa Shairi la Arudhi na Shairi Kupika vyakula vizuri
Huru Kunawa mikono na macho
Kuchemsha maji au kuyatia dawa
Kufananisha
kabla ya kuyanywa
a) yote mawili ni sanaa ya ushairi Kutozini au kutumia kinga
b) mishororo kupangwa katika beti Chanjo kwa watoto
c) yametumia mbinu za lugha za namna Kutochangia vifaa kama vitana na
moja nyembe na mavazi ili kujikinga na
d) alama za kuakifisha zinazofanana magonjwa ya ngozi.
e) kufanana kimuundo Kulala ndani ya neti iliyotiwa dawa
f) uhuru wa kishairi Kufyeka nyasi karibu na nyumba na
Kutofautisha kutupa mikebe iliyo na maji
a) moja ni la arudhi jingine ni huru Kuweka dawa kwenye vidimbwi ili
b) mishata kuua mbu
c) sehemu za beti kuingizwa ndani Kutotumia vileo kama vile pombe na
d) kuwa au kutokuwa na urari wa mizani sigara
e) kuwa au kutokuwa na urari wa vina Kuzuia kunyeshewa na mvua na kuvaa
f) tofauti kimaudhui mavazi mazito wakati wa baridi au
g) idadi ya beti usiku
h) idadi ya mishororo katika beti Kukohoa au kupiga chafya mtu akiwa
i) vipande ameziba pua na midomo na kutotema
j) kutumia alama za uakifishi tofauti kikohozi ovyo
k) uhuru wa kishairi Kutubu dhambi, kujua Mungu na
MASUALA IBUKA kuomba kwa afya ya kiroho
Magonjwa Ukimwi
Aina Ugonjwa unaosababishwa na virusi
d) malaria vya HIV unaofanya mwili kupungukiwa
e) mafua na kinga dhidi magonjwa.
f) macho Njia za Maambukizi
g) ngozi a) Uzinzi, ubakaji au ulawiti
h) meno b) Tohara ambapo ngariga anatumia kisu
i) kifua kikuu kimoja kwa watahiriwa wote
j) homa ya mapafu c) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k.v.
k) kifaduro nyembe, vinyoleo n.k.
l) zinaa (kaswede/syphilis) d) Utumiaji wa sindano moja na vifaa vya
m) kipindupindu upasuati ambavyo havijatiwa dawa au
n) homa ya matumbo kutokoswa ili kuua viini
o) homa ya mapafu e) Wanawake kuambukiza watoto
p) shinikizo la damu wakijifungua
q) ugonjwa wa moyo f) Kuongezewa damu ambayo
r) matumbwitumbwi/machapwi haijapimwa au haijapimwa vizuri.
s) saratani g) Utumiaji wa dawa za kulevya kwa
t) utapia mlo kujidunga kwa sindano moja
u) ukambi/surua h) Ulevi kumfanya mtu kupotewa na
v) tetewanga utambuzi kisha kufanya ngono na mtu
w) homa aliyeambukizwa.
x) malale i) Kubusu mtu aliye na virusi ukiwa na
Jinsi ya Kujikinga na Magonjwa vidonda kinywani
Kula chakula chenye virutubisho vyote
na madini

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

j) Wakati wa ajali watu walio na viini Ngariba kutotumia kisu kimoja kwa
wanapojeruhiwa na kutokwa na damu watahiriwa wote
na inafikia majeraha katika miili ya Kutumia sindano mpya hospitalini na
wasio na hivyo viini matumizi ya dawa za kulevya
Dalili Kupima damu vizuri kabla ya
Kukohoa kwa muda mrefu kuwaongezea wagonjwa
Kuendesha kwa muda mrefu Kupimwa kabla ya ndoa na mara kwa
Kupoteza hamu ya kula mara ili kujua hali ili kujikinga dhidi ya
Kukonda au kupoteza uzani wa zaidi ya maambukizi au kujitunza kama mtu
kilo 10 kwa muda mfupi ameambukizwa
Mwili kudhoofika/unyonge Kutumia mipira
Kunyonyoka nywele Walioambukizwa kutofanya mapenzi
Jipu lmwilini bila kinga ili wasipate virusi aina
Mwasho mkali katika ngozi tofauti na sugu au magonjwa mengine
Vidonda kinywani na kooni ya zinaa
Homa na kutokwa na jasho jingi usiku Kula chakula vinavyofaa na kufanya
Magonjwa ya kifua kikuu na homa ya mazoezi
mapafu Kupata matibabu wakati ufaao mtu
Saratani ya ngozi anapougua magonjwa mengine
Kuvimba shingoni Kumjua Mungu ili kumwamini na
Utaahira wa akili k.v. kusahau na kumtumainia ili kuondoa uoga na
kutokumbuka mambo mahangaiko na hivyo kumwezeha mtu
Madhara kuishi siku zaidi
Jamaa kuathirika kisaikolojia wakiona Unyanyasaji/Udunishaji wa Wanawake na
mtu wao akiteseka na ugonjwa Utamaduni/Taasubi ya Kiume
Vifo kwa kuzidiwa na ugonjwa Kutorithi mali
Huzuni baada ya mgonjwa kuaga Wanawake wajane kunyang'anywa mali na
dunia kufukuzwa
Watoto kuachwa wakiwa mayatima baada Ndoa za wake wengi (uke wenza)
ya wazazi kufa Kupata watoto wengi
Gharama kubwa ya kugharamia Kurithi wanawake
matibabu Kupashwa tohara
Unyanyapaa/kutengwa/kubaguliwa Kutawishwa au kunyimwa uhuru wa kutoka
Ndoa kuvunjika kutokana na lawama Kutoelimishwa eti kwa akiolewa hatafaidi
Ubakaji wa watoto wa kike ili familia, atapanda wanaume vichwa au
kujitakasa atakuwa malaya
Kuathiri uchumi wa nchi pesa nyingi Ndoa za mapema/lazima zinazosababisha
zinapotumiwa kununulia dawa za kukatiza elimu yake (mahari haiwezi
kupunguza makali hata za kifua kikuu kurudishwa)
Serikali kupoteza wataalamu Kulazimishwa kuolewa na mtu asiyempenda
iliyogharamia elimu yao kulazimika Kunyimwa haki ya kusema
kuajiri wataalamu kutoka nje kwa Kupigwa na kutusiwa
gharama ya juu sana kubakwa
Jinsi ya Kujikinga Kutalikiwa
Kutofanya zinaa kabla na nje ya ndoa Wanaume kutokuwa waminifu kwao hata
Walioambukizwa kutumia dawa za kuwanyima mahitaji na kuwapa mahawara
kupunguza makali (A.R.Vs) zao
Aliyebakwa kupewa dawa za A.R.V Wanaume kupuuza majukumu ya kukimu
kabla ya saa 72 familia
Kuwapa mama waja mzito wenye Ubadhirifu wa wanaume na hali wake zao
virusi dawa kabla ya kujifungua ndio walifanya kazi za kupatia hizo pesa
kukinga mtoto Kubughudhiwa

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Kulaumiwa mtoto akikosekana hata mke Kufanyishwa kazi fulani k.v. kufulishwa nguo
mwingine kuolewa na kupikishwa mke akiwepo hata mbele ya
Mahali pa mwanamke kuwa nyumbani au wageni
haruhusiwi kufanya kazi ofisini au kuongoza Kuzomewa/ kugombezwa
Kulazimishwa kuvaa mavazi aina fulani na Kunyimwa pesa kama hana ajira
kukatazwa kuvaa aina mengine Ufisadi
Kufanyishwa kazi za nyumbani kama Uovu, ubaya au uharibivu.
mtumwa Aina
Kudhibitiwa na wanaume zao kwa sababu ya Wanafunzi kudanganya katika mtihani
vivu. Kufanyiwa mtihani na watu wa nje
Kunyimwa ajira kwa vile akipata mimba Kutoza mwanafunzi wa kidato cha kwanza
atajikokota kazini na atahitaji likizo baada ya pesa au chakula kama nyama ili kuwalinda.
kujifungua. Kujipakulia chakula kingi.
Ajira ya mtoto wa kike ambapo anafanyishwa Waalimu wakuu kuitisha hongo ili kuruhusu
kazi ya sulubu na kupewa mshahara duni wanafunzi wajiunge na shule zao
Suluhisho Kupita wengine katika foleni wanapokwenda
Hatua kali za kisheria kwa wanaowapiga, kupata chakula au chai hata benki
wanaowabaka na wanaotekeleza mila ya Kurudishiwa bakaa/chenji nyingi dukani na
tohara na ndoa za mapema kutoirejesha kwa muuza duka.
Kufanya kampeni dhidi ya mila zinazochangia Kuokota pesa njiani na kutoulizia ni za nani
udunishaji wa wanawake Kughushi stakabadhi za mtihani, hati za
Kuwashauri watoto wa kike badala ya umiliki shamba
kuwapasha tohara Kunakili kanda za muziki za wengine na
Kuanzisha makao ya watoto wa kike kuziuza
wanaotishiwa na mila mbaya Waajiri kuajiri watu wa familia zao au
Kumwelimisha mwanamke kuhusu haki zake makabila yao
Kuhimiza wanawake kupigania haki zao Daktari kuitisha hongo ili amhudumie
Serikali kutenga pesa za kuelimisha watoto mgonjwa
wa kike ili kuwapa uwezo wa kiuchumi kwani Polisi kuitisha hongo ili aruhusu magari ya
wengi hunyanyaswa kutokana na umaskini na huduma kwa umma yasiyofaa kupita
ujinga. Kutohoa maziwa au kuyaongezea maji ili
Mashirika ya kutetea haki za wanawake kama yawe mengi
FIDA na Maendeleo ya Wanawake. Wenye maduka kuuza bidhaa kwa bei ghali
Hazina ya kutoa mikopo kwa makundi ya Kuuza bidhaa kama sukari, nyama, nafaka,
wanawake k.v. K.W.F.T gesi na mafuta ya petroli ambazo
Kuwapa wanawake nafasi sawa za ajira na hazijatimiza uzani unaotakikana
katika uongozi. Madereva wanaoendea mafuta ya petroli
Kupunguza alama ambazo wasichana kuuza kiwango fulani cha hayo mafuta na
wanazopaswa kufikisha ili kujiunga na vyuo kuongezea ya taa au diseli
vya elimu ya juu. Kuuzia watu dawa bandia zisizotibu
Kubuni sheria za kuwawezesha kumiliki mali magonjwa
Jinsi Wanaume Wanavyodhulumiwa Ulanguzi wa dawa za kulevya
Kupigwa Kuiba pesa kwa kutumia risiti bandia au
Kuchomwa kwa maji moto kufuruisha bei za bidhaa ili pesa zilizo juu
Kukatwa sehemu nyeti wahusika wagawane
Wanawake kutokuwa waminifu kwao Kutoa ushahidi wa uongo
Kutusiwa Kunyang'anya wajane na yatima mali zao
Kutofuliwa nguo Uporaji wa mali ya umma k.v. nyanja za
Kunyimwa chakula kuchezea watoto na misitu
Kunyimwa unyumba kama njia ya kulipiza Hakimu kuchukua hongo aididimize kesi
kisasi au kumwadhibu Madaktari kutoza wawele ada ya juu hata
kuwafanyia upassuaji wasiouhitaji ili wapate
pesa.

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Wafanyakazi wa halmashauri za miji Kudidimiza haki pale kesi inakatwa vibaya


kujificha wanapomwona mtu akiegesha gari kutokana na hongo hata asiye na makosa
ili wadai anakwepa kulipa ada ya uegeshaji ili aweza kufungwa
wahongwe au walikokote gari wapate pesa Viongozi wafisadi katika mashirika na asasi
zaidi. kupoteza nyadhfa
Sababu Ya Watu Kuushiriki Ufisadi Suluhisho/Njia za Kuukabili Ufisadi
Tamaa ya kutajirika Hatua kali kisheria kwa wafisadi Kulipa
Kutofahamu madhara/matokeo yake wafanyakazi mishahara mizuri
Kukosa njia za kukimu mahitaji Kuelimisha kuhusu madhara ya usisadi
Mishahara au mapato duni yasiyomwezesha Kufuta kazi wafisadi
mtu kukimu mahitaji yake au ya familia Kunyang'anywa pesa au mali walizopata
Kutotosheka kwa kile mtu alichonacho kifisadi
Hofu ya kupata hasara au kukosa ajira Watu kutangaza mali zao k.v. kwa kujaza
Kutomjua mungu hivyo hawana imani fomu kudhihirisha hayo
Kuzugwa au kutekwa nyara kimawazo na Shirika la kukagua vipimo na ubora wa bidhaa
kuwa mtumwa na shetani Majina ya wafisadi kutangazwa hadharani
Wengine hulichukulia kama jambo la kawaida Ukaguzi wa hesabu za matumizi ya pesa
tu au hali ya maisha katika asasi za serikali
Imani kuwa siku hizi mtu hawezi kupata Shirika la kupambana na ufisadi
chochote bila kutoa hongo Kufumania wafisadi
Madhara Kupiga picha kwa kamera ya video wafisadi
Vifo kutokana na aajali barabarani au k.v. polisi wakichukua hongo
kutotibiwa bila hongo Kujifunza kutosheka kwa kile mtu
Majeruhi wa ajali za ajalini wengine hulemaa alichonacho na kuishi maisha ya kiwango
wasiweze kujifanyia kazi zao chake.
Kufutiliwa kwa matokeo ya mtihani Kuarifu polisi au shirika la mkupambana na
Kufukuzwa shuleni au chuoni ufisadi kuhusu visa vya ufisadi
Umaskini kutokana na utoaji hongo ya pesa Kumjua na kumcha Mungu
nyingi kisha kutopata kazi na ununuzi wa Dawa za Kulevya/Mihandarati
bidhaa kwa bei ghali Dawa ambazo huathiri utendakazi wa mwili.
Kushuka kwa viwango vya elimu wasiohitimu Sababu za Kutumiwa
ipasavyo wanaporuhusiwa kujiunga na shule Masurufu au kuwapa vijana pesa nyingi za
ama vyuo fulani matumizi
Kushuka kwa viwango vya huduma kwa Kujipa burudani
umma kutokana na kuajiriwa kwa watu Shinikizo la rika kwa vijana
ambao hawajahitimu vizuri. Ukosefu wa ushauri/kutojua madhara
Afisi za serikali kuchomwa wafisadi Matangazo ya biashara
wakijaribu kusitiri ushahidi wa ufisadi Shida k.v. ukosefu wa ajira na mahitaji ya
Nchi kurudishwa nyuma kiuchumi na kimsingi
kimaendeleo kutokana na pesa za miradi au Marafiki wabaya
ambazo zingewekezwa katika vitega uchumi Kukaa katika mazingira zinamotumiwa
kuporwa Malezi
Kupoteza ajira baada ya kufutwa kazi Kuvunjika kwa ndoa
kutokana na ufisadi upweke
Familia kuteseka baada ya kupoteza ajira Kujitoa haya k.m. makahaba
Kufungwa jela kwa wanaopatikana na kosa la Shida kazini
ufisadi Kudanganywa zina manufaa k.m. kumpa mtu
Uharibifu wa mazingira na madhara nguvu ya kufanya kazi au kuerevusha
yanayoendana nao kutokana na ufyekaji wa Kujipa hisia za kuwa huru na ujitambuaji
misitu Madhara
Magonjwa k.v. saratani na ya zinaa

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Vifo kutokana na ajali, magonjwa au dawa Hatua za kisheria kwa walanguzi, wauzaji na
zenyewe watumiaji
Kuiba ili kupata pesa za kununulia dawa za Kuongeza nafasi za ajira
Ubakaji Kukomesha matangazo ya biashara ya dawa
Hufilisi watu kwa kutumia pesa nyingi hata hizo
kuuza au kuzikodisha mali zao ili Kuandika matahadharisho katika chupa na
kuzigharamia pakiti za vileo
Jamaa kuathirika kisaikolojia wanapoona Uhalifu/Utovu wa Usalama
mwenzao akiKushindwa kuendelea na Chanzo
masomo. Umaskini kusababisha wizi na uisadi
Visa vya ubakaji. Dawa za kulevya kusababisha wizi au kubaka
Kupotoka kimaadili k.m. kuwa mwenye Marafiki wabaya
matusi, kupiga wengine, kuwa mgomvi hata Malezi mabaya
mzinifu. Malezi mabaya k.m. mtoto akiiba na
Kuwa mchafu kama fungo k.m. kutooga, kupelekea wazazi, wazazi hawamuulizi
kutofua nguo, kutochanua nywele n.k. alikotoa vitu hivyo.
Kuhisi mambo yasiyokuwepo (hallucination). Tamaa ya mali kufanya watu kuiba, kushiriki
Wengine kushindwa kuolewa na kutoweza ufisadi, n.k.
kupata watoto k.m. watumiaji wa miraa. Hasira au kushindwa kujidhibiti kusababisha
Kuvunjika kwa ndoa kutokana na kupiga mke, kumpiga na kumuumiza mtu hata kumuua
kutumia pesa vibaya. Tamaa kubwa au uchu kusababisha ubakaji.
Kufutwa kazi k.m. kutokana na ulevi. Chuki na wivu huweza kusababisha mauaji
Wazimu Suluhisho
Uhalifu Hatua kali za kisheria
Jamaa ya mtumizi kuteseka ikimwona Kuongeza askari kwani idadi yao ni dogo
mwenzao akiangamia kutokana na ikilinganishwa na raia
kuzitegemea dawa za kulevya Kuunda vikundi vya kujilinda
Mhusika huathirika kimwili na kisaikolojia Vituo vya polisi kuongezwa
Huathiri ukuaji wa mwili na akili Vitu vya thamani kuwekwa mahali salama
Wazimu k.m. benki
Huathiri uwezo wa kufikiri kwa kuua seli za Kutotembea nyakati za usiku
ubongo Kutoendea mahali kusikofaa k.v.
Hufanya mtu kupotoka kimaadili k.m. upyaro, vichochoroni
vita, uchoyo, uzinifu Kuweka ua na lango
Kuvunjika kwa ndoa Mavazi yanayofaa kuzuia ubakaji
Kufukuzwa shuleni Kutoa mafunzo ya kujikinga
Kufungwa jela Nambari za simu za dharura za kuripotia
Kuzaa watoto ambao hawajatimiza uzani wa uhalifu
wastani Kumjua Mungu
Kufa kwa neva na viungo kukatwa Kuongeza nafasi za ajira
Suluhisho Haki za Binadamu
Kuelimisha watu kuhusu madhara ya dawa za Kuishi
kulevya Kuingiliana/kutangamana
Watu kumjua Mungu Uhuru na usawa
Matibabu ya kurekebisha watumwa wazo Elimu
Kujitenga na marafiki wabaya Makazi
Kutoingia katika mandhari zinamotumiwa Afya
Maelekezo kuhusu dawa za matibabu Kiwango cha kurithisha cha maisha
kufuatwa ipasavyo Chakula
Kutotumia dawa za matibabu kwa matumizi Kuabudu
mengine yasiyo ya kutibu Ajira ya watoto
Ukaguzi wa wageni na mizigo katika viwanja Kufanya kazi
vya ndege Kumiliki mali

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Kutunzwa uzeeni/ hifadhi ya jamii/wasio na Migodi kuacha mashimo ardhini ambayo


uwezo hujaa maji na kuwa hatari kwa binadamu na
Kupiga kura kizalio cha mbu.
Kutobaguliwa Kelele za vyombo vya mziki, viwanda, honi za
Kutoteswa kuminya habari magari na ndege
Uhuru wa kuongea/usemi mafuriko kuchanganya choo pamoja na maji
Kutembea na kuishi popote safi
Kesi kuendeshwa kwa haki Taka kutoka nyumbani na viwandani
Kujitetea kuelekezwa mitoni.
Kuoa au kuolewa na unayemtaka Madhara
Utulivu k.m. mtoto au mke asipigwe ama Ongezeko la joto duniani
kuteswa Mvua za gharika
Huduma za matibabu Uhaba wa mvua
Jina na utaifa wakati wa kuzaliwa Ukame na njaa
Mtoto mlemavu apewe huduma maalum Uhaba wa maji
Alindwe kutokana na mateso, kazi ya sulubu Kufa kwa wanyama wa majini kama samaki
na kuhusishwa vitani Magonjwa na vifo kutokana na kuathiriwa na
Alindwe dhidi ya mila na tamaduni zisizofaa maji machafu
Haki ya kupata burudani Magonjwa ya mapafu kutokana na hewa
Haki ya faragha/ kuhifadhi siri zake chafu
Asiajiriwe Suluhisho
asiteswe Kupanda miti kusiko na miti na kule misitu
Jinsi ya kuwalinda na kuwatunza watoto imefyekwa
Sheria kubuniwa za kuwalinda Elimu kuhusu madhara ya kuharibu mazingira
Hatua kali kisheria kwa wanaodhulumu na jinsi ya kuyatunza Uhaba wa maji.
watoto Kukagua viwabda na hatua za kisheria kama
Shirika la kupigania haki za watoto vinavyoachilia taka katika mazingira
Makao ya watoto wanaokimbia wa dhuluma Kutumia samadi badala ya mbolea za
Hazina ya wizara na maeneo bunge ya kemikali na dawa za kiasili kuua wadudu
kufadhili watoto maskini (bursary) katika mimea na mifugo
Watoto kuelimishwa kuhusu haki zao Kutaifisha misitu
Kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa Askari wa kulinda misitu
kulinda mtoto Kutumia kawi mbadala na ambazo hazichafui
Elimu ya bure ili watoto maskini wafaidi mazingira k.v. kutokana na maji na jua
Shule maalum kwa watoto walemavu Mashimo na mapipa ya kutupa taka
Wananchi kuchanga kusaidia watoto maskini Kuweka mifugo kulingana na eneo la malisho
Makanisa kusaidia watoto yatima Kutolima kando ya mito
Shule kuwapa watoto maskini ufadhili Kutia choo cha binadamu dawa kabla ya
Mazingira kukiachilia mitoni
Hali au mambo yanayomzunguka kiumbe Kutumia magari ya umma
katika sehemu anakoishi. Kutumia taka kama malighafi na kutumia vile
Jinsi Yanavyoharibiwa vitu vyaweza kutumika tena
Kufyeka misitu ili kupata mahali pa makazi Usalama Barabarani
ama kulima Vyanzo vya ajali
Kufuga mifugo kupita kiasi Madereva kutohitimu vizuri
Kutupa taka ovyoovyo Magari mabovu
Moshi kutoka katika magari na viwanda Kutotii sheria za barabarani
huchafua hewa Njia mbovu
Dawa na mbolea za kemikali za kilimo Kubeba abiria na mizigo kupita kiasi
huchafua udongo na maji. Kuendesha magari kwa kasi
Waabudu shetani kusababisha magari
kupoteza mwelekeo

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Kupita magari mengine bila uangalifu Tishio la dunia kuangamia kutokana na silaha
Ulevi za nuklia na viini vinavyotengezezewa
Wenda miguu kutokuwa waangalifu maabarani
wanapovuka barabara Uhalifu kuongezeka kutokana na wingi wa
Kutodhibiti usukani vizuri bunduki, simu na mtandao
Uchovu kusababisha usingizi Vyakula kutokana na mimea ina mifugo
Dawa za matibabu iliyokuzwa kisayanzi kudhuru afya
Abiria kutolalamika au hata kumwambia Wizi wa viungo vya mwili hata kuhasiwa bila
dereva aendeshe kwa kasi wafike haraka hiari
Kuchanganyikiwa Ajali za barabarani na za ndege zinazoua
Suluhisho watu wengi
Hatua za kisheria kwa wakiukaji kanuni za Upotoshaji kimaadili kama vile filamu chafu
barabarani katika mitandao na sidi
Kuondoa polisi wafisadi barabarani Kutumia vijusi kutengenezea viungo
Kukarabati barabara Ongezeko la joto duniani kutokana na
Ukaguzi wa magari ili kuhakikisha yafaa kuwa uchafuzi wa hewa
barabarani Ugaidi kutokana unaotekelezwa kwa
Kufunza madereva upya mabomu
Mikanda au mishipi ya kujifunga kuzuia Simu za Rununu
kujeruhiwa vibaya na vifo ajali ikitokea Faida
Kuweka vidhibiti mwendo Kurahisha na kuharakisha mawasilano
Vifaa vya kutambulia madereva walevi na Kupunguza gharama za usafiri
kasi ya magari Mtandao huelimisha na hufahamisha habari
Uangalifu wakati wa kupita magari mengine Kutuma pesa
Kuwa mwangalifu wakati wa kuvuka barabara Kuweka pesa/akiba
Sayansi na Teknolojia Burudani k.m. nyimbo, michezo
Uvumbuzi wa umeme unaotumiwa kuangazia Kupiga nduru uhalifu unapotokeo
na kuendesha vyombo vingi Ajira kwa wauzaji na watengenezaji
Matibabu kuwezesha watu kuishi kwa muda Ushuru kwa serikali
mrefu k.m. dawa,chanjo, upasuaji, Shajara, kalenda, kamera, kikokotozi
upachikwaji viungo, miale ya kutibu saratani, Madhara
n.k. Burudani kusababisha ajizi
Kurahisisha na kuharakisha usafiri k.m. Uhalifu
magari, pikipiki, ndege, k.m. Gharama kubwa hasa kuweka chaji na malipo
Kurahisisha na kuharakisha mawasiliano kabla ya kutumia kuongea au mtandao
kunakosaidia wakati wa dharura k.m. rununu, Mtandao kupotosha kimaadili
mtandao, nukulishi, n.k. Hutoa miale ambayo yaweza kusababisha
Upashaji wa habari kuwezesha kupata habari saratani
kutoka kote duniani k.m. satalaiti, mtandao, Kudanganya katika mitihani
redio, runinga, n.k. Kufungwa jela kutokana na arafa za vitisho
Utengenezaji bidhaa viwandani kuharakishwa na matusi
kutokana na mitambo inazoendesha na Runinga/magazeti
tarakilishi Burudani
Mimea na mifugo wanaokomaa haraka na Habari
walio na mazao mengi Ajira kwa wanahabari na watangazaji
Roketi inayowezesha kwenda katika mwezi Matangazo ya biashara
na sayari nyingine Kufunza maadili k.m. michezo ya kuigiza na
Silaha kama bunduki za kupambana na vichekesho.
maadui na wahalifu Kutuwezesha kufahamu sehemu nyingine za
Burudani bora k.m. sidi, video, mtandao, n.k. nchi na dunia
Madhara Kuelimisha k.v. vipindi vya fasihi
Uavyaji mimba Utalii
Mauaji ya huruma Kuangazia sehemu na watu wenye shida

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Kukuza lugha Kelele za magari yao husumbua wanyama na


Kukuza uzaleno kukanyaga na kuharibu lishe yao
Madhara Jinsi ya kuvutia watalii zaidi
Ajizi Kudumisha usalama
Kuimarisha miundo msingi
Kupotosha kimaadili
Kutangaza nchi na vivutio nje
Filamu ziazohimiza watu kuwa wazinifu.
Kupunguza malipo katika hoteli za watalii
Matangazo ya vileo
Kufahamisha wananchi kuhusu vivutio kupitia
Kuenezea chuki na propaganda
vyombo vya habari
Kuiga utamaduni wa kigeni usiofaa k.v. Kuongezea wafanyakazi mishahara ili kuweka
mavazi, talaka
akiba waweze kuzuru maeneo yenye vivutio
Gharama ya kununulia
Kuwapa wafanyakazi likizo ya kutosha
Kutopata muda wa kushauri watoto na
kuomba Umaskini
Wanafunzi kutosoma jioni Suluhisho
Mke na mume kutoongea kujadili mwelekeo Kuongeza nafasi za ajira
wa familia Kutoa mikopo rahisi kulipa
Wanaume kuchelewa kurudi nyumbani usiku Kupunguza bei ya pembejeo
wakitazama mpira Elimu ya bure
Migogoro kwa kutaka kutazama vipindi Kupigana na ufisadi
tofauti Upangaji uzazi ili kupunguza idadi ya watu
Kelele na usumbufu kwa waliolala Bei bora ya mazao ya kilimo
Utalii Kazi kwa vijana
hali ya kusafiri mbali ili kuvinjari au kufurahia Ukeketaji
mandhari Sababu
Faida Kupunguza tamaa
Fedha za kigeni Njia ya kukomaa
Ajira katika hoteli, udereva, n.k. Mila na tamaduni
Uhifadhi wa mazingira Madhara
Kuboreshwa kwa miundo msingi Kifo kwa kutokwa na damu sana
Mapato kwa serikali kutokana na ada ya Uenezaji wa magonjwa
kuingilia mbugani na kodi za mikahawa Shida wakati wa hedhi na kujifungua
Amani na maelewano nchini na duniani Ndoa kuvunjika
Kuhifadhi mila na tamaduni zetu Kibali cha kujiingiza katika myenendo isiyofaa
Kupa nchi umaarufu duniani Utengano kati ya waliotahiriwa na ambao
Maeneneo kame kuweza kutumiwa ipasavyo hawajatahiriwa -migogoro
kama kivutio chao Kuzua utabaka baina ya waliopashwa na
Soko kwa mazao ya kilimo wasiopashwa tohara
Kuwapa wauzaji vinyago mapato Suluhisho
Ubaya Hatua za kisheria
Magonjwa k.v. ya zinaa Elimu kuhusu madhara
Matumizi ya mihandarati Mawaidha kwa wasichana
Tabia zisizofaa k.v. Usenge zinazovunja ndoa Makao ya watoto
na kueneza magonjwa kama ukimwi Njaa
Upuuzaji wa miradi ya maendeleo serikali Kilimo cha unyunyizaji maji
ikijengea watalii hoteli za kifahari na viwanja Kupunguza bei za pembejeo
vya ndege ambavyo hutumika kwa nadra Njia bora za kuhifadhi mazao
sana Mimea na mifugo inayokomaa haraka
Kusababisha watoto kuacha shule ili wawe Utumizi wa samadi na mbolea
wanawaelekeza wapate pesa Kuelimisha wakulima kuhusu kilimo bora
Kuhimiza mauaji wa wanyama kwa kununua Kutayarisha mashamba mapema
pembe na ngozi Serikali kununua mazao ya wakulima na
kuyahifadhi

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Dini Kutumia pesa vyema bila ubadhirifu


Uzuri Kutopendelea na kulinganisha watoto
Kufunza maadili kiuwezo
kutotumia dawa za kulevya
Kusaidia maskini
Kuomba pamoja
Kuanzisha shule na hospitali
wazazi kutopendelea watoto fulani
Ajira kwa padri, kasisi n.k.
Baba kutimiza majukumu yake ya kukimu
Kuandaa watu kwa maisha baada ya kifo
jamii
Kufariji/kuliwaza wenye dhiki
Kutodhibiti mke na watoto kupita kiasi
Ubaya
Uadilifu
Tamaa ya pesa
Kushiriki kazi
Biashara Mambo yanayoathiri utaifa/umoja na
Ubakaji wa watoto utangamano/amani
Kuuza uponyaji
Ufisadi k.v. kuajiri watu kimapendeleo
Nyingine kutosaidia wenye shida
Vita/jihadi Ukabila
Kuruhusu waovu bora watoe pesa Viongozi kueneza chuki
Kutoenda hospitalini serikali kutoakisi uwakilishaji wa taifa zima
Kuendeleza maovu k.v. uzinifu, ushirikina, Usalama kukosekana
uabudu shetani, n.k. Ukosefu wa ajira
Maasi ya vijana Matamshi mabaya ya viongozi
dawa za kulevya Kupanda kwa gharama ya maisha
shiniko la kikundi Majanga ya kiasili
filamu mbaya Kutojenga miundo msingi kwa usawa
kudhibitiwa kupita kiasi Kupendelea maeneo fulani katika ugawaji wa
kukosa nidhamu raslimali
Ukimbizi wa ndani kwa ndani
malezi mabaya/udekezaji
kubomoka kwa msingi wa jamii Ubomoaji wa nyumba
Ufukara kusababisha kujiunga na makundi Suluhisho
haramu Lugha ya taifa
Kukata tamaa Kukabiliana na ufisadi
Kutumiwa vibaya na wanasiasa Usawa katika ugawaji wa raslimali
Suluhisho Kuelimisha kuhusu umoja wa kitaifa
Kujiondoa kundini Tamasha za kitamaduni
Kuimarisha uchumi Kutalii sehemu nyingine za nchi
Kuwashauri vijana Ndoa za makabila tofauti
Kujenga udhabiti wa jamii Serikali ya muungano
Kuwaadhibu kulingana na makosa yao Viongozi wachochezi kuchukuliwa hatua
Vijana kujisaka na kujikosoa kisheria
Vijana kumjua mungu Matatu
Uhuru wa kadiri Faida
Uongozi bora Kurahisisha na kuharakisha usafiri
Malezi bora Ajira
Kuongeza nafasi za ajira Ushuru
Biashara
Umoja na Utangamano katika Familia Huduma za dharura
Kuheshimiana Madhara
Utiifu na unyenyekevu Ajali
Kuwa na usemi Wizi
Kuvumiliana na kusameheana Ufisadi wa polisi kuongezeka
Uaminifu na kuaminiana Kuongeza nauli ghafla
Kutochagulia watoto taaluma na wachumba Ujeuri wa madereva na mataniboi
Wazazi kutolazimisha watoto taaluma au kozi Kuchelewesha watu njiani
wasizotaka Magazeti

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Habari za taifa na kimataifa Kichwa kwa herufi kubwa, kipigwe mstari na


Kuelimisha k.m. kuhusu afya kisizidishe maneni sita
Kuburudisha k.m. vibonzo Upatanisho/uwiano za kisarufi
Matangazo ya biashara Tahajia/hijai
Ajira k.m. wahariri, wauzaji Kuakifisha
Mapato kwa serikali Mtiririko
Kutangaza nafasi za ajira Uhalisi
Elimu k.m. uchambuzi wa vitabu vya fasihi na tafsiri ya moja kwa moja k.m. kurudisha
mashairi mlango, mguu wa gari, kutoa/kuweka nguo
Hutumiwa kufungia bidhaa Maadili (lugha na mawazo safi na mtazamo
Ubakaji wa kusaidia taifa)
Sura mbaya Urefu
ulevi Uasilia (utungo wako si kurejelea vitabu vya
Ulemavu fasihi)
Unyonge wa kiakili Usafi (mwandiko unaosomeka na ambao
Kushindwa kudhibiti jicho na tamaa za mwili haujapigwapigwa mistari na kufutwa)
Njaa ya kimapenzi Tamathali za usemi
Kisasi Msamiati na tamathali zinazokubalika wala si
Kujihisi duni za kupachika. Usitumie msamiati wa kishairi
Kisomo duni k.v. mtima, ja, n.k.
Mavazi Kutofupisha k.v. k.m., n.k., Bi.
Kutumia kistari ikiwa neno linaendelea katika
Athari
mstari wa pili na kutokata silabi
Waliobakwa huathirika kisaikolojia Herufi f, u, i, j, m, l
Kujikosea heshima na kujihisi mchafu Kutaja na kueleza kikamilifu
Magonjwa ya zinaa Kukamilisha maneno
Mimba zisizotakikana Kutotenganisha sehemu za neno k.m. walilo
Vifo zungumzia, walioenda
kujeruhiwa Kutounganisha maneno k.m. kwasababu, ni
Kupoteza imani na wanaume/wanawake mimi
Kutengwa Mdokezo kuoana na maneno yako.
Kufungwa jela Usiongeze maneno kwenye dondoo la
3. UTUNGAJI WA KISANII kumalizia.
Mashairi mepesi (huru/arudhi) Kutoweka dondoo ni kupotoka
Hadithi fupi Kusoma insha baada ya kuandika
Vitendawili 4. UANDISHI WAKAWAIDA
Mafumbo/chemshabongo Ufahamu
Vitanza ndimi Kuelewa
Michezo ya kuigiza
Kuandika idadi ya hoja kulingana na alama
Mambo ya Kuzingatia katika Uadishi wa
Insha Hoja kwa muhtasari
Andika hoja ulizo na uhakika nazo kwanza
maagizo
Kuorodhesha hoja kwa nambari wala si
Usijibu swali usilolielewa kistari
Uandishi mzuri wa nambari ya swali Jibu lililokamilika
unalofanya Kutoa majibu kutoka katika ufahamu si fikra
Kuandika vidokezi zako
Kuandika kila hoja katika aya yake Maana za maneno kama yalivyotumiwa kwa
Kuanzia aya kwa njia tofauti muundo ule ule
Lugha sahili Muhtasari/Ufupisho
Miundo tofauti ya sentensi Kutoa mawazo makuu huku kiini cha taarifa
maudhui kikidumishwa.
muundo Hatua

www.arena.co.ke 0713779527
info@arena.co.ke

Andika nambari za aya kulinganisha


Soma makala
Elewa swali
Andika mambo muhimu ukizingatia swali
ukiondoa maneno yasiyo muhimu
Usibadilishe chochote hata kama unatakiwa
kutumia maneno yako
Andika hoja kikamilifu
Andika nakala safi ukizingatia mtiririko
Epuka viunganishi vingi
Zingatia idadi ya maneno uliyopewa
Zingatia kanuni za uandishi
Piga mshazari nakala chafu
Matumizi ya lugha
Kuzingatia sehemu za swali
Sehemu zinazobadilika
Kuzingatia neno moja moja
Kuzingatia hatua au mbinu
Kutojibu maswali kwa pupa
Kusoma jibu ili kusahihisha makosa
Kuelewa swali k.m. tunga sentensi moja,
eleza maana
Tunga sentensi fupi
Kuonyesha neno, fungu la maneno au
kiambishi unachotumia kutunga sentensi
Kubainisha (eleza kikamilifu kwa kuandika
neno au maneno na jina lake)
Tahajia k.m. yabwa, kitendo
Isimu jamii
Kutaja, kueleza na kutoa mifano
Fasihi
Kufikiri ili kuelewa swali
Usijibu maswali zaidi ya manne. Kama jibu
halikuridhishi, lipige mshazari
Maagizo (swali la kwanza ni la lazima, usijibu
maswali mawili kutoka sehemu moja
Chagua maswali utakayoweza kujibu na
kupata hoja nyingi
Andika nambari vizuri
Usiandike hoja nyingi kuliko alama
Andika hoja ulizo na uhakika nazo kwanza
Hoja kwa aya moja
Kutaja, kueleza kikamilifu na kuthibitisha kwa
mifano kutoka kitabuni (kutaja alama moja,
kueleza mbili)
Usirudie hoja kwa njia tofauti
Kutochanganya wahusika
Kusoma vitabu mara nyingi ili kujua dondoo
limetolewa wapi
Maswali ya dondoo (msemaji, anayeambiwa,
wapi, lini)
Maswali ya kujadili
Swali la methali

www.arena.co.ke 0713779527

You might also like