Professional Documents
Culture Documents
kuajiriwa' Jadili.
INSHA Unapaswa:
Utungo unaoundwa kwa mfululizo wa 1. Kuunga
sentensi zinazozungumzia jambo, tukio au kitu 2. Kupinga
fulani 3. Kutoa uamuzi kutegemea upande ulio
Aina na hoja nyingi au nzito.
g) Insha ya Mawazo
1. INSHA ZA KAWAIDA
1. Inayohusu mambo ya kuwaza kuhusu
a) Insha ya Picha jambo fulani k.m. MIMI NYUKI'
Ambapo mwanafunzi amepewa picha kadha Ni nani asiyenifahamu mimi nyuki.
na kutakiwa kutunga kisa na kueleza yote a) Insha ya Mazungumzo
yanayotokea kwenye picha hizo. Chunguza
Maongeo ya kawaida ambayo huandikwa
vizuri ujue kinachotokea katika hizo picha.
kama tamthilia
Kichwa kiafikiane na picha ulizopewa.
MAZUNGUMZO BAINA YA…
Kila picha ipangwe na kuwa na aya moja.
Muundo
b) Insha ya Methali Kichwa
Insha inayosimulia kisa kinachoonyesha Jina la msemaji kwa herufi kubwa
ukweli au uongo wa methali Fulani. likifuatwa na koloni
Wazia methali nyingine za kutilia mkazo Maneno ya msemaji
methali uliyopewa. maelezo ya mandhari na vitendo vya
Muundo msemaji kwenye mabano
1. Kichwa Wazungumzaji wasikike kama watu wa
1. methali yenyewe kawaida
2. Utangulizi Pawepo na sentensi ndefu na fupi
i. Maana ya juu/wazi Matumizi ya vihisishi
i. Maana ya ndani/batini Ukatizaji wa maneno…
3. Mwili 2. TUNGO ZA KIUAMILIFU
1. kisa kinachofungamana na methali
Ambazo hutekeleza kazi maalum na huwa
cha kweli au cha kubuni
na muundo maalum.
4. Hitimisho
1. funzo/maadili Dayalojia
c) Insha ya Maelezo Mazungumzo kati ya watu wawili au zaidi
kuhusu jambo au mada fulani
1. Inayohusu kutoa ufafanuzi kuhusu
1. DAYALOJIA BAINA YA…
mahali, kitu au jambo fulani kama vile
2. Huwa na utangulizi, mwili na
ugonjwa wa ukimwi, umuhimu wa
hitimisho
maji, n.k.
Mahojiano
d) Insha ya Masimulizi
Mazungumzo yanayoendeshwa kwa
2. Ambapo unatakiwa kusimulia hadithi,
muundo wa maswali na majibu
kisa au tukio kuhusu jinsi mambo
1. (MAHOJIANO BAINA YA…)
fulani yalivyotokea. Huweza kuanzia
kwa Ilikuwa…' Barua ya Kirafiki
e) Insha ya Mdokezo Inayoandikwa kwa ndugu, jamaa na
marafiki.
3. Ambapo umepewa mdokezo wa
Muundo
kuanzia (xxx…) au kumalizia (…xxx)
1. Anwani ya mwandishi (wima au
k.m. …tangu siku hiyo alikula yamini
mshazari. Jina lisiwekwe!)
kutopuuza ushauri wa wazazi wake
2. Tarehe ya kuandikwa barua (22
tena'
Februari, 2011)
f) Insha ya Mjadala 3. Mwanzo wa barua (kwa …
4. Ambapo unatakiwa kujadili suala mpendwa/kwenu…
fulani k.m. Shule za mabweni zina 4. utangulizi (salamu, kumjuliana hali)
5. mwili/yaliyomo (ujumbe) chombo cha habari anachowakilisha
6. Hitimisho (Kwa leo sina mengi. kuhusu suala maalum na muhimu.
Wasalimie jamaa wote. Ni mimi Muundo
wako/wenu, Jina (wima au mshazari) GAZETI LA MZALENDO
Februari 24, 2011
Barua Rasmi/Kwa Mhariri HATIMA YA WATAHINIWA
Yaliyomo
1. Barua ambazo huandikwa na
Imeandikwa na…
kutumwa ofisini kwa kutaka
kuomba kazi, kuomba msaada, Hotuba
malalamiko, kutoa maoni gazetini, Maelezo yanayotolewa mbele ya watu.
n.k. Hutolewa kwa usemi halisi na huanzia na
Muundo kuishia kwa alama za usemi.
Anwani ya mwandishi (wima au mshazari) Muundo
Tarehe ya kuandikwa (usiweke jina). Anwani (HOTUBA KUHUSU…)
Marejeleo k.m. REJ: SUD/MSS/054/009 Utangulizi (kutaja hadhira kuanzia walio
(nambari ya kumbukumbu, faili au mashuhuri, kuwasalimu, kujitambulisha na
nambari ya barua) kuwakaribisha na kutambulisha kiini cha
Cheo na anwani ya mwandikiwa k.m. hotuba)
Mkurugenzi, Kiwanda cha majani chai cha Yaliyomo (kutaja na kufafanua hoja)
Kangaita, S.L.P, 12000, Kerugoya au Hitimisho (shukrani na kuwatakia mema
Mhariri wa Gazeti la Nation', S.L.P katika shughuli zao za kila siku)
89000, Nairobi au KWA ANAYEHUSIKA Ratiba
Kupitia kwa: MWALIMU MKUU, anwani Mpangilio wa jinsi shughuli fulani
Mtajo k.m. Kwa inavyofanyika kulingana na wakati fulani
Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri uliotengwa k.m. sherehe ya arusi, mazishi,
Kichwa cha barua k.m. MINT: OMBI LA siku ya michezo, kutoa zawadi n.k.
KAZI YA UALIMU/MAPENDEKEZO Muundo
KUHUSU JUMA MRISHO/ MWALIKO Kichwa (Ratiba ya shughuli gani, ya nani,
WA KUHUDHURIA KONGAMANO LA mahali na tarehe, mgeni wa heshima: …
KISWAHILI Wageni mashuhuri: 1….2….3….)
Utangulizi (Mintaarafu ya tangazo
mlilochapisha…naandika kuomba…
jinsia…ahadi kufanya kazi kwa bidii)
Mwili (matatizo, madhara, mapendekezo
(naomba, paswa, stahili, naonelea ni bora) Makaribisho
Hitimisho (Natumai, Nitashukuru…Wako Maombi
mwaminifu/mtiifu, sahihi, jina /cheo, Kutoa tuzo
Chama cha Kiswahili. Nakala kwa: (i), (ii) Kutoa shukrani
(wima au mshazari) Kufungwa kwa maombi
Barua ya Gazetini Iliyohaririwa Kuondoka/kufumkana
Kichwa (kwa herufi ndogo na usemi Shajara
halisi) 1. Daftari ambayo huhifadhiwa matukio
mtajo (Mhariri,) yanayofanyika kila siku. Yaweza kuwa
Utangulizi (Naandika kueleza…) ya siku moja, wiki au mwezi mmoja.
Mwili (malalamiko, maoni, maombi, Aina
mapendekezo) a) Ya kibinafsi
Hitimisho (Natumai…) jina na anwani ya JUMANNE 30/8/10
mwandishi) Leo tulizuru…
Tahariri b) Rasmi (hutumiwa katika ofisi)
1. Maelezo mafupi ya mhariri wa gazeti SHAJARA
kutoa mawazo, maoni au msimamo wa JUMANNE MEI 7, 2008
b) Kibiashara
Onyo Sifa
1. Makatazo. Lugha kwa kifupi
Chuku
Tahadhari ONYO! Takriri
2. USISIMAMISHE WALA KUEGESHA Alama ya (!) na (?)
Julisho GARI KWENYE ENEO HILI!
Michoro
kuhusu jambo la hatari. Maonyo
Maelezo kukihusu
Kinavyotumika
Ubora wake
Watengenezaji
Ilani JINUNULIE UNGA WA MAHINDI
3. Julisho, tangazo au notisi. WA
ILANI
TAFADHALI USITUMIE SIMU
YA MKONO NDANI YA BENKI