You are on page 1of 20

INSHA NA USHAIRI manufaa' au ‘Kujiajiri ni bora kuliko

kuajiriwa' Jadili.
INSHA Unapaswa:
 Utungo unaoundwa kwa mfululizo wa 1. Kuunga
sentensi zinazozungumzia jambo, tukio au kitu 2. Kupinga
fulani 3. Kutoa uamuzi kutegemea upande ulio
Aina na hoja nyingi au nzito.
g) Insha ya Mawazo
1. INSHA ZA KAWAIDA
1. Inayohusu mambo ya kuwaza kuhusu
a) Insha ya Picha jambo fulani k.m. ‘MIMI NYUKI'
 Ambapo mwanafunzi amepewa picha kadha  Ni nani asiyenifahamu mimi nyuki.
na kutakiwa kutunga kisa na kueleza yote a) Insha ya Mazungumzo
yanayotokea kwenye picha hizo. Chunguza
 Maongeo ya kawaida ambayo huandikwa
vizuri ujue kinachotokea katika hizo picha.
kama tamthilia
 Kichwa kiafikiane na picha ulizopewa.
 MAZUNGUMZO BAINA YA…
Kila picha ipangwe na kuwa na aya moja.
Muundo
b) Insha ya Methali  Kichwa
 Insha inayosimulia kisa kinachoonyesha  Jina la msemaji kwa herufi kubwa
ukweli au uongo wa methali Fulani. likifuatwa na koloni
 Wazia methali nyingine za kutilia mkazo  Maneno ya msemaji
methali uliyopewa.  maelezo ya mandhari na vitendo vya
Muundo msemaji kwenye mabano
1. Kichwa  Wazungumzaji wasikike kama watu wa
1. methali yenyewe kawaida
2. Utangulizi  Pawepo na sentensi ndefu na fupi
i. Maana ya juu/wazi  Matumizi ya vihisishi
i. Maana ya ndani/batini  Ukatizaji wa maneno…
3. Mwili 2. TUNGO ZA KIUAMILIFU
1. kisa kinachofungamana na methali
 Ambazo hutekeleza kazi maalum na huwa
cha kweli au cha kubuni
na muundo maalum.
4. Hitimisho
1. funzo/maadili Dayalojia
c) Insha ya Maelezo  Mazungumzo kati ya watu wawili au zaidi
kuhusu jambo au mada fulani
1. Inayohusu kutoa ufafanuzi kuhusu
1. DAYALOJIA BAINA YA…
mahali, kitu au jambo fulani kama vile
2. Huwa na utangulizi, mwili na
ugonjwa wa ukimwi, umuhimu wa
hitimisho
maji, n.k.
Mahojiano
d) Insha ya Masimulizi
 Mazungumzo yanayoendeshwa kwa
2. Ambapo unatakiwa kusimulia hadithi,
muundo wa maswali na majibu
kisa au tukio kuhusu jinsi mambo
1. (MAHOJIANO BAINA YA…)
fulani yalivyotokea. Huweza kuanzia
kwa ‘Ilikuwa…' Barua ya Kirafiki
e) Insha ya Mdokezo  Inayoandikwa kwa ndugu, jamaa na
marafiki.
3. Ambapo umepewa mdokezo wa
Muundo
kuanzia (xxx…) au kumalizia (…xxx)
1. Anwani ya mwandishi (wima au
k.m. ‘…tangu siku hiyo alikula yamini
mshazari. Jina lisiwekwe!)
kutopuuza ushauri wa wazazi wake
2. Tarehe ya kuandikwa barua (22
tena'
Februari, 2011)
f) Insha ya Mjadala 3. Mwanzo wa barua (kwa …
4. Ambapo unatakiwa kujadili suala mpendwa/kwenu…
fulani k.m. ‘Shule za mabweni zina 4. utangulizi (salamu, kumjuliana hali)
5. mwili/yaliyomo (ujumbe) chombo cha habari anachowakilisha
6. Hitimisho (Kwa leo sina mengi. kuhusu suala maalum na muhimu.
Wasalimie jamaa wote. Ni mimi Muundo
wako/wenu, Jina (wima au mshazari) GAZETI LA MZALENDO
Februari 24, 2011
Barua Rasmi/Kwa Mhariri HATIMA YA WATAHINIWA
Yaliyomo
1. Barua ambazo huandikwa na
Imeandikwa na…
kutumwa ofisini kwa kutaka
kuomba kazi, kuomba msaada, Hotuba
malalamiko, kutoa maoni gazetini,  Maelezo yanayotolewa mbele ya watu.
n.k.  Hutolewa kwa usemi halisi na huanzia na
Muundo kuishia kwa alama za usemi.
 Anwani ya mwandishi (wima au mshazari) Muundo
 Tarehe ya kuandikwa (usiweke jina).  Anwani (HOTUBA KUHUSU…)
 Marejeleo k.m. REJ: SUD/MSS/054/009  Utangulizi (kutaja hadhira kuanzia walio
(nambari ya kumbukumbu, faili au mashuhuri, kuwasalimu, kujitambulisha na
nambari ya barua) kuwakaribisha na kutambulisha kiini cha
 Cheo na anwani ya mwandikiwa k.m. hotuba)
Mkurugenzi, Kiwanda cha majani chai cha  Yaliyomo (kutaja na kufafanua hoja)
Kangaita, S.L.P, 12000, Kerugoya au  Hitimisho (shukrani na kuwatakia mema
Mhariri wa Gazeti la ‘Nation', S.L.P katika shughuli zao za kila siku)
89000, Nairobi au KWA ANAYEHUSIKA Ratiba
 Kupitia kwa: MWALIMU MKUU, anwani  Mpangilio wa jinsi shughuli fulani
 Mtajo k.m. Kwa inavyofanyika kulingana na wakati fulani
Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri uliotengwa k.m. sherehe ya arusi, mazishi,
 Kichwa cha barua k.m. MINT: OMBI LA siku ya michezo, kutoa zawadi n.k.
KAZI YA UALIMU/MAPENDEKEZO Muundo
KUHUSU JUMA MRISHO/ MWALIKO  Kichwa (Ratiba ya shughuli gani, ya nani,
WA KUHUDHURIA KONGAMANO LA mahali na tarehe, mgeni wa heshima: …
KISWAHILI Wageni mashuhuri: 1….2….3….)
 Utangulizi (Mintaarafu ya tangazo
mlilochapisha…naandika kuomba…
jinsia…ahadi kufanya kazi kwa bidii)
 Mwili (matatizo, madhara, mapendekezo
(naomba, paswa, stahili, naonelea ni bora)  Makaribisho
 Hitimisho (Natumai, Nitashukuru…Wako  Maombi
mwaminifu/mtiifu, sahihi, jina /cheo,  Kutoa tuzo
Chama cha Kiswahili. Nakala kwa: (i), (ii)  Kutoa shukrani
(wima au mshazari)  Kufungwa kwa maombi
Barua ya Gazetini Iliyohaririwa  Kuondoka/kufumkana
 Kichwa (kwa herufi ndogo na usemi Shajara
halisi) 1. Daftari ambayo huhifadhiwa matukio
 mtajo (Mhariri,) yanayofanyika kila siku. Yaweza kuwa
 Utangulizi (Naandika kueleza…) ya siku moja, wiki au mwezi mmoja.
 Mwili (malalamiko, maoni, maombi, Aina
mapendekezo) a) Ya kibinafsi
 Hitimisho (Natumai…) jina na anwani ya JUMANNE 30/8/10
mwandishi) Leo tulizuru…
Tahariri b) Rasmi (hutumiwa katika ofisi)
1. Maelezo mafupi ya mhariri wa gazeti SHAJARA
kutoa mawazo, maoni au msimamo wa JUMANNE MEI 7, 2008
b) Kibiashara
Onyo Sifa
1. Makatazo.  Lugha kwa kifupi
 Chuku
Tahadhari ONYO!  Takriri
2. USISIMAMISHE WALA KUEGESHA  Alama ya (!) na (?)
Julisho GARI KWENYE ENEO HILI!
 Michoro
kuhusu jambo la hatari.  Maonyo
 Maelezo kukihusu
 Kinavyotumika
 Ubora wake
 Watengenezaji
Ilani JINUNULIE UNGA WA MAHINDI
3. Julisho, tangazo au notisi. WA

ILANI
TAFADHALI USITUMIE SIMU
YA MKONO NDANI YA BENKI

ILANI YA SERIKALI KUHUSU KUZUKA


KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
Serikali imetoa ilani kwa wananchi kuhusu
kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu. Kila c) Kifo
mwananchi anatakikana kuzingatia mambo TANGAZO LA KIFO
yafuatayo ili kudhibiti maambukizi. Tunasikitika kutangaza kifo cha …Alikuwa…
a) Mtu asinywe maji kabla kuyachemsha Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi
b) Kupika chakula hadi kiive vizuri d) kazi
c) Kutoenda haja nje bali kutumia vyoo vya SHULE YA UPILI YA GATWE
mashimo Anwani, tarehe
d) Mtu anawe mikono yake kwa sabuni baada NAFASI YA KAZI YA UHASIBU
ya kutoka msalani SIFA ZA MWOMBA KAZI
e) Mtu asile matunda au mboga za majani JINSIA
bila kuziosha kwanza Awe wa jinsia ya kike.
f) Anayeonyesha dalili ya ugonjwa wa UMRI
kipindupindu apelekwe katika kituo cha Awe na umri wa miaka isiyopungua25 na
afya mara moja. isiyozidi 40.
g) Uchuuzi wa vyakula umepigwa marufuku ELIMU
h) Ufuliaji nguo motoni pia umepigwa i. Awe na shahada ya uhasibu kutoka chuo
marufuku kikuu au awe na shahada ya diploma ya
Watakaokaidi maagizo katika (g) na (h) juu ya uhasibu
watachukuliwa hatua kali za kisheria ya kutozwa ii. Awe amepata alama ya c katika kingereza
faini ya shilingi elfu tano au kifungo cha miezi KAZI
miwili gerezani. i. Kuidhinisha hati za malipo za shirika
Matangazo ii. Kusimamia shughuli za uhasibu katika
idara inayohusika
4. Majulisho kuhusu jambo fulani.
UZOEVU/TAJRIBA
a) Arifa
Awe na uzoevu wa kazi usiopungua miaka 5
SHULE YA UPILI YA GATWE
kwenye shirika au taasisi kubwa.
Anwani, tarehe
DINI
USAJILI WA …
Awe muumini wa dini ya kikristu na awe
Sahihi
ameokoka.
Jina
MUDA WA KAZI
Cheo
Kuanzia saa mbili hadi saa kumi na moja jioni JINA…………………………………………
na masaa mengine ikibidi. ………………………………………………
MSHAHARA …………………………….
Mshahara utategemea elimu ya anayehusika JINSIA………………………………………
lakini utakuwa baina ya ksh 24,000 na ksh ………………………………………………
45000. ……………………………
MAELEZO YA ZIADA UMRI…………………………………………
i. Maombi yote yawe yamewasilishwa kabla ………………………………………………
ya tarehe 30 mei 2010. …………………….........
ii. Maombi yatumwe kwa: TAREHE YA
Katibu, KUZALIWA…………………………………
Halmashauri ya shule ya upili ya ………………………………………………
Gatwe, …………
Anwani URAIA………………………………………
iii. Maombi yatakayopelekwa baada ya muda ………………………………………………
wa mwisho hayatajibiwa. …………………………….
iv. Maombi yaandamane na hundi ya shilingi NAMBARI YA
elfu moja ambazo hazitarejeshwa. KITAMBULISHO…………………………
Maagizo/Maelekezo ………………………………………………
 Maelezo kuhusu namna ya kufika mahali ………
kutoka kituo fulani au maelezo kuhusu njia KAZI…………………………………………
ya kutumia kitu au huduma fulani. ………………………………………………
Sifa …………………………….
a) Maelezo wazi MKOA………………………………………
b) Michoro au ramani ………………………………………………
c) Dira …………………………….
d) Huhusika maonyo WILAYA……………………………………
e) Tarakimu k.m. 1×3 ………………………………………………
f) Matumizi ya herufi nzito. …………………………….
Mifano SIMU…………………………………………
a) Maagizo ya daktari kwa mgonjwa wa ………………………………………………
kisukari. …………………………..
b) Maelekezo ya kutoka nyumbani hadi SAHIHI………………………………………
shuleni mwenu. ………………………………………………
c) Jinsi ya kutumia dawa za wadudu ………………………….
Kujaza Fomu TAREHE……………………………………
………………………………………………
 Karatasi ambayo ina nafasi ya kuandika
……………………………
maelezo ambayo yanatakiwa.
a) Soma fomu kwa makini kabla ya kujaza Hojaji
chochote.  Maswali ambayo hutumiwa kama msingi
b) Andika maelezo kwa muhtasari. wa kufanyia utafiti na huelekezwa kwa
c) Usijaze kama huna hakika kwenye sehemu mhojiwa.
Fulani. Aina
d) Usifutafute. a) Hojaji Wazi
e) Itumie alama inayostahili wakati wa  Hojaji yenye maswali ambayo mhojiwa
kujaza fomu. anaruhusiwa kuyajibu kwa maneno yake
MAELEZO YA KIBINAFSI mwenyewe.
UCHAGUZI NA VIONGOZI
TAREHE…………………………………… 1. Una maoni gani kuhusu uchaguzi wa kila
……………………………………………… baada ya miaka mitatu?
…………………………….. ……………………………………………
……………………………………………
……………………………………………  Tarehe
…………………………………  Wakati
2. Kwa nini una maoni hayo?  Anwani na nambari ya simu ya mwalikaji
…………………………………………… ambapo jibu litapelekwa kushoto chini
…………………………………………… (Majibu kwa…wima)
…………………………………………… b) Kirafiki (barua ya kirafiki)
………………………………… 1. Sehemu ya mwili itoe habari zote
3. Wewe ungependelea utaratibu gani wa muhimu katika mwaliko.
uchaguzi? Risala
…………………………………………… 1. Taarifa inayotoka kwa mtu au
…………………………………………… watu inayoeleza haja fulani
…………………………………………… k.m. risaala ya rambirambi,
………………………………… risala ya heri njema, ya
4. Je ni kweli viongozi hung'ang'ania waajiriwa kwa mwajiri au
mamlaka? ................................................... kinyume.
..................................................................... RISALA YA RAMBIRAMBI/HERI NJEMA
..................................................................... KWA…KUFUATIA
................................................................... Mimi wako…
5. Je viongozi hung'ang'ania uongozi kwa Resipe
sababu zipi?
2. Jumla ya hatua na kanuni
a) ……………………………………………
ambazo hufuatiwa na mtu
……………....………………………
anayenuia kupika au kuandaa
b) ……………………………………………
kitu fulani.
………………………………………
UPISHI WA PILAU
c) ……………………………………………
Walengwa/walaji
….….…………………………….….
Mipakuo mine (kwa watu wanne)
b) Hojaji Funge
Viambata
1. Hojaji ambapo mhojiwa anapewa
a) Vikombe viwili vya mchele
majibu kadha ambayo anatakiwa
b) Gramu 25 za mafuta ya majimaji
kuchagua mojawapo bila kuwa na
c) Vijiko viwili vidogo vya pilau masala
uhuru wa kuandika atakayo.
d) Nusu kilo ya nyama
2.
e) Vitunguu vinne vya ukubwa wa wastani
MATATIZO YA KIJAMII
f) Vikombe vinne vwa maji
Tia alama kwenye jibu unaloafiki
Hatua za Upishi
a) Jamii yetu inawakandamiza wanawake?
a) Kaanga vitunguu katika mafuta hadi rangi
Ndiyo ( ) La ( )
yake ikaribie rangi ya udhurungi
b) Tatizo kubwa la jamii yetu kwa sasa ni
b) Chemsha nyama pekee hadi ilainike
umaskini na ugonjwa.
c) Ongeza nyama kwenye sufuria yenye
Kweli ( ) Si kweli ( )
vitunguu na upike kwa dakika tano
d) Ongeza mchele na uchanganye kwa
Mialiko mwiko
 Barua ambayo hupeleka taarifa kwa mtu e) Ongeza maji na uache mchanganyiko
kumuomba ahudhurie sherehe fulani. utokote kwa dakika kumi na tano
a) Rasmi (kadi au barua rasmi) f) Pakua pilau ikiwa tayari
Muundo
 Jina la mwalikaji/waalikaji Orodha Ya Mambo
(Bwana/mabwana/bibi/kasisi/daktari
1. Mlolongo wa vitu vilivyoandikwa.
 Jina la mwalikwa
MAHITAJI MUHIMU YA KURUDI
 Sherehe (ndoa, mchango wa pesa, Kuna
SHULENI TAREHE 5/1/2010
aina mbili za mialiko.
a) Sukari kilo mbili
 Kusherehekea/kuadhimisha…)
b) Dawa ya meno ya gramu hamsini
 Kuhusu nani
c) Koko gramu 500
 Mahali pa kukutanika
d) Sabuni sita za kipande Mariga Mununga
e) Kalamu nne za rangi Mwanahabari
f) Penseli moja Wasifu
g) Rangi ya viatu ya gramu 40 5. Maelezo ya mtu kuhusu mtu mwingine
tangu kuzaliwa mpaka alipo au kufa
Tahakiki kwake.
1. Maandishi ya kuchambua maandishi WASUFU WA NDUGU YANGU JUMA
ya fasihi.
USASA WAKUTANA NA UKALE Tawasifu
Anwani: Kitumbua Kimeingia Mchanga 6. Maelezo ya mtu kujihusu
Mwandishi: Said A. Mohamed TAWASIFU YANGU
Mchapishaji: Oxford University Press Vidokezo
Mhakiki: Amina Fuzo  Jina lake/lako
Maudhui  Jinsia
Meme  Anakotoka
2. Barua ambazo huhusisha matumizi ya  Umri
ya vifaa vya umeme kama talakilishi,  Kuzaliwa
kiepesi/nukulishi/faksi au simu ya  Maumbile
mkonono/tamba/rukono.  Elimu
Barua za Mdahilisi/Pepe  Kazi
2. Ambazo hutumwa kwa tarakilishi kwa  Hadhi ya ndoa
njia ya mtandao.  Lugha
Ijumaa Machi 30, 2007 saa 08:09:19  Lakabu na sababu
Kutoka: aisha@yahoo.com  Umaarufu
Kwa: ahmed@african online.ke  Uraibu
Nakala kwa: amina @ mwananchi.com Wasifutaala/Wasifu Kazi
MINT/KUH:  Maelezo rasmi kuhusu mtu binafsi ambayo
Barua ya kawaida huambatanishwa na barua ya kuomba kazi.
Hitimisho: Aisha Kizito Makwere WASIFUTAALA WANGU
Memo MAELEZO BINAFSI
3. Taarifa fupi ambayo huandikwa ofisini Jina : Farida Almasi
kuhusu mambo ya ndani kutoa Juma
maelekezo, maelezo au kukumbusha Tarehe ya Kuzaliwa : 7-6-1980
kuhusu jambo fulani. Ujumbe huwa Umri : miaka 22
mfupi na huhusu suala moja tu. Mahali pa kuzaliwa : Voi
SHULE YA UPILI YA GATWE Jinsia : mwanamke
Anwani Hadhi ya ndoa :
MEMO Nimeolewa/kapera
REJ: km/01/06 Nambari ya kitambulisho : 12345678
KUTOKA: Mwalimu Mkuu Uraia : Mkenya
KWA: wafanyakazi wote Lugha : Kiswahili,
MADA: likizo fupi Kingereza, Kikuyu
TAREHE: 28/2/2011 Anwani ya kudumu : S.L.P. 1600, Voi
Ujumbe Barua pepe :
Sahihi Farial@yahoo.com
Jina Simu tamba : 9876543210
Cheo (mwalimu mkuu)
Taarifa ELIMU
Chuo Kikuu cha Maseno (Shahada ya
4. Kuarifu kuhusu habari mpya
Uhasibu)
UCHOCHEZI
Shule ya upili ya Shimoni (Shahada ya KCSE)
Hitimisho
1978-1987 Shule ya Msingi ya  Kusomwa na katibu, aliyependekeza na
Umazi (shahada ya KCPE) aliyedhibitisha.
c) Masuala yaliyotokana na kumbukumbu
hizo
TAJRIBA  (a) KUMB 8/2008 ununuzi wa miti
Mpaka sasa Mhasibu katika d) Shughuli nyinginezo
shule chekechea ya Mtakatifu Yohana e) Kufunga mkutano (KUMB 7/2009)
 Mkutano uliisha saa ngapi, maombi
HABARI ZA ZIADA yaliongozwa na nani, na mwingine
URAIBU ukapangwa kuwa wa siku gani.
a) Kusoma vitabu vya sarufi na fasihi  Maneo kama walikubaliana, waliafikiana,
b) Kutembelea wajane, mayatima na alipendekezwa, ilisemekana, waliambiwa,
wagonjwa ilionelewa ni bora, walishauriwa, ilidaiwa,
c) Kuandika mashairi aliomba, n.k.
AZIMIO LANGU THIBITISHO
a) Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza KATIBU TAREHE……………
masomo yangu hadi kiwango cha SAHIHI ……………
uzamifu MWENYEKITI TAREHE ……….......
b) Kuwa mhasibu bora zaidi nchini kwa SAHIHI ……………
matendo na kuwapa wananchi huduma Ripoti
za kufaa  Maelezo kuhusu mtu, kitu au tukio
WAREJELEWA a) Ripoti ya Kawaida
1. Profesa Hassan Muoso, 1. Swali huanzia kwa ‘Wewe kama
Chuo Kikuu Kenyatta, katibu wa chama…'
S.L.P.43844, Muundo
Nairobi.  Kichwa (ripoti ya kamati/jopo gani)
 Utangulizi (maelezo mafupi ya jumla
2. Maimuna Njavu Mukota, kuhusu chama)
Shule ya Upili ya Alliance,  Shughuli za chama (i, ii, iii)
S.L.P. 1 234,  Hitimisho (matumaini, mwito kwa
Nairobi. wengine wajiunge, wajitahidi)
Kumbukumbu  Ripoti imeandikwa na (jina, cheo/katibu,
 Maelezo kuhusu yaliyojadiliwa na sahihi, tarehe)
kuafikiwa katika mkutano. b) Ripoti Maalum
Muundo  Kichwa (ripoti ya jopo la kutathmini
 Kichwa (kumbukumbu za mkutano wa usalama barabarani)
kamati/jopo gani, uliofanyika wapi, tarehe  Utangulizi/Hadidu za rejea (ripoti
gani, saa ngapi hadi gani na majira) ilihitajika na kamati gani, uchunguzi
 Waliohudhuria (mwenyekiti, katibu, ulifanywa kubainisha nini, matokeo
mweka hazina, wanakamati) kuelezewa chini pamoja na mapendekezo
 Waliotuma udhuru kwa kutohudhuria kutolewa)
 Waliokosa kutuma udhuru wa  Jopo (majina na vyeo vya wanajopo
kutohudhuria waliohusika)
 waalikwa  Utaratibu/ hatua za utafiti (wanakamati
 Ajenda walifanya nini (kamati iliwahoji…ilifanya
a) Kufunguliwa kwa mkutano (KUMB ukaguzi wa magari, iliwapa baadhi ya
3/2OO9) wasafiri hojaji wakajaza, ilipiga picha za
 Kufunguliwa kwa mkutano, mwenyekiti video, mashauriano)
kuwakaribisha na kuwashukuru  Matokeo (kamati iligundua kuwa: (a)
waliohudhuruia na kumwomba … aongoze  Mapendekezo (suluhisho la shida)
kwa maombi.  Hitimisho (ripoti imeandikwa na, sahihi,
b) Kusoma na kudhibitisha kumbukumbu za jina, cheo/katibu, tarehe 21 Machi 2011.
mkutano uliotangulia
3. UTUNGAJI WA/INSHA ZA KISANII 13. mwandamizi
a) michezo ya kuigiza  kipande cha tatu katika mshororo
b) hadithi fupi 14. mizani
c) mashairi  silabi zinazotamkika katika mishororo
d) mafumbo 15. urari wa mizani
e) vitanza ndimi  kuwepo kwa idadi sawa ya mizani
katika mishororo
USHAIRI 16. kina/vina
Istilahi za Kishairi  silabi zinazotamkika kwa namna sawa
1. arudhi zinazopatikana katikati na mwishoni
 sheria za jadi zzinazofuatwa na mwa sentensi.
watunzi wa mashairi: 17. urari wa vina/vue
a) kugawa shairi katika beti  kuwepo kwa silabi zinazotamkika kwa
b) beti kugawika katika mishororo namna sawa
inayolingana kiidadi Aina za Mashairi
c) mishororo kugawika katika a) mashairi la arudhi/ushairi wa kijadi
vipande 1. Ambayo huzingatia sheria za jadi za
d) mishororo kuwa na mizani utunzi wa mashairi.
zinazolingana kiidadi (urari wa b) mashairi huru
mizani)  Ambayo hayazingatii sheria za jadi za
e) kuwa na vina vya kati na vya utunzi wa mashairi.
mwisho vinavyotamkika kwa Mashairi ya Arudhi
namna sawa (urari wa vina) a) Aina
f) mtoshelezo wa beti au beti kutoa i. tathmina (mshororo mmoja katika kila
wazo kamili ubeti)
2. bahari ii. tathnia (miwili)
 aina tofauti tofauti za mashairi k.m. iii. tathlitha (mitatu)
ukara iv. tarbia (minne)
3. ubeti/beti v. takhmisa (mitano)
1. kifungu katika shairi vi. tasdisa (sita)
kinachojitosheleza kimaaa vii. ushuri (kumi)
4. mshororo b) Bahari
 mstari katika ubeti viii. mtiririko (mfanano wa vina vya
5. mwanzo kati na vya mwisho katika shairi zima)
 mshororo katika ubeti ix. ukara (vina vya mwisho kufanana na
6. mloto vya kati kutofautiana)
 mshororo wa pili katika ubeti x. ukaraguni (vina vya kati na vya
7. mleo mwisho kutofautiana katika shairi
 mshororo wa tatu katika ubeti zima)
8. kimalizio xi. kikwamba (mishororo kuanza kwa
 mshororo wa mwisho ambao neno fulani katika shairi zima)
haurudiwi katika kila ubeti xii. pindu (neno au maneno mawili ya
9. kibwagizo/mkarara/kipokeo/kiitikio mwisho ya kila mshororo kutumiwa
 mshororo wa mwisho ambao kuanzia mshororo unaofuata) k.m.
hurudiwarudiwa katika kila ubeti na kicha changu wachezea. Wachezea
hubeba maudhui au kiini cha shairi. kichwa changu.
10. kipande/mgao xiii. Tenzi/tendi (mgao mmoja, kina
 sehemu katika mshororo ambayo kimoja)
huonyeshwa na koma na huwa na kina xiv.Mathnawi (migao miwili, vina viwili)
11. ukwapi xv. Ukawafi (migao mitatu, tumbuizo
 kipande cha kwanza katika mshororo 8,8,8)
12. utao xvi. Ngonjera (majibizano)
 kipande cha pili katika mshororo
xvii. Malumbano (kujinaki/kuonyesha 1. kibali mshairi alichonacho kukiuka
ugwiji akimdunisha mshairi mpinzani sheria fulani.
ili kutaniana) i) Inkisari (kufupisha ili kuwe na
xviii. Msuko (mshororo wa mwisho urari wa mizani na vina. Aghalabu
mfupi kuliko inayotangulia) huonyeshwa kwa matumizi ya
xix. Sakarani (mchanganyiko wa ritifaa k.m. ‘sikate-usikate)
bahari) xxxiv. Mazda/mazida (kurefusha
xx. Dura mandhuma (kauli/swali katika neno ili kuwa na urari wa mizani
ukwapi na mjalizo/jibu katika utao na vina)
k.m. shida zikishinda, hazishindiki. xxxv. Tabdila (kubadilisha tahajia
Unalolipenda, halipendeki. ya neno bila kuzidisha au
Unapopaenda, hapaendeki) kupunguza mizani k.m. siachi-siati)
xxi. Gungu (mizani 12, kina kimoja cha xxxvi. Utohozi
mwisho) xxxvii. Kuboronga/kufinyanga
xxii. Upeo (mishororo inayozidiana ki sarufi (kubadili mpangilio wa
mizani) maneno katika sentensi k.m. upesi
xxiii. Kikai (mizani 12, 4:8 au 8:4, jielimishe)
hakuna ulinganifu wa mizani katika xxxviii. Kiswahili cha kikale/ujadi
ukwapi na utao) (mtima, ngeu, insi, mja)
xxiv. Zivindo (hutoa maana tofauti za xxxix. Lahaja k.m. ficha-fita
neno k.m. xl. Matumizi ya ritifaa
xxv. Sumbila (kila ubeti una kimalizio e) Lugha ya Nathari
tofauti na beti nyingine)  lugha ya kawaida na kimtiririko
c) Muundo/Umbo/Sura ya Nje  Kutotumia koma au vipande
xxvi. Kutaja idadi ya beti  Kutumia maumbo ya kawaida ya
xxvii. Mishororo mingapi katika kila maneno
ubeti  Ubeti kutengewa aya moja
xxviii. Vipande vingapi katika kila  Kuondoa uhuru na kusanifisha
mshororo-aina lahaja na kikale
xxix. Mpangilio wa mizani na jumla f) matumizi ya lugha/fani
k.m. ukwapi 8, utao 8, jumla 16. g) matumizi ya maneno (kama
8 8 yalivyotumiwa)
8 8 h) ujumbe
8 8 i) maudhui
8 8 j) dhamira
xxx. Mpangilio wa vina au kufanana,  kusimanga, kusuta, kudharau, kusifu,
kutofanana katika shairi zima au vina kufunza, n.k.
vya mwisho kufanana na vya kati Mashairi Huru
kutofautiana-bahari Sifa/Mbinu
na ma a) urudiaji
na ma i) wa neno (takriri neno)
na ma ii) wa kifungu (usambamba)
ka ba Umuhimu
Vina na Mizani 1. kusisitiza ujumbe
8a 8b 2. kutia ridhimu/mapigo fulani katika
8a 8b usomaji
8a 8b b) mishata
8c 8b 1. mishtari ambayo haikamiliki. Mistari
xxxi. Kibwagizo(linacho au halina. toshelezi ni mistari iliyokamilika.
Kinakili kama kipo) c) sehemu za beti kuingizwa ndani
xxxii. Majibizano (ngonjera) Umuhimu
xxxiii. Malumbano (majinaki)  ili kusisitiza
d) Uhuru/Idhini za Kishairi  kuzifanya zionekane wazi
Ulinganishaji wa Shairi la Arudhi na  Kupika vyakula vizuri
Shairi Huru  Kunawa mikono na macho
 Kuchemsha maji au kuyatia dawa kabla ya
Kufananisha
kuyanywa
a) yote mawili ni sanaa ya ushairi
 Kutozini au kutumia kinga
b) mishororo kupangwa katika beti
 Chanjo kwa watoto
c) yametumia mbinu za lugha za namna moja
 Kutochangia vifaa kama vitana na nyembe
d) alama za kuakifisha zinazofanana
na mavazi ili kujikinga na magonjwa ya
e) kufanana kimuundo
ngozi.
f) uhuru wa kishairi
 Kulala ndani ya neti iliyotiwa dawa
Kutofautisha
 Kufyeka nyasi karibu na nyumba na
a) moja ni la arudhi jingine ni huru
kutupa mikebe iliyo na maji
b) mishata
 Kuweka dawa kwenye vidimbwi ili kuua
c) sehemu za beti kuingizwa ndani
mbu
d) kuwa au kutokuwa na urari wa mizani
 Kutotumia vileo kama vile pombe na
e) kuwa au kutokuwa na urari wa vina
sigara
f) tofauti kimaudhui
 Kuzuia kunyeshewa na mvua na kuvaa
g) idadi ya beti
mavazi mazito wakati wa baridi au usiku
h) idadi ya mishororo katika beti
 Kukohoa au kupiga chafya mtu akiwa
i) vipande
ameziba pua na midomo na kutotema
j) kutumia alama za uakifishi tofauti
kikohozi ovyo
k) uhuru wa kishairi
 Kutubu dhambi, kujua Mungu na kuomba
MASUALA IBUKA kwa afya ya kiroho
Magonjwa Ukimwi
Aina  Ugonjwa unaosababishwa na virusi vya
d) malaria HIV unaofanya mwili kupungukiwa na
e) mafua kinga dhidi magonjwa.
f) macho Njia za Maambukizi
g) ngozi a) Uzinzi, ubakaji au ulawiti
h) meno b) Tohara ambapo ngariga anatumia kisu
i) kifua kikuu kimoja kwa watahiriwa wote
j) homa ya mapafu c) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k.v.
k) kifaduro nyembe, vinyoleo n.k.
l) zinaa (kaswede/syphilis) d) Utumiaji wa sindano moja na vifaa vya
m) kipindupindu upasuati ambavyo havijatiwa dawa au
n) homa ya matumbo kutokoswa ili kuua viini
o) homa ya mapafu e) Wanawake kuambukiza watoto
p) shinikizo la damu wakijifungua
q) ugonjwa wa moyo f) Kuongezewa damu ambayo haijapimwa au
r) matumbwitumbwi/machapwi haijapimwa vizuri.
s) saratani g) Utumiaji wa dawa za kulevya kwa
t) utapia mlo kujidunga kwa sindano moja
u) ukambi/surua h) Ulevi kumfanya mtu kupotewa na
v) tetewanga utambuzi kisha kufanya ngono na mtu
w) homa aliyeambukizwa.
x) malale i) Kubusu mtu aliye na virusi ukiwa na
Jinsi ya Kujikinga na Magonjwa vidonda kinywani
 Kula chakula chenye virutubisho vyote na j) Wakati wa ajali watu walio na viini
madini wanapojeruhiwa na kutokwa na damu na
 Kutotumia chumvi, sukari au mafuta inafikia majeraha katika miili ya wasio na
mengi hivyo viini
 Kufanya mazoezi Dalili
 Kupimwa mara kwa mara  Kukohoa kwa muda mrefu
 Kuendesha kwa muda mrefu  Walioambukizwa kutofanya mapenzi bila
 Kupoteza hamu ya kula kinga ili wasipate virusi aina tofauti na
 Kukonda au kupoteza uzani wa zaidi ya sugu au magonjwa mengine ya zinaa
kilo 10 kwa muda mfupi  Kula chakula vinavyofaa na kufanya
 Mwili kudhoofika/unyonge mazoezi
 Kunyonyoka nywele  Kupata matibabu wakati ufaao mtu
 Jipu lmwilini anapougua magonjwa mengine
 Mwasho mkali katika ngozi  Kumjua Mungu ili kumwamini na
 Vidonda kinywani na kooni kumtumainia ili kuondoa uoga na
 Homa na kutokwa na jasho jingi usiku mahangaiko na hivyo kumwezeha mtu
 Magonjwa ya kifua kikuu na homa ya kuishi siku zaidi
mapafu Unyanyasaji/Udunishaji wa
 Saratani ya ngozi Wanawake na Utamaduni/Taasubi ya
 Kuvimba shingoni
 Utaahira wa akili k.v. kusahau na Kiume
kutokumbuka mambo  Kutorithi mali
Madhara  Wanawake wajane kunyang'anywa mali na
 Jamaa kuathirika kisaikolojia wakiona mtu kufukuzwa
wao akiteseka na ugonjwa  Ndoa za wake wengi (uke wenza)
 Vifo kwa kuzidiwa na ugonjwa  Kupata watoto wengi
 Huzuni baada ya mgonjwa kuaga dunia  Kurithi wanawake
 Watoto kuachwa wakiwa mayatima baada  Kupashwa tohara
ya wazazi kufa  Kutawishwa au kunyimwa uhuru wa
 Gharama kubwa ya kugharamia matibabu kutoka
 Unyanyapaa/kutengwa/kubaguliwa  Kutoelimishwa eti kwa akiolewa hatafaidi
 Ndoa kuvunjika kutokana na lawama familia, atapanda wanaume vichwa au
 Ubakaji wa watoto wa kike ili kujitakasa atakuwa malaya
 Kuathiri uchumi wa nchi pesa nyingi  Ndoa za mapema/lazima zinazosababisha
zinapotumiwa kununulia dawa za kukatiza elimu yake (mahari haiwezi
kupunguza makali hata za kifua kikuu kurudishwa)
 Serikali kupoteza wataalamu  Kulazimishwa kuolewa na mtu
iliyogharamia elimu yao kulazimika asiyempenda
kuajiri wataalamu kutoka nje kwa gharama  Kunyimwa haki ya kusema
ya juu sana  Kupigwa na kutusiwa
Jinsi ya Kujikinga  kubakwa
 Kutofanya zinaa kabla na nje ya ndoa  Kutalikiwa
 Walioambukizwa kutumia dawa za  Wanaume kutokuwa waminifu kwao hata
kupunguza makali (A.R.Vs) kuwanyima mahitaji na kuwapa mahawara
 Aliyebakwa kupewa dawa za A.R.V kabla zao
ya saa 72  Wanaume kupuuza majukumu ya kukimu
 Kuwapa mama waja mzito wenye virusi familia
dawa kabla ya kujifungua kukinga mtoto  Ubadhirifu wa wanaume na hali wake zao
 Ngariba kutotumia kisu kimoja kwa ndio walifanya kazi za kupatia hizo pesa
watahiriwa wote  Kubughudhiwa
 Kutumia sindano mpya hospitalini na  Kulaumiwa mtoto akikosekana hata mke
matumizi ya dawa za kulevya mwingine kuolewa
 Kupima damu vizuri kabla ya  Mahali pa mwanamke kuwa nyumbani au
kuwaongezea wagonjwa haruhusiwi kufanya kazi ofisini au
 Kupimwa kabla ya ndoa na mara kwa kuongoza
mara ili kujua hali ili kujikinga dhidi ya  Kulazimishwa kuvaa mavazi aina fulani na
maambukizi au kujitunza kama mtu kukatazwa kuvaa aina mengine
ameambukizwa  Kufanyishwa kazi za nyumbani kama
 Kutumia mipira mtumwa
1. Kudhibitiwa na wanaume zao kwa 10. Kuzomewa/ kugombezwa
sababu ya vivu. 11. Kunyimwa pesa kama hana ajira
2. Kunyimwa ajira kwa vile akipata Ufisadi
mimba atajikokota kazini na atahitaji  Uovu, ubaya au uharibivu.
likizo baada ya kujifungua. Aina
3. Ajira ya mtoto wa kike ambapo 1. Wanafunzi kudanganya katika mtihani
anafanyishwa kazi ya sulubu na 2. Kufanyiwa mtihani na watu wa nje
kupewa mshahara duni 3. Kutoza mwanafunzi wa kidato cha
Suluhisho kwanza pesa au chakula kama nyama
1. Hatua kali za kisheria kwa ili kuwalinda.
wanaowapiga, wanaowabaka na 4. Kujipakulia chakula kingi.
wanaotekeleza mila ya tohara na ndoa 5. Waalimu wakuu kuitisha hongo ili
za mapema kuruhusu wanafunzi wajiunge na shule
2. Kufanya kampeni dhidi ya mila zao
zinazochangia udunishaji wa 6. Kupita wengine katika foleni
wanawake wanapokwenda kupata chakula au chai
3. Kuwashauri watoto wa kike badala ya hata benki
kuwapasha tohara 7. Kurudishiwa bakaa/chenji nyingi
4. Kuanzisha makao ya watoto wa kike dukani na kutoirejesha kwa muuza
wanaotishiwa na mila mbaya duka.
5. Kumwelimisha mwanamke kuhusu 8. Kuokota pesa njiani na kutoulizia ni za
haki zake nani
6. Kuhimiza wanawake kupigania haki 9. Kughushi stakabadhi za mtihani, hati
zao za umiliki shamba
7. Serikali kutenga pesa za kuelimisha 10. Kunakili kanda za muziki za wengine
watoto wa kike ili kuwapa uwezo wa na kuziuza
kiuchumi kwani wengi hunyanyaswa 11. Waajiri kuajiri watu wa familia zao au
kutokana na umaskini na ujinga. makabila yao
8. Mashirika ya kutetea haki za 12. Daktari kuitisha hongo ili amhudumie
wanawake kama FIDA na Maendeleo mgonjwa
ya Wanawake. 13. Polisi kuitisha hongo ili aruhusu
9. Hazina ya kutoa mikopo kwa makundi magari ya huduma kwa umma
ya wanawake k.v. K.W.F.T yasiyofaa kupita
10. Kuwapa wanawake nafasi sawa za 14. Kutohoa maziwa au kuyaongezea maji
ajira na katika uongozi. ili yawe mengi
11. Kupunguza alama ambazo wasichana 15. Wenye maduka kuuza bidhaa kwa bei
wanazopaswa kufikisha ili kujiunga na ghali
vyuo vya elimu ya juu. 16. Kuuza bidhaa kama sukari, nyama,
12. Kubuni sheria za kuwawezesha nafaka, gesi na mafuta ya petroli
kumiliki mali ambazo hazijatimiza uzani
Jinsi Wanaume Wanavyodhulumiwa unaotakikana
1. Kupigwa 17. Madereva wanaoendea mafuta ya
2. Kuchomwa kwa maji moto petroli kuuza kiwango fulani cha hayo
3. Kukatwa sehemu nyeti mafuta na kuongezea ya taa au diseli
4. Wanawake kutokuwa waminifu kwao 18. Kuuzia watu dawa bandia zisizotibu
5. Kutusiwa magonjwa
6. Kutofuliwa nguo 19. Ulanguzi wa dawa za kulevya
7. Kunyimwa chakula 20. Kuiba pesa kwa kutumia risiti bandia
8. Kunyimwa unyumba kama njia ya au kufuruisha bei za bidhaa ili pesa
kulipiza kisasi au kumwadhibu zilizo juu wahusika wagawane
9. Kufanyishwa kazi fulani k.v. 21. Kutoa ushahidi wa uongo
kufulishwa nguo na kupikishwa mke 22. Kunyang'anya wajane na yatima mali
akiwepo hata mbele ya wageni zao
23. Uporaji wa mali ya umma k.v. nyanja  Kufungwa jela kwa wanaopatikana na
za kuchezea watoto na misitu kosa la ufisadi
24. Hakimu kuchukua hongo aididimize  Uharibifu wa mazingira na madhara
kesi yanayoendana nao kutokana na ufyekaji
25. Madaktari kutoza wawele ada ya juu wa misitu
hata kuwafanyia upassuaji wasiouhitaji  Kudidimiza haki pale kesi inakatwa vibaya
ili wapate pesa. kutokana na hongo hata asiye na makosa
26. Wafanyakazi wa halmashauri za miji aweza kufungwa
kujificha wanapomwona mtu  Viongozi wafisadi katika mashirika na
akiegesha gari ili wadai anakwepa asasi kupoteza nyadhfa
kulipa ada ya uegeshaji ili wahongwe Suluhisho/Njia za Kuukabili Ufisadi
au walikokote gari wapate pesa zaidi.  Hatua kali kisheria kwa wafisadi
Sababu Ya Watu Kuushiriki Ufisadi  Kulipa wafanyakazi mishahara mizuri
 Tamaa ya kutajirika  Kuelimisha kuhusu madhara ya usisadi
 Kutofahamu madhara/matokeo yake  Kufuta kazi wafisadi
 Kukosa njia za kukimu mahitaji  Kunyang'anywa pesa au mali walizopata
 Mishahara au mapato duni kifisadi
yasiyomwezesha mtu kukimu mahitaji  Watu kutangaza mali zao k.v. kwa kujaza
yake au ya familia fomu kudhihirisha hayo
 Kutotosheka kwa kile mtu alichonacho  Shirika la kukagua vipimo na ubora wa
 Hofu ya kupata hasara au kukosa ajira bidhaa
 Kutomjua mungu hivyo hawana imani  Majina ya wafisadi kutangazwa hadharani
 Kuzugwa au kutekwa nyara kimawazo na  Ukaguzi wa hesabu za matumizi ya pesa
kuwa mtumwa na shetani katika asasi za serikali
 Wengine hulichukulia kama jambo la  Shirika la kupambana na ufisadi
kawaida tu au hali ya maisha  Kufumania wafisadi
 Imani kuwa siku hizi mtu hawezi kupata  Kupiga picha kwa kamera ya video
chochote bila kutoa hongo wafisadi k.v. polisi wakichukua hongo
Madhara  Kujifunza kutosheka kwa kile mtu
 Vifo kutokana na aajali barabarani au alichonacho na kuishi maisha ya kiwango
kutotibiwa bila hongo chake.
 Majeruhi wa ajali za ajalini wengine  Kuarifu polisi au shirika la mkupambana
hulemaa wasiweze kujifanyia kazi zao na ufisadi kuhusu visa vya ufisadi
 Kufutiliwa kwa matokeo ya mtihani  Kumjua na kumcha Mungu
 Kufukuzwa shuleni au chuoni Dawa za Kulevya/Mihandarati
 Umaskini kutokana na utoaji hongo ya  Dawa ambazo huathiri utendakazi wa
pesa nyingi kisha kutopata kazi na ununuzi mwili.
wa bidhaa kwa bei ghali Sababu za Kutumiwa
 Kushuka kwa viwango vya elimu  Masurufu au kuwapa vijana pesa nyingi za
wasiohitimu ipasavyo wanaporuhusiwa matumizi
kujiunga na shule ama vyuo fulani  Kujipa burudani
 Kushuka kwa viwango vya huduma kwa  Shinikizo la rika kwa vijana
umma kutokana na kuajiriwa kwa watu  Ukosefu wa ushauri/kutojua madhara
ambao hawajahitimu vizuri.  Matangazo ya biashara
 Afisi za serikali kuchomwa wafisadi  Shida k.v. ukosefu wa ajira na mahitaji ya
wakijaribu kusitiri ushahidi wa ufisadi kimsingi
 Nchi kurudishwa nyuma kiuchumi na  Marafiki wabaya
kimaendeleo kutokana na pesa za miradi  Kukaa katika mazingira zinamotumiwa
au ambazo zingewekezwa katika vitega  Malezi
uchumi kuporwa  Kuvunjika kwa ndoa
 Kupoteza ajira baada ya kufutwa kazi  upweke
kutokana na ufisadi  Kujitoa haya k.m. makahaba
 Familia kuteseka baada ya kupoteza ajira  Shida kazini
 Kudanganywa zina manufaa k.m. kumpa  Kutoingia katika mandhari zinamotumiwa
mtu nguvu ya kufanya kazi au kuerevusha  Maelekezo kuhusu dawa za matibabu
 Kujipa hisia za kuwa huru na ujitambuaji kufuatwa ipasavyo
Madhara  Kutotumia dawa za matibabu kwa
 Magonjwa k.v. saratani na ya zinaa matumizi mengine yasiyo ya kutibu
 Vifo kutokana na ajali, magonjwa au dawa  Ukaguzi wa wageni na mizigo katika
zenyewe viwanja vya ndege
 Kuiba ili kupata pesa za kununulia dawa  Hatua za kisheria kwa walanguzi, wauzaji
za na watumiaji
 Ubakaji  Kuongeza nafasi za ajira
 Hufilisi watu kwa kutumia pesa nyingi  Kukomesha matangazo ya biashara ya
hata kuuza au kuzikodisha mali zao ili dawa hizo
kuzigharamia  Kuandika matahadharisho katika chupa na
 Jamaa kuathirika kisaikolojia wanapoona pakiti za vileo
mwenzao akiKushindwa kuendelea na Uhalifu/Utovu wa Usalama
masomo. Chanzo
 Visa vya ubakaji.  Umaskini kusababisha wizi na uisadi
 Kupotoka kimaadili k.m. kuwa mwenye  Dawa za kulevya kusababisha wizi au
matusi, kupiga wengine, kuwa mgomvi kubaka
hata mzinifu.  Marafiki wabaya
 Kuwa mchafu kama fungo k.m. kutooga,  Malezi mabaya
kutofua nguo, kutochanua nywele n.k.  Malezi mabaya k.m. mtoto akiiba na
 Kuhisi mambo yasiyokuwepo kupelekea wazazi, wazazi hawamuulizi
(hallucination). alikotoa vitu hivyo.
 Wengine kushindwa kuolewa na kutoweza  Tamaa ya mali kufanya watu kuiba,
kupata watoto k.m. watumiaji wa miraa. kushiriki ufisadi, n.k.
 Kuvunjika kwa ndoa kutokana na kupiga  Hasira au kushindwa kujidhibiti
mke, kutumia pesa vibaya. kusababisha kumpiga na kumuumiza mtu
 Kufutwa kazi k.m. kutokana na ulevi. hata kumuua
 Wazimu  Tamaa kubwa au uchu kusababisha
 Uhalifu ubakaji.
 Jamaa ya mtumizi kuteseka ikimwona  Chuki na wivu huweza kusababisha mauaji
mwenzao akiangamia kutokana na Suluhisho
kuzitegemea dawa za kulevya  Hatua kali za kisheria
 Mhusika huathirika kimwili na kisaikolojia  Kuongeza askari kwani idadi yao ni dogo
 Huathiri ukuaji wa mwili na akili ikilinganishwa na raia
 Wazimu  Kuunda vikundi vya kujilinda
 Huathiri uwezo wa kufikiri kwa kuua seli  Vituo vya polisi kuongezwa
za ubongo  Vitu vya thamani kuwekwa mahali salama
 Hufanya mtu kupotoka kimaadili k.m. k.m. benki
upyaro, vita, uchoyo, uzinifu  Kutotembea nyakati za usiku
 Kuvunjika kwa ndoa  Kutoendea mahali kusikofaa k.v.
 Kufukuzwa shuleni vichochoroni
 Kufungwa jela  Kuweka ua na lango
 Kuzaa watoto ambao hawajatimiza uzani  Mavazi yanayofaa kuzuia ubakaji
wa wastani  Kutoa mafunzo ya kujikinga
 Kufa kwa neva na viungo kukatwa  Nambari za simu za dharura za kuripotia
Suluhisho uhalifu
 Kuelimisha watu kuhusu madhara ya dawa  Kumjua Mungu
za kulevya  Kuongeza nafasi za ajira
 Watu kumjua Mungu Haki za Binadamu
 Matibabu ya kurekebisha watumwa wazo
 Kuishi
 Kujitenga na marafiki wabaya
 Kuingiliana/kutangamana  Shule kuwapa watoto maskini ufadhili
 Uhuru na usawa Mazingira
 Elimu  Hali au mambo yanayomzunguka kiumbe
 Makazi katika sehemu anakoishi.
 Afya Jinsi Yanavyoharibiwa
 Kiwango cha kurithisha cha maisha  Kufyeka misitu ili kupata mahali pa
 Chakula makazi ama kulima
 Kuabudu  Kufuga mifugo kupita kiasi
 Ajira ya watoto  Kutupa taka ovyoovyo
 Kufanya kazi  Moshi kutoka katika magari na viwanda
 Kumiliki mali huchafua hewa
 Kutunzwa uzeeni/ hifadhi ya jamii/wasio  Dawa na mbolea za kemikali za kilimo
na uwezo huchafua udongo na maji.
 Kupiga kura  Migodi kuacha mashimo ardhini ambayo
 Kutobaguliwa hujaa maji na kuwa hatari kwa binadamu
 Kutoteswa kuminya habari na kizalio cha mbu.
 Uhuru wa kuongea/usemi  Kelele za vyombo vya mziki, viwanda,
 Kutembea na kuishi popote honi za magari na ndege
 Kesi kuendeshwa kwa haki  mafuriko kuchanganya choo pamoja na
 Kujitetea maji safi
 Kuoa au kuolewa na unayemtaka  Taka kutoka nyumbani na viwandani
 Utulivu k.m. mtoto au mke asipigwe ama kuelekezwa mitoni.
kuteswa Madhara
 Huduma za matibabu  Ongezeko la joto duniani
 Jina na utaifa wakati wa kuzaliwa  Mvua za gharika
 Mtoto mlemavu apewe huduma maalum  Uhaba wa mvua
 Alindwe kutokana na mateso, kazi ya  Ukame na njaa
sulubu na kuhusishwa vitani  Uhaba wa maji
 Alindwe dhidi ya mila na tamaduni  Kufa kwa wanyama wa majini kama
zisizofaa samaki
 Haki ya kupata burudani  Magonjwa na vifo kutokana na kuathiriwa
 Haki ya faragha/ kuhifadhi siri zake na maji machafu
 Asiajiriwe  Magonjwa ya mapafu kutokana na hewa
 asiteswe chafu
Jinsi ya kuwalinda na kuwatunza Suluhisho
watoto  Kupanda miti kusiko na miti na kule
 Sheria kubuniwa za kuwalinda misitu imefyekwa
 Hatua kali kisheria kwa wanaodhulumu  Elimu kuhusu madhara ya kuharibu
watoto mazingira na jinsi ya kuyatunza Uhaba wa
 Shirika la kupigania haki za watoto maji.
 Makao ya watoto wanaokimbia wa  Kukagua viwabda na hatua za kisheria
dhuluma kama vinavyoachilia taka katika mazingira
 Hazina ya wizara na maeneo bunge ya  Kutumia samadi badala ya mbolea za
kufadhili watoto maskini (bursary) kemikali na dawa za kiasili kuua wadudu
 Watoto kuelimishwa kuhusu haki zao katika mimea na mifugo
 Kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu  Kutaifisha misitu
wa kulinda mtoto  Askari wa kulinda misitu
 Elimu ya bure ili watoto maskini wafaidi  Kutumia kawi mbadala na ambazo
 Shule maalum kwa watoto walemavu hazichafui mazingira k.v. kutokana na maji
 Wananchi kuchanga kusaidia watoto na jua
maskini  Mashimo na mapipa ya kutupa taka
 Makanisa kusaidia watoto yatima  Kuweka mifugo kulingana na eneo la
malisho
 Kutolima kando ya mito  Kurahisisha na kuharakisha mawasiliano
 Kutia choo cha binadamu dawa kabla ya kunakosaidia wakati wa dharura k.m.
kukiachilia mitoni rununu, mtandao, nukulishi, n.k.
 Kutumia magari ya umma  Upashaji wa habari kuwezesha kupata
 Kutumia taka kama malighafi na kutumia habari kutoka kote duniani k.m. satalaiti,
vile vitu vyaweza kutumika tena mtandao, redio, runinga, n.k.
Usalama Barabarani  Utengenezaji bidhaa viwandani
Vyanzo vya ajali kuharakishwa kutokana na mitambo
 Madereva kutohitimu vizuri inazoendesha na tarakilishi
 Magari mabovu  Mimea na mifugo wanaokomaa haraka na
 Kutotii sheria za barabarani walio na mazao mengi
 Njia mbovu  Roketi inayowezesha kwenda katika
 Kubeba abiria na mizigo kupita kiasi mwezi na sayari nyingine
 Kuendesha magari kwa kasi  Silaha kama bunduki za kupambana na
 Waabudu shetani kusababisha magari maadui na wahalifu
kupoteza mwelekeo  Burudani bora k.m. sidi, video, mtandao,
 Kupita magari mengine bila uangalifu n.k.
 Ulevi Madhara
 Wenda miguu kutokuwa waangalifu  Uavyaji mimba
wanapovuka barabara  Mauaji ya huruma
 Kutodhibiti usukani vizuri  Tishio la dunia kuangamia kutokana na
 Uchovu kusababisha usingizi silaha za nuklia na viini
 Dawa za matibabu vinavyotengezezewa maabarani
 Abiria kutolalamika au hata kumwambia  Uhalifu kuongezeka kutokana na wingi wa
dereva aendeshe kwa kasi wafike haraka bunduki, simu na mtandao
 Kuchanganyikiwa  Vyakula kutokana na mimea ina mifugo
Suluhisho iliyokuzwa kisayanzi kudhuru afya
 Hatua za kisheria kwa wakiukaji kanuni za  Wizi wa viungo vya mwili hata kuhasiwa
barabarani bila hiari
 Kuondoa polisi wafisadi barabarani  Ajali za barabarani na za ndege zinazoua
 Kukarabati barabara watu wengi
 Ukaguzi wa magari ili kuhakikisha yafaa  Upotoshaji kimaadili kama vile filamu
kuwa barabarani chafu katika mitandao na sidi
 Kufunza madereva upya  Kutumia vijusi kutengenezea viungo
 Mikanda au mishipi ya kujifunga kuzuia  Ongezeko la joto duniani kutokana na
kujeruhiwa vibaya na vifo ajali ikitokea uchafuzi wa hewa
 Kuweka vidhibiti mwendo  Ugaidi kutokana unaotekelezwa kwa
 Vifaa vya kutambulia madereva walevi na mabomu
kasi ya magari Simu za Rununu
 Uangalifu wakati wa kupita magari Faida
mengine  Kurahisha na kuharakisha mawasilano
 Kuwa mwangalifu wakati wa kuvuka  Kupunguza gharama za usafiri
barabara  Mtandao huelimisha na hufahamisha
Sayansi na Teknolojia habari
 Uvumbuzi wa umeme unaotumiwa  Kutuma pesa
kuangazia na kuendesha vyombo vingi  Kuweka pesa/akiba
 Matibabu kuwezesha watu kuishi kwa  Burudani k.m. nyimbo, michezo
muda mrefu k.m. dawa,chanjo, upasuaji,  Kupiga nduru uhalifu unapotokeo
upachikwaji viungo, miale ya kutibu  Ajira kwa wauzaji na watengenezaji
saratani, n.k.  Ushuru kwa serikali
 Kurahisisha na kuharakisha usafiri k.m.  Shajara, kalenda, kamera, kikokotozi
magari, pikipiki, ndege, k.m. Madhara
 Burudani kusababisha ajizi
 Uhalifu  Mapato kwa serikali kutokana na ada ya
 Gharama kubwa hasa kuweka chaji na kuingilia mbugani na kodi za mikahawa
malipo kabla ya kutumia kuongea au  Amani na maelewano nchini na duniani
mtandao  Kuhifadhi mila na tamaduni zetu
 Mtandao kupotosha kimaadili  Kupa nchi umaarufu duniani
 Hutoa miale ambayo yaweza kusababisha  Maeneneo kame kuweza kutumiwa
saratani ipasavyo kama kivutio chao
 Kudanganya katika mitihani  Soko kwa mazao ya kilimo
 Kufungwa jela kutokana na arafa za  Kuwapa wauzaji vinyago mapato
vitisho na matusi Ubaya
Runinga/magazeti  Magonjwa k.v. ya zinaa
 Burudani  Matumizi ya mihandarati
 Habari  Tabia zisizofaa k.v. Usenge zinazovunja
 Ajira kwa wanahabari na watangazaji ndoa na kueneza magonjwa kama ukimwi
 Matangazo ya biashara  Upuuzaji wa miradi ya maendeleo serikali
 Kufunza maadili k.m. michezo ya kuigiza ikijengea watalii hoteli za kifahari na
na vichekesho. viwanja vya ndege ambavyo hutumika
 Kutuwezesha kufahamu sehemu nyingine kwa nadra sana
za nchi na dunia  Kusababisha watoto kuacha shule ili wawe
 Kuelimisha k.v. vipindi vya fasihi wanawaelekeza wapate pesa
 Utalii  Kuhimiza mauaji wa wanyama kwa
 Kuangazia sehemu na watu wenye shida kununua pembe na ngozi
 Kukuza lugha  Kelele za magari yao husumbua wanyama
 Kukuza uzaleno na kukanyaga na kuharibu lishe yao
Madhara Jinsi ya kuvutia watalii zaidi
 Ajizi  Kudumisha usalama
 Kupotosha kimaadili  Kuimarisha miundo msingi
 Filamu ziazohimiza watu kuwa wazinifu.  Kutangaza nchi na vivutio nje
 Matangazo ya vileo  Kupunguza malipo katika hoteli za watalii
 Kuenezea chuki na propaganda  Kufahamisha wananchi kuhusu vivutio
 Kuiga utamaduni wa kigeni usiofaa k.v. kupitia vyombo vya habari
mavazi, talaka  Kuongezea wafanyakazi mishahara ili
 Gharama ya kununulia kuweka akiba waweze kuzuru maeneo
 Kutopata muda wa kushauri watoto na yenye vivutio
kuomba  Kuwapa wafanyakazi likizo ya kutosha
 Wanafunzi kutosoma jioni Umaskini
 Mke na mume kutoongea kujadili Suluhisho
mwelekeo wa familia  Kuongeza nafasi za ajira
 Wanaume kuchelewa kurudi nyumbani  Kutoa mikopo rahisi kulipa
usiku wakitazama mpira  Kupunguza bei ya pembejeo
 Migogoro kwa kutaka kutazama vipindi  Elimu ya bure
tofauti  Kupigana na ufisadi
 Kelele na usumbufu kwa waliolala  Upangaji uzazi ili kupunguza idadi ya
Utalii watu
1. hali ya kusafiri mbali ili kuvinjari au  Bei bora ya mazao ya kilimo
kufurahia mandhari  Kazi kwa vijana
Faida Ukeketaji
 Fedha za kigeni Sababu
 Ajira katika hoteli, udereva, n.k.  Kupunguza tamaa
 Uhifadhi wa mazingira  Njia ya kukomaa
 Kuboreshwa kwa miundo msingi  Mila na tamaduni
Madhara
 Kifo kwa kutokwa na damu sana  Ufukara kusababisha kujiunga na makundi
 Uenezaji wa magonjwa haramu
 Shida wakati wa hedhi na kujifungua  Kukata tamaa
 Ndoa kuvunjika  Kutumiwa vibaya na wanasiasa
 Kibali cha kujiingiza katika myenendo Suluhisho
isiyofaa  Kujiondoa kundini
 Utengano kati ya waliotahiriwa na ambao  Kuimarisha uchumi
hawajatahiriwa -migogoro  Kuwashauri vijana
 Kuzua utabaka baina ya waliopashwa na  Kujenga udhabiti wa jamii
wasiopashwa tohara  Kuwaadhibu kulingana na makosa yao
Suluhisho  Vijana kujisaka na kujikosoa
 Hatua za kisheria  Vijana kumjua mungu
 Elimu kuhusu madhara  Uhuru wa kadiri
 Mawaidha kwa wasichana  Uongozi bora
 Makao ya watoto  Malezi bora
Njaa  Kuongeza nafasi za ajira
 Kilimo cha unyunyizaji maji
 Kupunguza bei za pembejeo Umoja na Utangamano katika
 Njia bora za kuhifadhi mazao Familia
 Mimea na mifugo inayokomaa haraka
 Kuheshimiana
 Utumizi wa samadi na mbolea
 Utiifu na unyenyekevu
 Kuelimisha wakulima kuhusu kilimo bora
 Kuwa na usemi
 Kutayarisha mashamba mapema
 Kuvumiliana na kusameheana
 Serikali kununua mazao ya wakulima na
 Uaminifu na kuaminiana
kuyahifadhi
 Kutochagulia watoto taaluma na
Dini wachumba
Uzuri  Wazazi kutolazimisha watoto taaluma au
 Kufunza maadili kozi wasizotaka
 Kusaidia maskini  Kutumia pesa vyema bila ubadhirifu
 Kuanzisha shule na hospitali  Kutopendelea na kulinganisha watoto
 Ajira kwa padri, kasisi n.k. kiuwezo
 Kuandaa watu kwa maisha baada ya kifo  kutotumia dawa za kulevya
 Kufariji/kuliwaza wenye dhiki  Kuomba pamoja
Ubaya  wazazi kutopendelea watoto fulani
 Tamaa ya pesa  Baba kutimiza majukumu yake ya kukimu
 Biashara jamii
 Ubakaji wa watoto  Kutodhibiti mke na watoto kupita kiasi
 Kuuza uponyaji  Uadilifu
 Nyingine kutosaidia wenye shida  Kushiriki kazi
 Vita/jihadi Mambo yanayoathiri utaifa/umoja na
 Kuruhusu waovu bora watoe pesa
 Kutoenda hospitalini utangamano/amani
 Kuendeleza maovu k.v. uzinifu, ushirikina,  Ufisadi k.v. kuajiri watu kimapendeleo
uabudu shetani, n.k.  Ukabila
 Viongozi kueneza chuki
Maasi ya vijana
 serikali kutoakisi uwakilishaji wa taifa
 dawa za kulevya
zima
 shiniko la kikundi
 Usalama kukosekana
 filamu mbaya
 Ukosefu wa ajira
 kudhibitiwa kupita kiasi
 Matamshi mabaya ya viongozi
 kukosa nidhamu
 Kupanda kwa gharama ya maisha
 malezi mabaya/udekezaji
 Majanga ya kiasili
 kubomoka kwa msingi wa jamii
 Kutojenga miundo msingi kwa usawa
 Kupendelea maeneo fulani katika ugawaji Athari
wa raslimali  Waliobakwa huathirika kisaikolojia
 Ukimbizi wa ndani kwa ndani  Kujikosea heshima na kujihisi mchafu
 Ubomoaji wa nyumba  Magonjwa ya zinaa
Suluhisho  Mimba zisizotakikana
 Lugha ya taifa  Vifo
 Kukabiliana na ufisadi  kujeruhiwa
 Usawa katika ugawaji wa raslimali  Kupoteza imani na wanaume/wanawake
 Kuelimisha kuhusu umoja wa kitaifa  Kutengwa
 Tamasha za kitamaduni  Kufungwa jela
 Kutalii sehemu nyingine za nchi 3. UTUNGAJI WA KISANII
 Ndoa za makabila tofauti a) Mashairi mepesi (huru/arudhi)
 Serikali ya muungano b) Hadithi fupi
 Viongozi wachochezi kuchukuliwa hatua c) Vitendawili
kisheria d) Mafumbo/chemshabongo
Matatu e) Vitanza ndimi
Faida f) Michezo ya kuigiza
 Kurahisisha na kuharakisha usafiri Mambo ya Kuzingatia katika Uadishi
 Ajira wa Insha
 Ushuru
1. maagizo
 Biashara
2. Usijibu swali usilolielewa
 Huduma za dharura
3. Uandishi mzuri wa nambari ya
Madhara
swali unalofanya
 Ajali
4. Kuandika vidokezi
 Wizi
5. Kuandika kila hoja katika aya yake
 Ufisadi wa polisi kuongezeka
6. Kuanzia aya kwa njia tofauti
 Kuongeza nauli ghafla
7. Lugha sahili
 Ujeuri wa madereva na mataniboi
8. Miundo tofauti ya sentensi
 Kuchelewesha watu njiani
9. maudhui
Magazeti 10. muundo
 Habari za taifa na kimataifa 11. Kichwa kwa herufi kubwa, kipigwe
 Kuelimisha k.m. kuhusu afya mstari na kisizidishe maneni sita
 Kuburudisha k.m. vibonzo 12. Upatanisho/uwiano za kisarufi
 Matangazo ya biashara 13. Tahajia/hijai
 Ajira k.m. wahariri, wauzaji 14. Kuakifisha
 Mapato kwa serikali 15. Mtiririko
 Kutangaza nafasi za ajira 16. Uhalisi
 Elimu k.m. uchambuzi wa vitabu vya 17. tafsiri ya moja kwa moja k.m.
fasihi na mashairi kurudisha mlango, mguu wa gari,
 Hutumiwa kufungia bidhaa kutoa/kuweka nguo
Ubakaji 18. Maadili (lugha na mawazo safi na
 Sura mbaya mtazamo wa kusaidia taifa)
 ulevi 19. Urefu
 Ulemavu 20. Uasilia (utungo wako si kurejelea
 Unyonge wa kiakili vitabu vya fasihi)
 Kushindwa kudhibiti jicho na tamaa za 21. Usafi (mwandiko unaosomeka na
mwili ambao haujapigwapigwa mistari na
 Njaa ya kimapenzi kufutwa)
 Kisasi 22. Tamathali za usemi
 Kujihisi duni 23. Msamiati na tamathali
 Kisomo duni zinazokubalika wala si za
 Mavazi
kupachika. Usitumie msamiati wa  Kuzingatia sehemu za swali
kishairi k.v. mtima, ja, n.k.  Sehemu zinazobadilika
24. Kutofupisha k.v. k.m., n.k., Bi.  Kuzingatia neno moja moja
25. Kutumia kistari ikiwa neno  Kuzingatia hatua au mbinu
linaendelea katika mstari wa pili na  Kutojibu maswali kwa pupa
kutokata silabi  Kusoma jibu ili kusahihisha makosa
26. Herufi f, u, i, j, m, l  Kuelewa swali k.m. tunga sentensi moja,
27. Kutaja na kueleza kikamilifu eleza maana
28. Kukamilisha maneno  Tunga sentensi fupi
29. Kutotenganisha sehemu za neno  Kuonyesha neno, fungu la maneno au
k.m. walilo zungumzia, walioenda kiambishi unachotumia kutunga sentensi
30. Kutounganisha maneno k.m.  Kubainisha (eleza kikamilifu kwa
kwasababu, ni mimi kuandika neno au maneno na jina lake)
31. Mdokezo kuoana na maneno yako.  Tahajia k.m. yabwa, kitendo
32. Usiongeze maneno kwenye dondoo Isimu jamii
la kumalizia.  Kutaja, kueleza na kutoa mifano
33. Kutoweka dondoo ni kupotoka Fasihi
34. Kusoma insha baada ya kuandika
 Kufikiri ili kuelewa swali
4. UANDISHI WAKAWAIDA  Usijibu maswali zaidi ya manne. Kama
Ufahamu jibu halikuridhishi, lipige mshazari
1. Kuelewa  Maagizo (swali la kwanza ni la lazima,
2. Kuandika idadi ya hoja kulingana usijibu maswali mawili kutoka sehemu
na alama moja
3. Hoja kwa muhtasari  Chagua maswali utakayoweza kujibu na
4. Andika hoja ulizo na uhakika nazo kupata hoja nyingi
kwanza  Andika nambari vizuri
5. Kuorodhesha hoja kwa nambari  Usiandike hoja nyingi kuliko alama
wala si kistari  Andika hoja ulizo na uhakika nazo kwanza
6. Jibu lililokamilika  Hoja kwa aya moja
7. Kutoa majibu kutoka katika  Kutaja, kueleza kikamilifu na kuthibitisha
ufahamu si fikra zako kwa mifano kutoka kitabuni (kutaja alama
8. Maana za maneno kama moja, kueleza mbili)
yalivyotumiwa kwa muundo ule  Usirudie hoja kwa njia tofauti
ule  Kutochanganya wahusika
Muhtasari/Ufupisho  Kusoma vitabu mara nyingi ili kujua
1. Kutoa mawazo makuu huku kiini cha dondoo limetolewa wapi
taarifa kikidumishwa.  Maswali ya dondoo (msemaji,
Hatua anayeambiwa, wapi, lini)
 Andika nambari za aya  Maswali ya kujadili
 Soma makala  Swali la methali
 Elewa swali  kulinganisha
 Andika mambo muhimu ukizingatia swali
ukiondoa maneno yasiyo muhimu
 Usibadilishe chochote hata kama
unatakiwa kutumia maneno yako
 Andika hoja kikamilifu
 Andika nakala safi ukizingatia mtiririko
 Epuka viunganishi vingi
 Zingatia idadi ya maneno uliyopewa
 Zingatia kanuni za uandishi
 Piga mshazari nakala chafu
Matumizi ya lugha

You might also like