Professional Documents
Culture Documents
Aks 409, Maggy
Aks 409, Maggy
Kwa mujibu wa TUKI (2014) wanasema hili ni toleo la tatu la Kamusi ya Kiswahili
Sanifu. Toleo la kwanza lilitolewa mwaka 1981, uandishi wa toleo hili ni ushirikiano wa
Kikuu cha Dar es Salaam. Hili ni toleo la aina yake kwani limesheheni msamiati wa nyanja
kutokana na lugha kuwa na matumizi mapana. Katika toleo hili picha na michoro imeboreshwa
na kuvutia. Kuingizwa kwa picha hizo kutamsaidia msomaji kuelewa vizuri zaidi maana au kile
anachokitafuta kwenye kamusi. Katika kamusi hii mambo mapya mbalimbali yameingizwa kama
visawe, misemo, nahau na methali. Wataalam mbalimbali wametoa vigezo vikuu vitatu vya
kuzingatia katika kuhakiki kamusi ambavyo ni: Wingi wa taarifa zilizoingiwa katika kamusi.
Kigezo cha pili ni Ubora wa taarifa iliyoingizwa kwa kila kidahizo na mwisho ni namna taarifa
kwa kila kidahizo, idadi ya msamiati mpya ulioingizwa katika kamusi, msimbo wenye kuashiria
Kiswahili sanifu ina maneno mengi ya lugha na hutoa taaarifa nyingi na za kimsingi.taarifa hizi
Ubora wa taarifa iliyoingizwa kwa kila kidahizo, . katika kigezo hiki huzingatia taarifa
ambazo huingizwa katika kamusi zenye usahihi, kamilifu na wazi. Ni muhimu taarifa hizo
kuelezwa kwa urahisi ili kuweza kueleweka kwa msomaji.maneno yaliyo kwenye kamusi sanifu
namna taarifa zilivyowasilishwa katika kamusi.Katika kigezo hiki mambo ya kuzingatia wakati
wa kuhakiki ni jinsi taarifa zilivyoingizwa katika kamusi mfano, kuorodhesha maneno kialfabeti,
ukubwa wa maneno wenye hadhi tofauti. Mdee (keshatajwa) anaendelea kusema kuwa vipengele
vingine ambavyo hutumiwa katika kuhakiki kamusi ni: Mwaka wa kuchapishwa kwa kamusi,
idadi na weledi wa washauri waliohusika katika kutunga kamusi, idadi ya kurasa za kamusi na
Masebo . J. A. & Nyangwine. N. (2012). Kiswahili kidato cha tatu na nne . Dares salaam: nyambari
nyangwine publishers
Matinde. R. S. (2012). Dafina ya lugha. Isimu na nadharia. Kwa sekondari, vyuo va kati na vyuo
TUKI (1990).kamusi sanifu ya isimu na lugha. Dares salaam: Tuki na Educational publishers and
distributors ltd.
Wamitila. K. W. (2003). Kamusi ya fasihi, istilahi na nadharia. Nairobi: Focus publishers ltd.