Professional Documents
Culture Documents
MKM February 2018red
MKM February 2018red
Picha: IN
Umuhimu wa punda 8
Mpendwa mkulima
Mara nyingi wakulima na wafugaji
wamekuwa wakianzisha miradi mbalimbali
wakiwa na lengo la kupata mafanikio kwa
kiwango cha juu na kwa haraka.
Jambo hili ni jema sana kwa kuwa
kila mradi unaoanzishwa lengo ni kupata
mafanikio, huku mradi huo ukisaidia
kupunguza na hatimae kuondokana na
umaskini kabisa.
Pamoja na malengo hayo mema kwao
na jamii nzima, kuna baadhi ya mambo
Ni muhimu kuhakikisha kuku wanapata chanjo kwa wakati muhimu ambayo husahaulika kuzingatiwa
pale miradi inapoanza na hata kutekelezwa
Ufugaji wa kuku ni moja ya shughuli Pamoja na hayo, wafugaji wengi
kwa kiwango kikubwa.
ambayo imekuwa maarufu sana nchini wamekuwa wakianguka kwa Baadhi ya mambo hayo ni uzingatiaji
Tanzania. Kazi hii imekuwa ikifanywa kutokufahamu na kutokuzingatia wa suala zima la afya ya binadamu pamoja
na watu wa kada zote bila kujali ni chanjo muhimu zinazohitajika kwa na wanyama, halikadhalika utunzaji wa
wakulima, wafugaji, wafanyabiashara kuku. mazingira.
au waajiriwa. Ni muhimu sana kufahamu na Ni dhahiri kuwa bila uwepo wa siha
Halikadhalika imekuwa ni chanzo kufuata ratiba sahihi ya chanjo njema, hatuwezi kusema kuwa mradi wako
uwe wa kilimo au ufugaji umefanikiwa
kikubwa cha kipato miongoni mwa zinazohitajika kwa kuku tangu
kwa kiasi kikubwa.
vijana wa rika zote. Hii ni kwa sababu wakiwa vifaranga. Pengine tunaweza kusema kuwa
ni mradi rahisi lakini wenye pato la mradi huo haukuwa na mafanikio kwa
uhakika wakati wote. Zaidi soma Uk 3 kuwa haukujali uzingatiaji wa afya ya
walaji, wanyama na hata mazingira
Tahadhari: Mlipuko wa Viwavi Vamizi yanayouzunguka.
Wakulima nchini Tanzania Ili kuhakikisha hayo yote yanafanyika,
wametakiwa kuchukua tahadhari ni vyema mkulima na mfugaji kabla
Picha: IN
MkM, S.L.P 14402, Arusha, Simu 0717 266 007, 0785 133 005 Barua pepe info@mkulimambunifu.org, www.mkulimambunifu.org
Toleo la 65, Februari 2018
Kanuni za kukinga mboga dhidi ya magonjwa na wadudu
Dawa za asili zinafaa zaidi katika kukinga
bustani za mboga dhidi ya wadudu
Picha: MkM
waharibifu na magonjwa.
Patrick Jonathan
Picha: MkM
changamoto za wadudu pamoja na
magonjwa yanayoshambulia kuku. Hali
hii imekuwa ikisababisha hasara kubwa
inayowakatisha tamaa wafugaji
Amani Msuya
2. Siku ya 7
Ugonjwa Utaratibu wa Kinga Vifaranga wapatiwe chanjo ya Kideri
Mdondo Kuku wote wachanjwe kila baada ya miezi mitatu. (Newcastle). Chanjo hii huchanganywa
Ndui Chanjo hii ni ya sindano, itolewe na mtaalamu kabla ya na maji safi katika eneo lenye kivuli
mvua za muda mrefu kuanza. kisha kupewa vifaranga kwa muda
wa masaa mawili, kisha toa maji hayo
Ukosefu wa Wapatie kuku majani mabichi au mchicha mara kwa mara.
na kuyamwaga mbali na eneo ambalo
Vitamin A Kama hakuna majani wapatie vitamini za kuku toka duka
kuku wengine wanaweza kuyafikia, au
la dawa za mifugo katika pumba au maji ya kunywa kama kuyachimbia. Baada ya hapo vifaranga
utakavyoshauriwa na mtaalamu. wapewe maji yenye mchanganyiko wa
Koksidiosisi Safisha banda kila siku na hakikisha hakuna unyevu vitamini.
sakafuni. Wapatie kuku dawa za kinga kama”Amprolium”
3. Siku ya 14
au Salfa kwa siku 3 mfululizo,mara wafikishapo umri wa Wapewe chanjo ya Gumboro(IBD).
siku 7. Chanjo hii pia huchanganywa katika
Viroboto, Mwagia majivu katika banda na hasa viota vya kutagia maji na kupewa vifaranga kwa muda
Chawa, Utitiri ili kukinga wadudu. Tumia dawa za dukani kama vile wa masaa mawili tu.
“Akheri Powder” na ‘Sevin Dust’ kumwagia kuku mwilini Baada ya hapo vifaranga wapewe
na katika mazingira. Paka mafuta ya taa kwa kutumia mchanganyiko wa vitamini. Kuku
unyoya wa kuku kwenye viroboto vinavyoonekana. waliokufa kwa ugonjwa huu, unaweza
kuwatambua kwa kuchana vifua vyao
Chanjo muhimu na ratiba yake kwa Chanjo na ratiba maalumu na hapo utaona vidoti vyekundu.
kuku 1. Siku 1
4.Siku ya 21 (wiki ya tatu)
Ili kuweza kuwa na ufugaji wa kuku Baada ya vifaranga hutotoleshwa,
Rudia chanjo ya Kideri (Newcastle)
wenye tija. Ni muhimu kwa mfugaji ndani ya siku moja wapewe glucose
kwa muda wa masaa mawili. Glucose 5. Siku 28 (Mwezi)
kuhakikisha kuwa anafahamu na
huchanganywa katika maji na kupewa Rudia chanjo ya Gumboro IBD
kuzingatia chanjo na ratiba kwa kuku
vifaranga hawa na baada ya hapo 6. Siku 35 (Mwezi 1 na wiki 1)
wake.
vifaranga wapewe mchanganyiko wa Kipindi hiki kuku wapewe
Endapo mfugaji atashindwa kuwapatia vitamini mfano ni Aminovit na OTC mchanganyiko wa vitamin ya kutosha.
kuku chanjo kwa kufuata ratiba hii ni plus.
dhahiri kuwa atakuwa katika hatari 7. Wiki ya 6-8
Pia hii huchanganywa na maji.
Kuku wapatiwe kinga ya Ndui (fowl
kubwa ya kupoteza mifugo hao kwani Vifaranga wawekwe katika eneo lenye pox). kinga hii sio rahisi kwa mfugaji
hawataweza kustahimili magonjwa. joto la wastani na safi. asiye na utaalamu kuwapa kuku,
tafuta mtaalamu wa mifugo kwa kazi
hii au upate maeleze ya jinsi ya kuweka
kinga hii.
8. Wiki ya 8
Kuku wapatiwe dawa ya minyoo kama
Piperazzine na baada ya hapo unaweza
kurudia chanjo ya Newcastle.
Inaelndelea Uk 8
Chanjo ya kideri Dawa ya minyoo
Toleo la 65, Februari 2018
Jesca: Zalisha aina mpya ya maharangwe yenye madin
Jesca ni aina mpya ya maharagwe chuma na zinki ambayo ni madini
ambayo imefanyiwa utafiti na kituo cha muhimu katika mwili wa binadamu
utafiti Seliani Arusha, na inatarajiwa kwani husaidia kuongeza damu,
kusambazwa kwa wakulima katika ukanda na madini ya zinki husaidia kina
wa kaskazini mwa Tanzania mama kutokuzaa mtoto njiti( Mtoto
anaezaliwa kabla ya wakati wake).
Ayubu Nnko
Maharagwe haya yana madini ya
chuma kiasi cha kati ya 50% - 70% na
Maharagwe ni zao muhimu
madini ya zinki yatasambazwa. Na
katika kanda ya kaskazini na nchi
hivi karibuni katika ukanda wote wa
ya Tanzania kwa ujumla. Zao hili
kaskazini mwa nchi ya Tanzania, hasa
hutumika kama chakula kwa
katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro,
kutowelea vyakula mbalimbali kama
Arusha na Manyara.
ugali, wali, makande na vinginevyo,
Matayarisho na uzalishaji wa aina
huku majani yake yakitumika kama
hii ya maharagwe unafanyika kwa
mboga za majani.
kufuata kanuni na taratibu kama
Hivi sasa zao la maharagwe
ilivyo kwa uzalishaji wa aina nyingine
limeanza kuwa zao la bishara hasa
za maharagwe.
katika maeneo ambayo hayana mazao
ya kudumu ya biashara. Utayarishaji wa shamba
Majani ya mahagarafwe baada Shamba litayarishwe kwa kuondoa
ya kukauka yamekuwa ni chanzo magugu yote kwa kutumia jembe
muhimu cha kumuongezea mkulima la trekta, jembe la kukokotwa na
kipato, ambapo hufungwa na kuuzwa wanyama au jembe la mkono.
kwa bei ya juu kama chakula cha
Kupanda
mifugo.
Wakulima walio wengi wamekuwa Mkulima ahakikishe kuwa anapanda
wakipata mavuno haba kutokana mbegu bora zilizopendekezwa na
na sababu mbalimbali, moja wapo wataalamu, kulingana na kanda
ikiwa ni kutokununua mbegu bora ilivyoshauriwa na wataalamu. Shamba la maharagwe likitunzwa vyema mk
za maharagwe, kutokuzingatia Si vyema kupanda mbegu za
njia mbalimbali za matunzo kienyeji au kurudia rudia mbegu Mfumo wa uoteshaji
zinazopendekezwa, kutokufahamu ambazo zilikwishapandwa, kwani 1. Kilimo MSeto-Mahindi
namna ya kuwadhibiti wadudu na kwa kufanya hivyo utapoteza uhalisia • Nafasi kati ya mstari wa
magonjwa ya maharagwe. wa zao unalokusudia kuzalisha. mahindi ni sentimita 75 au
90.
Jesca Sifa za Jesca
• Panda mstari wa maharagwe
Katika makala hii tutaeleza namna • Aina hii ya maharagwe inastawi kati ya mistari miwili ya
nzuri ya kuzalisha maharagwe aina ya vizuri katika ukanda wa kati. mahindi.
Jesca ambayo yamefanyiwa utafiti na • Inavumilia magonjwa kama vile • Nafasi kati ya mashimo ya
kituo cha utafiti wa mazao na kilimo ndui, madoa pembe, na kutu maharagwe iwe sentimita
Seliani, kilichopo mkoani Arusha. • Inakomaa katika kipindi cha siku 15, kama nafasi ya mstari
Aina hii ya maharagwe 80-85. wa mahindi ni sentimita 75.
inayojulikana kama Jesca imefanyiwa • Inauwezo wa kuzalisha kati ya • Kama nafasi ya mstari wa
utafiti na kuongezewa madini ya magunia 10-12 kwa ekari moja. mahindi ni sentimita 90,
nafasi kati ya mashimo ya
Picha:MkM
Picha: MkM
Shamba ambalo maharagwe safi juu ya ardhi iliyofagiliwa
yalishambuliwa na magonjwa vizuri.
msimu uliopita, lisirudiwe • Piga kwa kutumia mti kuondoa
kupandwa maharagwe msimu mbegu katika ganda lake. Hii
unaofuata. Panda mazao mengine inaweza kufanyika yakiwa
katika shamba hilo kama vile sehemu ya kuanikia au kwa
mahindi au viazi, kwa muda wa kuweka kidogo kidogo kwenye
miaka miwili hadi mitatu. gunia.
• Panda aina bora za maharagwe • Baada ya kuyapiga ondoa
zinazostahimili magonjwa na takataka zote kwa mkono na
ukame. kupeta.
Kuzuia wadudu
1. Wadudu wa shambani
Maharagwe ya Jesca Kiafya
• Fanya kilimo cha mzunguko. Kama ilivyoelezwa hapo awali,
• Panda mapema mara maharagwe aina ya Jesca yamefanyiwa
msimu unapoanza. utafiti na kuongezewa madini ya
• Fanya kilimo mseto. chuma na zinki. Hii imefanyika
• Panda aina za mbegu za makusudi ili kuweza kusaidia
maharagwe zinazostahimili kuboresha afya ya walaji, hasa mama
wadudu. na mtoto.
• Unaweza kutumia dawa Inaelezwa kuwa nchini Tanzania,
upungufu wa damu huathiri asilimia
zifuatazo kwa maharagwe
58 ya watoto wenye umri wa miezi
yatakayotumika kama
6-9.
mbegu, Rogor, Karate, Halikadhalika asilimia 45 ya wanawake
Nimbicide ili kuzui inzi wa walio katika umri wa kuzaa (15-49)
maharagwe na wadudu hukabiliwa na upungufu wa madini
wa mafuta. Unaweza pia ya chuma, na hii inachukuliwa kuwa
a mkulima anauhakika wa mavuno yenye tija kutumia dawa za asili ni chanzo kikubwa cha upungufu wa
zinazofaa kuhifadhia damu mwilini.
3. Mbolea mbegu.
Maharagwe hustawi vizuri Athari za upungufu wa damu
na kutoa mazao mengi 2. Wadudu wa ghalani mwilini
• Vuna kwa wakati unaofaa. Upungufu wa damu mwilini
kama yakipata mbolea ya
• Kausha maharagwe vizuri. unaweza kuongeza athari za
kutosha. Mkulima anaweza
• Safisha ghala kabla ya vifo wakati wa kuzaliwa watoto,
kutumia samadi au mbolea za kuhifadhi. kuzaliwa njito (mtoto kuzaliwa kabla
chumvichumvi. • Kwa maharagwe ya chakula ya kufikisha siku zake), kuwa na
Tumia kiasi cha tani 2-4 za tumia Actelic Dust. uwezo mdogo wa kumbukumbu na
mboji au Samadi kwa ekari moja, • Kwa maharagwe ya mbegu kujifunza.
na uchanganye vizuri kwenye tumia Mwarobaini au Apron Makala hii imetayarishwa kwa
shamba wakati wa kulima. Star. kushirikiana na kituo cha utafiti
Endapo utatumia mbolea za wa kilimo Seliani Arusha na Shirika
Kuvuna
chumvi chumvi fuata maelekezo la CIAT(Tz). Kwa maelezo Zaidi
• Vuna maharagwe wakati
kama utakavyoelekezwa na yamekauka vizuri. unaweza kuwasiliana na Jovinus
wataalamu kabla ya kutumia. • Kama hayajakauka vizuri yang’oe Mbowe (SARI) +255682097870 na
Palizi na kuyaanika juu ya mkeka au Lazaro Tango(CIAT) +255 769539470.
• Hakikisha shamba halina magugu
Picha: SARI
wakati wa kupanda.
• Palizi ya kwanz ifanyike wiki
mbili baada ya kupanda, na ya
pili kabla ya maua kuchanua
kwa wale wanaotumia jembe la
mkono.
• Kwa wale wanaotumia dawa
za kuulia magugu, fuata kama
inavyoelekezwa na wataalamu
kwa usalama wa chakula na afya.
Kuzuia magonjwa
• Tumia mbegu safi ambayo
haina magonjwa. Ni muhimu kupepeta maharagwe ili kuondoa taka kabla ya kuhifadhi
Toleo la 65, Februari 2018
Namna ya kudhibiti kiwavi vamizi-Fall Armyworm (FAW)
Huyu ni mdudu vamizi (Spodoptera
frugipedra) asiye na mipaka ambaye asili
yake ni Amerika ya kitropiki hadi Argentina
Picha: IN
na maeneo ya Caribbean (Johnson 1987,
Pogue 2002).
Flora Laanyuni
Picha:MkM
katika jarida hili. Ningependa kufahamu
ni mambo gani muhimu naweza kufanya
ili ng’ombe wangu wazalishe maziwa kwa
wingi?
Amani Msuya
Picha: MkM
mnyama aliye karibu sana na jamii zetu
hasa jamii za wafuugaji na wamekuwa
wakisaidia mambo mengi.
Ayubu Nnko