You are on page 1of 4

Mgina Agri-Business company limited iko kwenye Facebook.

Ili kuunganisha kwa


Mgina Agri-Business company limited, jiunge kwenye Facebook leo.

Jiunge

au

Ingia

Mgina Agri-Business company limited


8 Aprili 2019 saa 17:42 ·

FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI


Matunda haya ya strawberry yana faida nyingi sana katika mwili wa binadamu ikiwa ni pamoja nafaida za kiafya.
Faida hizo ni kama ifuatavyo
Hutunza ngozi ya mwili ( anti-aging skin)
Huimarisha mifupa ( bone care)
Hupunguza madhara ya presha ya kupanda na kushuka( hype –
tension)
Ina madini yanayohitajika kwa mama wajawazito na ukuaji wa mimba ( natal care)
Kinga na afya ya mzunguko wa damu
Kinga ya baadhi ya saratani
Inasaidia kuponya jeraha kwa haraka
Inasaidia kupunguza uzito kwa wale wenye uzito mkubwa
Inasaidia kuongeza kumbukumbu
Inasaidia kuongeza nguvu na muamko wa kufanya mapenzi strawberry zina madini ya zink kwa wingi ambayo
husaidia zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Hivyo, katika bustani yako unaweza kupanda miche kadhaa kwa ajili ya afya yako na familia yako pia.
Mbali na faida kwa mfumo wa uzazi, berries vitamini C huongeza nguvu wa
mfumo wa kinga na magonjwa, kuimarisha mwili.
Ni matunda muhimu sio tu kwa wanaume, bali pia kwa wanawake. Wakati wa ujauzito,
MATUMIZI:
Matunda ya strawberry yana matumizi mbalimbali kulingana na uhitaji wa mtumiaji, jamii na maeneo. Miongoni
mwa matumizi hayo ni pamoja na:
Kuliwa kama tunda.
Kutia ladha katika aina mbalimbali za vyakula.
Kuweka rangi, harufu na nakshi katika vipodozi.
Kutengeneza marashi n.k.
UKIITAJI KITABU CHA KILIMO BORA CHA STRAWBERRY WASILIANA NASI 0657420067 AU 0688468809
HARDCOPY SH 15000
SOFTCOPY SH 5000 UNATUMIWA KWA EMAIL AU WHATSAPP
PIA TUNAZALISHA MICHE YA STRAWBERRY MCHE MMOJA SH 1500
BY
FRANK E MGINA
0657420067
Mgina Agri-Business company limited iko kwenye Facebook. Ili kuunganisha kwa
Mgina Agri-Business company limited, jiunge kwenye Facebook leo.

Jiunge

au

Ingia

Chapisho la Hivi karibuni kwa Ukurasa

Mgina Agri-Business company limited


Jana saa 12:46 ·

KUUNGANISHA MICHE YA PARACHICHI NA MATUNZO YAKE


MCHE ULIOUNGANISHWA
Sehemu mbili za mimea ya jamii moja (muembe kwa muembe, mparachichi kwa mparachichi) au
miche ya aina tofauti kidogo ila jamii moja (mchungwa kwa mlimao) ndiyo inayoweza kuunganishwa au
kubebeshwa. Hii huusisha sehemu muhimu mbili:
Sehemu ya shina (mche shina) ambayo hutokana na kuotesha mbegu za mmea ulichaguliwa kuwa
mmea shina.
Sehemu ya tawi (kikonyo) huchukuliwa kutoka mti mama wenye sifa za kuzaa matunda mengi na
yaliyo bora, ambayo ndiyo yanayotakiwa kama zao.
FAIDA ZA KUUNGANISHA/KUBEBESHA MICHE
Mche uliyounganishwa kwa kutumia kikonyo au kitawi kilichochukuliwa kutoka kwa mche mama
uliokwisha zaa, utazaa matunda mapema. Kwa mfano parachichi hutumia miaka 2 na nusu had 3 kuaanza kuzaa
matunda badala ya miaka 8 had kumi kwa miti ya kienyeji.
Mche uliounganishwa unadumisha/endeleza sifa halisi ya mmea mama ambao kikonyo chake
kimetumika kwenye kuunganisha.
Kuunganisha mche kunatoa nafasi ya kutumia mimea shina ambayo inauwezo kwa mfano wa
kuvumilia ukame, magonjwa na ama hali ya udongo ambayo mmea tawi usingeweza kuvumilia
Mimea inaweza kuunganishwa kwa sababu mbalimbali zingine. Kwa mfano kuna aina ya mimea
ambayo haina uwezo wa kutoa mbegu (ndimu zisizo na mbegu, machungwa yasiyo na mbegu). Miche inaweza
kuunganishwa kwa sababu za kudhibiti magonjwa au wadudu, Pia miti iliyounganishwa itakuwa na umbile dogo
endapo mmea shina una asili ya kuwa na umbile dogo.
NJIA ZA KUUNGANISHA MICHE
Kuna njia kuu mbili zinazoweza kutumika katika kuunganisha miche. Njia hizi zimegawanya
kufuatana na aina ya kikonyo kinachotumika katika uunganishaji.

Kuunganisha kwa kutumia kijicho (budding)


Kuunganisha kwa kutumia kitawi / kikonyo (grafting).
Njia hizi zote zinaweza kuwa bora lakini ubora utategemea zaidi aina ya miche inayounganishwa.
Kwa mfano katika hali ya kawaida miche ya jamii ya michungwa inashika vizuri unapotumia kijicho kuliko kitawi,
wakati uunganishaji
ITAENDELEAAA............
UKIITAJI KITABU CHA KILIMO BORA CHA PARACHICHI WASILIANA NASI 0784161464 AU WHATSAPP NO
0657420067
HARDCOPY SH 10000
SOFTCOPY SH 5000 UNATUMIWA KWA EMAIL AU WHATSAPP

Mgina Agri-Business company limited


Jana saa 12:33 ·

Mgina Agri-Business company limited


Jana saa 12:32 ·

You might also like