Professional Documents
Culture Documents
INFLAMMATORY
DISEASE (PID)
Solly and Flory Corporation
2023
Solly & Flory Corporation
www.sollydaddy92@gmail.com
www.hadassah5464@gmailcom
0769 567 263 / 0753 907 403
Hata hivyo wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa
kuingia hasa kisonono (Gonorrhea), mlango wa kizazi hupata maambukizi na kasha
hupoteza uwezo wake na hivyo kuruhusu maambukizi na bacteria kuingia na kufika
juu kwenye viungo vya uzazi.
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa ugonjwa wa PID. Njia
hizo ni pamoja na;
~1~
Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nje.
Kama umeshawahi kuwa na historia ya kuugua PID kabla.
Maambukizi ya nje ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo
salama (Post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (Miscarriage)
Maambukizi ya nje ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua
(Postpartum Period).
Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) kama njia mojawapo
ya uzazi wa mpango.
Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
Kutumia sana vidole wakati wa kusafisha uke (Excess Vaginal Douching).
Dalili za PID
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa PID miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;
Matibabu ya PID
Matibabu ya PID kwa kutumia dawa yataondokana mara moja lakini hakuna njia ya
kukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na PID.
Matibabu ya PID yaweza kuwa;
~2~
A. Antibiotics za kutibu PID
Daktari atakuandikia dawa inayoendana na chanzo cha tatizo lako. Utasubiri siku
kama tatu kuona kama dawa ulizopewa zinafanya kazi.
Acha kushiriki tendo la ndoa hadi utakapomaliza tiba na kuona kuwa umepona.
Madhara ya PID
PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji
yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza
kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi. Madhara yanayoweza
kutokea ni pamoja na;
PID ndiyo sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi, mimba huweza kutunga nje ya
kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya
husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea
kwenye nyumba ya mirija ya uzazi. Mimba nje ya uzazi husababisha utokaji wa damu
usio wa kawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.
II. Ugumba
~3~
wakati wa tendo la ndoa na wakati yai linapondondoshwa (Ovulation).
PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya
uzazi na ovary, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi
kama tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha.
Kuna njia kadhaa za kuzuia ugonjwa wa PID. Njia hizi ni pamoja na;
~4~
Dawa za asili za PID
Zifuatazo ni dawa za asili ambazo unaweza kuzitumia kutibu ugonjwa wa PID
unapokuwa katika mazingira yako ya nyumbani;
Kitunguu swaumu.
Matumizi.
Chukua kitunguu swaumu kimoja na ukigawe mara mbili, menya nusu yake (Punje 10
au 15), menya punje moja moja na kasha kikatekate (chop) vipande vidogo vidogo na
kisu na kasha meza kama unavyomeza dawa na maji vikombe viwili kila unapoenda
kulala na kila unapoamka asubuhi kwa siku 7, baada ya hapo hautakuwa na
maambukizi tena ya PID.
Binzari ya manjano.
Matumizi
Chukua kijiko kimoja cha binzari ya manjano iliyosagwa, kisha koroga kwenye glass
yenye asali mbichi vijiko viwili na maji, baada ya hapo kunywa mchanganyiko huo wa
asali mbichi, binzari na maji, asubuhi na jioni kwa muda wa siku 7.
Baking soda.
Kama ukikosa kitunguu swaumu au binzari ya manjano unaweza kutumia baking soda
kama dawa ya kutibu maambukizi ya PID.
Matumizi
Chukua nusu kijiko au kijiko kimoja cha baking soda, kisha koroga kwenye glass
yenye maji ya vuguvugu, baada ya hapo kunywa mchanganyiko huo wa baking soda na
maji ya vuguvugu asubuhi na jioni kwa muda wa wiki mbili.
~5~
Mbegu za mlonge
Vitamini, madini, na homoni muhimu zilizomo kwenye mbegu hizi huufanya mwili wako
kuwa na usawa unaohitajika kiafya na hivyo kukupa kinga dhidi ya magonjwa mengi
bila idadi ikiwemo PID.
Matumizi
Cukua punje 3 za mbegu za mlonge na uzimenye ganda lake la juu kila moja, kisha
tafuna zile mbegu zake za ndani, ukimaliza kuzitafuna kunywa maji ya kawaida glass
2 (nusu lita), usinywe maji ya baridi yaliyotoka kwenye friji. Fanya hivi kutwa mara
tatu.
~6~
Kielelezo 3: Baking soda
©2023
~7~