Professional Documents
Culture Documents
BUNGE LA TANZANIA
Spika Ndugai ametoa tahadhari hiyo jana Bungeni Mjini Dodoma baada ya
Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa kutoa hoja ya kuahirisha
Mkutano wa Nane wa Bunge.
Amesema katika kipindi cha mwezi Julai mpaka Agosti mwaka huu, Serikali
imefanikiwa kukusanya Shilingi Tririoni 2.7 ambapo katika ya mapato hayo
Mamlaka ya Mapato (TRA) imekusanya Shilingi Tririoni 2.3.
Imetolewana:
15 Septemba,2017.