Professional Documents
Culture Documents
Sentensi zinaweza kuwa katika hali tatu. Kwa kila sentensi andika hali zilizokosekana.
( alama 4)
(i) Goma lililotumiwa katika sherehe zile ni zuri.
(ii) Mwizi aliyeiba alipatikana amejificha kando ya mto.
MATUNGULU 2013
LAIKIPIA 2013
RABAI 2013
Tambua ni hali gani inayowasilishwa katika sentensi hii.
Osama auawa.
Hali isiyodhihirika (hali ya a). alama 1
RABAI 2013
Bebora alinunua pikipiki.
bebora atakuwa amenunua pikipiki (alama 2)
KIHARU 2013
SUPAJET 2013
KCSE 2012
KWANZA 2012
Iweke sentensi ifuatayo katika wakati uliopita hali timilifu. (Alama 1)
Aliomba msamaha kwa kuchelewa.
Alikuwa ameomba msamaha kwa kuchelewa. 1x1=1
BURETI 2012
Andika sentensi ifuatayo katika mazoea.
Ua linalomea vizuri linietiwa rnbolea. (ala.1)
Ua limealo vizuri limetiwa mbolea/huwa limetiwa mbolea
KILUNGU 2012
EMBU 2012
Tambua wakati nahali katika sentensi ifuatayo:Ali amekuwa akisomatangu asubuhi (alama 2)
i) wakati - uliopita
ii) hali – timilifu (alama 2 x 1 = 2)
KASSU 2012
Tunga sentensi ukitumia vibadala vya hali na wakati uliyopewa kwa mabano. (al 2)
(a) (-takuwa - , - me - )
(b) (- takuwa -, - ki -)
Kassu 2012
Bainisha nyakati na hali katika sentensi hizi (alama 3)
Walimwomba awasamehe.
Yule angekuwa mwalimu.
Nyakati – li
Hali – nge
Wakati- a- usiodhihirika. (alama 3)
Sotik 2011
Tambulisha nyakati au hali za sentensi zifuatazo. (al.2)
(i) Naja
(ii) Nilikuwa nimeketi alipotembelea
(i) Wakati uliopo
(ii) Waakti uliopita hali timilifu (2x1=al. 2)
BARINGO 2013
Tunga sentensi kubainisha nyakati na hali zifuatazo.
(i) Masharti yasiyowezekana
(ii) Wakati uliopita hali ya kukanusha (alama 2)
Masharti yasiyowezekana – Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari. (alama 2)
SIAYA UGENYA 2009