You are on page 1of 27

DODOSO KUU LA SENSA

S.No HOJA UFAFANUZI


MAMBO YA KUFANYA KABLA YA SENSA
1. Vijana wanaoishi pamoja na Wachukuliwe kuwa ni kaya moja
wanalala kwenye chumba na mkuu wa kaya atakuwa ni
kimoja lakini kila mmoja mmojawapo ila uhusiano utakuwa
anajitegemea kwa chakula ni mtu mwingine. Kama ni ndugu
watahesabiwaje? uhusiano utategemea
watakavyokujibu
UTAMBULISHO
1. Mifano inayotolewa iendane Mageresho ya utambulisho
na uhalisia mfano kaya ya yatabadilishwa yaendane na mfano
MPATENI inaonekana ipo
wilaya ya Bahi wakati kata au
Kijiji husika kipo wilaya ya
Chamwino, hata kama ni
mfano lakini uendane na
uhalisia.
SEHEMU A NA B: SEHEMU YA DEMOGRAPHIA
1. Unatakiwa ufanye nini kama Kishikwambi kitakuruhusu
mwanzoni mkuu wa kaya uongeze na kitabadilisha idadi
aliwaorodhesha wanakaya 7
na mwishoni anakuambia
wanakaya kumi na wewe
tayari umeshajaza
Mfano wa Matata Mfano utarekebishwa- Idadilishwa
2. urekebishwe iwapo mkuu wa badala ya watu 9 itakuwa nane
kaya alitaja watu tisa na
akasema ameshau mtu mmoja
ina maana hajasahaulika
3. Kwa nini Mwanakwetu Anatakiwa kuorodheshwa
Karibu Sana ameorodheshwa kwakuwa wanaorodheshwa watu
kwenye dodoso kwani mkuu wote waliolala kwenye kaya usiku
wa kaya alisema hawezi wa kuamkia siku ya Sensa
kumtolea taarija na hajui Karani anatakiwa aelewe nani
kama anatakiwa kumtolea anatakiwa kuorodheshwa na
taarifa karani wa Sensa anawajibu wa
kumwelewesha Mkuu wa Kaya
4. Orodha ya wanakaya- Karani aandike majina matatu kwa
Utaratibu wa kuandika majina herufi kubwa kama yalivyo
uzingatie jina la kwanza, la kwenye vitambulisho vyake kama
pili na la Ukoo hana vitambulisho msikilize mkuu
wa kaya atakavyokutajia
5. Kwa nini tunaandika namba Zitasaidia kuandaa frame ya Tafiti
za simu zitakazofanyika kwa njia ya simu
(Kwa ajili ya matumizi ya
kitakwimu)
Namba za simu kama mtu Ajaziwe namba ambayo anaweza
hana namba ya simu kupatikana miongozo itaboreshwa
6. Tukiandika namba za simu Ni kwa ajili ya matumizi ya kiofisi
kwa watu ambao hawamiliki
line itakuja kuonyesha Itasaidia pia kupata database kwa
watanzania wote wana simu ajili ya watu wenye ulemavu na
itakuwa rahisi kuwapata
7. Makarani watatu Kwa kutumia Kishikwambi kila
wanawagawanaje namba za karani ataanza na kaya namba
kaya katika eneo la kuhesabia moja ila kaya hizo zitatofautishwa
watu kwa kuangalia namba ya karani
Kaya zitaonekana ziko sehemu
moja ila eneo hilo limefanywa na
makarani tofauti
8. Iwapo wote hawakulala Hawezi kuweka alama na watu
kwenye kaya je nyumba hao watahesabiwa kule waliko
itawekewa alama kuwa
imehesabiwaa
9. Sw. Hali ya ndoa – Kwa nini Geresho la asiyetaja au hajui
geresho limetoka 6 likaenda linawekwa namba 9 kama
na 9 kwa asiyetaja? Kwa nini mageresho hayajafika 10 na kama
siyo 7 yako 10 na hayajafika 100
inawekwa 99
Pia imeachwa kwa ajili ya
kuongeza geresho lingine

ULEMAVU
1. Ufupi unasababishwa na Ufupi ulioaninishwa hapa ni ule
mambo mawili ulioko kwenye mwongozo wa
1. Ukosefu wa lishe karani Uk. 68
(stunting) Ni mtu ambaye kimaumbile ni
2. Genetically (dwarfism) mfupi sana kiasi cha kushindwa
Ufafanuzi utolewe ili kutumia miundombinu kiurahisi.
kuainisha ulemavu
uliokusudiwa
2. C08 I (ulemevu wa wa Afya Mpangilio kwenye mwongozo
ya Akili) n& J (ulemavu wa utarekebishwa lakini kwenye table
Akili) lakini kwenye ni ufafanuzi kwa njia ya picha
mwongozo-table ya ufafanuzi
I ni ulemavu wa Akili na J
haipo kabisa imerukwa
Tubadilishe neno tatizo la Tumekubalina na Shivyawata
kusikia tuweke changamoto kuwa liwe kama lilivyo kwa
ya usikivu (kiziwi) sababu pia matokeo
yanalinganishwa na Sensa iliyopita
3. Kwa nini chanzo cha ulemavu C01- Chanzo chake kinajulikana
hakiulizwi kwa C01- & C08 (watu wenye ualibino)
C08 – Aina za ulemavu
zinazoulizwa chanzo ndizo
zilionekana kuwa zinahitajika ziwe
na chanzo cha ulemavu
4. Matatizo ya Kumbukumbu Haya matatizo yako sawa kwa
(memery imparement) au sababu matatizo ya kukumbuka na
matatizo ya kufanya kitu kwa kufanya kitu kwa umakini ni
umakini ni vitu viwili difficulty in remembering and
vilivyochanganywa kwa concentration na siyo lack of
lazima? impairment
5. Kwenye mwongozo kwa Imesharekebishwa
wasioona kuna maelezo
yaliyoandikwa fimbo au
msaidizi kutembea iwe
msaidizi wa kumuongoza njia
6. Tatizo la kujihudumia- wenye Siyo ulemavu
vitambi wanaoshindwa Kimo kifupi ni mtu ambaye
kujihudumia na wao ni kimaumbile ni mfupi sana kiasi cha
walemavu kushindwa kutumia miundombinu
kiurahisi – Mwongozo wa Karani
pg. 68
7. Vyanzo vya ulemavu Vitajazwa kwenye ajali
Aina ya kazi, mazingira ya
kazi, kubeba mizigo mizito
viongezwe kwenye
mageresho
8. Matende siyo ulemavu? Aina za ulemavu ndizo
zilizohitajika kwa sasa
9. C10- wheel chair ni kiti cha Itafafanuliwa zaidi
magurudumu mawili ila
Baskeli ya magurudumu
matatu haijatajwa
10. Nini tofauti iliyopo kati ya Matatizo ya kukumbuka (Mtu
Kukumbuka (C5), Ulemavu mwenye tabia ya kusahau) yako
wa akili (C8I) na afya ya akili
tofauti na ulemavu wa akili
(C8J) (huwezi kuutibu mara nyingi mtu
anazaliwa nao) au wa ulemavu wa
afya ya akili (inaweza kutibika) na
maelekezo mengi yako kwenye
mwongozo
11. Swali la C02: kuna maswali ya Ni kweli ilibidi yawe maswali
ulemavu yanatakiwa kuwa mawili lakini swali linaweza
mawili badala ya moja. Mf. kujibika likibaki kama lilivyo.
Kuona Tunachotakiwa ni kuhakikisha
Ni vizuri kuwe na maswali tunaowafundisha wameelewa
mawili moja Je una matatizo
ya kuona hata kama umevaa
miwani, akisema ndiyo uulize
ukubwa wa tatizo
SEHEMU D- UHAMAJI
1. Swali la D01: Uraia pacha Tanzania hakuna uraia pacha,
hivyo ikiwa mhojiwa amesema ana
uraia wa nchi mbili sw. la D01 na
sw. la D01 akataja Tanzania na nchi
nyingine, mwanakaya huyu
achukuliwe ni Mtanzania na karani
arudi sw. la D01 kurekebisha
geresho la uraia pacha
2. Geresho 076 kwenye Ushauri umechukuliwa na geresho
mwongozo, kongo ziko mbili , limebadilishwa kuwa Congo DRC
wakati yanaandaliwa haya
mageresho tulikuwa tunataka
Kongo ile tunayopakana nayo
hivyo basi Kongo
tunayopakana inajulikana
kama Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC
Congo)
3. Katika maswali ya uhamiaji Utaratibu mwingine wa kupata
Napendekeza swali la taarifa za diaspora utawekwa
ufahamu kuhusu wa hivyo maswali haya hayataulizwa
katika Sensa
Tanzaniua wanaoishi nje ya
nchi (diaspora) liwekwe hasa
ukizingatia kuwa swali hili
limewekewa msisitizo na mh.
RAISI hasa katika
kuwatambua wana diaspora
Tunaweza kuwa na maswali
mawili yaani
i. Je una ndugu au
jamaaa anaeishi nje
ya nchi ( ndio au
hapana) kama ndio
ataje nchi hiyo
Suala la michango yao ni
ngumu kupata hivyo
tunaweza kuliacha

N.B Maswali ya diaspora


yalikuwepo katika sensa ya
mwaka ya mwaka 2012
4. Ukurasa wa 73 kwenye Ushauri umechukuliwa na geresho
mwongozo Geresho la Wilaya limebadilishwa
ya IKUNGU iandikwe
IKUNGI
SEHEMU F- TAARIFA ZA ELIMU
1. Swali F01: “na” imekosekana Swali la F01 kwenye dodoso
katika dodoso swali liwe “je limerekebishwa
(JINA) unajua/anajua kusoma
na kuandika?
2. Swali la F01A: Kuhesabu ni Swali limefanyiwa marekebisho
kujua kusoma tarakimu na
kuweza kufanya hesabu nin
kama kujumlisha, kutoa,
kuzidisha na kugawanya
Hivyo kama lengo ni kujua
kuhesabu basi nashauri swali
libaki kama lilivyo na lakinin
kama swali ni kuwa fahamu
wanaojua kufanya hesabu,
basi swali libadilike na kuwa
Je (JINA) anajua kufanya
hesabu? Na kama tunahitaji
kujua yote mawilibasi
nashauri maswali yote
yawekwe kwenye dodoso.
3. Swali la F03: Swali la F03: Geresho linabaki kama lilivyo
Geresho 01: sababu za kifedha kwani sababu yoyote iliyotokana
Mapendekezo katika na ukosefu wa fedha itaingia katika
01 :ukosefu wa mahitaji (lack geresho hilo
of basic needs)
Kwa shule za serikali; kuna
program ya elimu bila Ada
hivyo ni vizuri sababu
ikiandikwa “ ukosefu wa
mahitaji muhimu ambapo
itacross na kwa shule za
binafsi
4. Swali la F03: Liongezwe Tafiti nyingine zitakusanya taarifa
geresho la mgogoro wa ndoa hizi, kwenye Sensa sababu hii
ya wazazi wa mtoto husika itaingia kwenye geresho 11
kwani ni mojawapo ya sababu
za kuacha/kutowahi kwenda
shule
5. Swali la F03: Nashauri Udhalilishaji utaingia kwenye
iongezewe sababu ya geresho la 11
“Udhalilishaji” maana kuna
wanafunzi wengi wanaacha
kutokana na sababu hii na
udhalilishaji ni kama vile
(udhalilishaji wa
Kingono,Kimaumbile, jinsi
n.k)
6. Swali la F04: Kwenye Mageresho ya dodoso
mwongozo tofauti na kwenye yamefanyiwa kazi
dodoso
7. Swali la F04: Naomba Ushauri umechukuliwa maelezo ya
maelezo ya ziada yaandikwe ziada yameongezwa
katika mwongozo kuhusu
geresho 15 Vs geresho la 16 na
17
8. Swali la F04: Katika Marekebisho yamefanyika na neno
mwongozo hakuna aliachia aliachia limeongezwa
9. Swali la F04: Geresho la elimu Ushauri umechukuliwa na
ya watu wazima halikutakiwa marekebisho yamefanyika kwa
kuwepo kwa sababu swali hili kuondoa makundi ya elimu
linaulizwa kwa wambao F02
ni geresho 1,2 au 3 yaani
walisoma mfumo rasmi
ambapo elimu ya watu
wazima watajaziwa geresho 4
= hawajawahi
Swali la F04: Naomba Ushauri umechukuliwa na
maelezo ya ziada yaandikwe marekebisho yamefanyika kwa
katika mwongozo kuhusu kuondoa makundi ya elimu
geresho 15 Vs geresho la 16 na
17
SEHEMU G- SHUGHULI ZA KIUCHUMI

1. Swali la G01: Muda rejea kwa Hoja imechukuliwa na kufanyiwa


shughuli za kiuchumi usiwe kazi
“fixed”, uzingatie wiki moja
iliyopita yaani. Hii ni
kutokana na miongozo ya
ILO.
2. Maelekezo ya siku7 zilizopita Maswali ya Shughuli za kiuchumi-
na wiki iliyopita, miezi mitatuWiki iliyopita shughuli za
iliyopita n.k kiuchumi: kwenye maswali ya
shughuli za kiuchumi reference ya
wiki iliyopita itabaki hivyo hivyo
ikimaanisha ni juma lililopita
ukiondoa juma la Sensa na itakuwa
„moving week” kwa wale
watakaohojiwa baada ya juma la
Sensa wiki iliyopita itakuwa ni
wiki ya Sensa.
Miezi mitatu iliyopita na Miezi 12
iliyopita itabakia pale pale kuanzia
tarehe 22 Agosti kurudi nyuma.
3. Swali G05: Maudhui ya swali Imebadilishwa na kuwa katika
hili yasiwe current bali shughughuli kuu, Je[JINA]
usually, wasiwasi wangu ulikuwa/alikuwa/ huwa
tukiendelea kusimamia unajishughulisha/anajishughulisha
current kuna uwezekano na nini?
mkubwa tutapoteza baadhi ya Alikuwa/Ulikuwa inawahusu
taarifa. Mfano wakati wa wale ambao wiki iliyopita
sensa walimu wote watakuwa walifanya kazi (Jibu la Ndiyo
likizo kutokana na shule kwenye G01). Huwa itatumika kwa
kufungwa, hivyo kutakuwa wale ambao hawakuwa kazini kwa
hakuna walimu muda (Jibu la Ndiyo kwenye G02)
wanaofundisha. Nashauri
current ibaki G01 na usual iwe
G05.
Paraphrasing iliyotoka G05
izingatie umoja au wingi
4. Swali la G05: Kwenye Swali hili litaulizwa kwa kila
muongozo iongezwe kuwa mwanakaya ambaye alifanya
swali hili linahitaji kujua kazi shughuli/kazi ya kiuchumi wiki
kamili ya mhojiwa na moja iliyopita
wanakaya wote na sio
mhojiwa peke yake kama
muongozo unavosema
5. Swali la G05: Maelezo Maelezo haya yameboreshwa na
yafutayo yanachanganya kusomeka “KARANI: MASWALI
“KARANI: MASWALI YAFUATAYO YANAHUSU
YAFUATAYO YANAHUSU KAZI/SHUGHULI AMBAYO
KAZI/SHUGHULI AMBAYO MHOJIWA ALITUMIA MUDA
MHOJIWA ALITUMIA WAKE MWINGI KUIFANYA
MUDA WAKE MWINGI IKIJUMUISHA WALE AMBAO
KUIFANYA HATA KAMA HAWAKUWEPO KAZINI KWA
HAKUIFANYA WIKI MUDA”
ILIYOPITA”
6. Iwapo kaya inajishughulisha Kwa kuwa swali hili ataulizwa kila
na ufugaji na mama ana mwanakaya, hivyo ichukuliwe
mbuzi 4 na Baba ana kondoo 2 kuwa hakuna mwanakaya mwenye
Na katika mwaka wa kilimo
vigezo vya kuwa mfugaji. Kaya hii
2021/2022 kila mmoja
najishughulisha na ufugaji wa itachukuliwa kuwa ya Kilimo
mifugo katika maswali ya Sehemu L ya
Tutakaposema dodoso
hawakujishughulisha hatuoni
kwamba wakati wa sensa ya
kilimo ilikua inaonekana hii
kaya ina qualify na katika
sensa hai qualify?
7. Tafsiri ya TASCO NA ISIC pia Mpangilio wa maswali uko sawa
anashauri swali la G07 lianze Tafsiri za TASCO na ISIC
na lifuate la G05 zimeelezewa kwenye Mwongozo
wa Karani
8. Swali la G07: Kuna hoja Majibu ya hoja hii ni kwamba
kwamba shughuli ya Utalii shughuli ya utalii ni mtambulika
ipo kwenye huduma (service (cross-cuting) katika ISIC. Utalii
sector) na geresho lake, halipo utaikuta katika makundi ya 9.
moja kwa moja katika ISIC Huduma za malazi na chakula
yenye mageresho 21. (Accommodation and food service
activities), 14. Shughuli za utoaji
wa huduma mbalimbali
(Administrative and support
service activities), 15. Utawala wa
umma na ulinzi; na shughuli za
hifadhi ya jamii (Public
administration and defence;
compulsory social security),
18. Sanaa, burudani na starehe
(Arts, entertainment and
recreation) n.k
9. Swali la G08: Kwenye dodoso Mruko umeboreshwa, kwa sasa
kuna maelekezo ya mdadisi unasomeka kuwa “KAMA
ambayo yanasema GERESHO Z NENDA SWALI LA
HAHUSIKI ila kwenye
G10”
mageresho hakuna geresho la
hahusiki.
10. Swali la G08: Swali hili ni Hoja imechukuliwa
Multiplechoice ki academic
swali linapokuwa
Multiplechoice haliwezi kuwa
ten ana neno “NDIO” au
“HAPANA” Hapo inabidi
swali liwe kama ivi “ kama
kajaza kuanzia A hadi G basi
muulize swali G09 “kama
kajibu’’N”
Usimulize swali G09.
11. Swali la G08 na G10: Kwa nini Tukiongeza mageresho ya
tusiongeze geresho la ndio=1 NDIYO=1 na HAPANA=2
au Hapana=2 (Numeric value) tutaongeza idadi ya maswali. Swali
Ili kurahisisha uchambuzi wa limebaki kama lilivyo
kitakwimu kama vile
frequency distribution.
12. G08 kwenye Mwongozo: Hoja imechukuliwa
Nickel siyo madini ya vito
13. Swali la G09: Marekebisho Maelezo yamebadilishwa na kuwa
yafanyike kwenye sehemu G -Swali hili litaulizwa kwa
swali la G09. Sehemu ya waliosema kuwa
mwongozo wa karani. wanajishughulisha na uchimbaji
Maelezo yabadilike na mdogo wa mchanga au madini –
kuonekana kama ifuatavyo: - Uk.112
Swali litaulizwa kwa wale
waliojibu jibu kwa kujaza Washiriki wanatakiwa kubadilisha
geresho A-N katika swali la miongozo yao
G08. Na si kwamba kama
lilivyo na linavyoonekana kwa
sababu swalu la G08 halina
geresho la ndiyo na hapana
14. Swali la G09: Swali hili Swali hili litaulizwa kwa
litaulizwa kwa wale waliojibu mwanakaya aliyejibu geresho A
A-G katika swali la G08 sio hadi G katika swali la G08
“Ndio” ni “A-G”
15. Swali la G10: Nashauri kuwa Mwongozo umerekebishwa na
maelezo yaliyowekwa katika makubaliano ya wadau wa kilimo
sehemu ya pili ya mwongozo swali hili halitahusisha idadi ya
wa sensa yabadilishwe ili mifugo. Na pia haijalishi kuwa
yalenge kutambua tu iwapo anamiliki mifugo au la ili mradi
mwanakaya anajishighulisha awe amejishughulisha na shughuli
na shughuli za ufugaji, hivyo za mifugo.
italenga kupata idadi ya
wanojishughulisha na
shughuli za ufugaji hapa
nchini bila ya kuwa watu
wanamiliki au la
16. Swali la G10: Tunaomba Picha za majongoo zitaongezwa
kupata ufafanuzi wa aina za kwenye mwongozo kwa ajili ya
“MAJONGOO” yanayoweza uelewa wa Pamoja. Majongoo
kukuzwa na ikiwezekana
yanatumika kwa matumizi
tutafutiwe picha zake ili
tuelewe kwa ufasaha. mbalimbali ikiwemo chakula
Pia majongoo hayo hayo
huwa yanatumikaje?
Picha angalia kwenye
mtandao utapata mpaka aina
zake na matumizi yake. Tafuta
jongoo bahari.
17. Swali la G10: Geresho “C” Hoja imefanyiwa kazi
tuongeze kilimo cha mwani
18. Swali la G10 (Shughuli za Makarani wasisitizwe ili waulewe
Kilimo): Swali hili limeulizwa mwaka wa kilimo wakati
kwa kurejea mwaka wa kilimo wanafundishwa kwamba ni
2021/22; Je, Mhojiwa atajua
kuanzia siku waliyoenda kwenye
mwaka wa Kilimo?
Imependekezwa swali libaki kaya kurudi nyuma hadi 1,
kama liliyvo ila Iongezwe Septemba, 2021 kwani kuweka
maneno (BOLDED) ya kwenye dodoso kuanzia Agost
kumkumbusha karani kuwa 2021 –Septemba, 2022 itachanganya
mwaka wa kilimo n tarehe 1 kwa sababu wanaenda kwenye
oktoba, 2021 hadi tarehe 30, kaya kabla ya Septemba, 2022
Septemba, 2022.
19. Mwongozo Uk.113: Sentensi Hoja imefanyiwa kazi
inayoanzia na swali la G10
irekebishwe
Isomeke swali la G10
litahojiwa kwa wanakaya
wote wenye umri wa kuanzia
miaka 5.
Siyo umri wa zaidi ya miaka
mitano
Hii itawaacha wale wenye
umri wa miaka 5 nje ya swali
20. Miongozo haina page maswali Mwongozo uko sawa ila swali
ya G11-14 na maelezo yake halijaonyeshwa kwenye
mwongozo
21. Swali la G15: kujishughulisha Mageresho yaliyopo yanatosha
na shughuli ndogo ndogo Ndiyo au Hapana kwa hiyo
kama zisizo rasmi/machinga mageresho yako sawa
Liongezwe geresho la 3
hahusiki ili ionekane kuwa
swali limeulizwa, likiwa wazi
hatujui kama limeulizwa au
kasahau
22. Swali la G16: Kama lengo ni Swali hili limehamishwa
kujua idadi ya wajasiliamali kupelekwa E02
wadogo wenye vitambulisho
kwa nini tunasema hata
anayetumia vitambulisho cha
mtu mwengine tunasema
anacho? Hivi itapelekea
kuwepo kwa double counting
Ombi langu naomba ufafanuzi
Zaidi.

23. Pia anakuwa na vitambulisho Hoja imefanyiwa kazi


vya ujasiriamali vimetajwa
sehemu (E02) kwa nini
kusiwepo kwa mruko hadi
G16 ili kuwepo na consistency
ya data
24. Swali la G16 na G17: Maswali ya G16 na G17
Nashauri watu wa IT waweze yamefutwa. Swali la E02
kuichukua moja kwa limeboreshwa katika kipengele F.
moja(filter) kutoka swali E02 Swali hili litaulizwa kwa watu
(vitambulisho vingine), kwa wenye umri wa miaka mitano (5)
mtu /mhojiwa aliyejibu ndio au Zaidi na pia litauliza namba ya
(1) na kujaza ana kitambulisho kitambulisho cha mjasiriamali
cha mjasiri amali (F)
basi,nashauri asiulizwe swali
la G16 na G17.
25. Nashauri kwa swali la Hoja imefanyiwa kazi
ujasiriamali G16 na G17 kiwe
linked/livutwe kutoka E02(F)
kwa waliojibu ndio, ili
lisiulizwe tena kwenye G16 na
G17. Bali taarifa zake zivutwe
automatic kwa wale
waliokishe zitaje
26. Swali la G18: Mageresho Geresho namba 7 limepelekwa
namba 6 na 7 ya eneo lisilo kwenye eneo maalum na
maalumu yanaingiliana kuboreshwa ambapo linasomeka
“Nyumbani kwangu au kwa
Tuongeze biashara mtandao mshirika wangu kwenye eneo
maalumu”
27. Swali la G18: Tuongeze Biashara mtandao imeongezwa
biashara mtandao kwenye katika eneo lisilo maalumu
eneo lisilo maalumu
28.
29. TASCO na ISIC zimeonekana Mageresho ya TASCO na ISIC
kuwa na mambo mengi yani yamefafanuliwa vizuri kwenye
shughuli kuonekana kama viambatisho vya dodoso la Sensa,
zinaingiliana hivi hali ambayo hivyo rejea sehemu hiyo ili
inaweza kuwachanganya kujijengea uelewa Zaidi.
makarani waelewe kwenye
zoezi kuu la sensa. Hakuna mwingiliano wa
Athari mageresho haya, kwani TASCO ni
 Uwezekano upo wa kazi ya mtu na ISIC ni shughuli
muingiliano wav kuu mahali pa kazi
takwimu za eneo hili
hivyo utyaathiri/kutoa Kwenye kishikwambi yapo
takwimu zisizo na mageresho ya kundi kubwa pekee
uhalisia
 Je katika kishikwambi
TASCO na ISIC
zimewekwa kwa urahisi
ili kumrahisishia
kuzitafuta kwa urahisi
bila kuchanganmya
USHAURI
Kama hakuna urahisi huo
ushauri kuwepo kwa kila
sehemu yako u search ili
ziweze ku pop up na kuzipata
kwa urahisi
30. Mjumbe (Wizara ya Mifugo na Hoja imekubaliwa na inafanyiwa
Uvuvi) amependekeza kazi
mageresho ya Makundi
maalum ya TASCO na ISIC
katika sekta ya kilimo zenye
maelezo makuu ya makundi
hayo zielezee kwa undani na
katika vichwa vya habari
taarifa za kina ya makundi
husika ili ijulikane mjumuisho
wake
31. Baadhi tumepata shida ya Sekretarieti inafanyia kazi swala
i. Kutokuwa na vitabu hili
(hard copies za
mwongozo
ii. Dodoso lina maandishi
madogo mno
Haiwezekani kusoma dodoso
softcopy ili kukuza maandishi
wakati huo huo kufungua
muongozo katika
kishikwambi
SEHEMU H –ARDHI NA TEHAMA
MASWALI YA ARDHI
1. Kama namiliki ardhi nchi nyingine, Kwa madhumuni ya Sensa tunataka mtu
nitahesabiwa namiliki ardhi kwa maana anayemiliki ardhi ndani ya mipaka nchi ya
nchi nyingine wanaruhusu kumiliki Tanzania. Ardhi inayomilikiwa nje ya nchi
ardhi kwa wageni haiwezi kumsaidia mtanzania kupata haki
nyingine kama vile mikopo. Ufafanuzi zaidi
utaongezwa kwenye Mwongozo wa Karani
2. Tungekuwa na swali la matumizi ya Kwa sasa hakuna nafasi ya kuongeza swali
hiyo ardhi. Je jina unatumia/anatumia
katika matumizi gani?
3. Swali la H01: Napendekeza umiliki wa Hili ni swali lingine na haliwezi kuongezwa
ardhi uwe kama ifuatavyo. A-Ardhi kwa sasa
inayomilikiwa kisheria
B-Ardhi inayomilikiwa kimila
C -Ardhi iliyonunuliwa kutoka kwa
wengine
D- Ardhi iliyokodiwa kutoka kwa
wengine
E- Ardhi ya makubaliano ya kugawana
F- Ardhi iliyomilikiwa vinginevyo
Na yawe multiple response na yawe
kwa mwaka husika wa sensa
4. Swali la H02: Itumike kupata aina Umiliki wa ardhi kisheria na nyaraka za
tofauti za nyaraka za umiliki wa ardhi umiliki tutazipata kwenye ‘Sehemu K’ lakini
kwa lengo la ku-access rate ya ni kwa Ardhi iliyojengwa nyumba
miradi/programme za umiliki wa ardhi inayomilikiwa na kaya
kama mkurabita
5. Swali la H02: Hakuna haja ya Swali la H01 linahusu umuliki wa ardhi kwa
kuzirejea tena aina za umiliki kwenye binafsi au kwa pamoja na swali la H02
H02 wakati aina hizo tayari linataka kujua iwapo ardhi anayomiliki ina
hati iliyoandikwa jina lake binafsi au pamoja
zilishakuwa processed H01.
na mtu mtu/watu wengine
Pendekezo H02 litumike kuuliza kwa
kutumia ndio na hapana
6. Swali hili la umiliki wa ardhi limekuwa Pale itakapowezekana atahojiwa mtu mmoja
swali binafsi kwa kuwa watu wengi mmoja
hatuna uwazi wa kutosha ndani ya
familia mfano mama anaweza kumiliki
ardhi na baba asijue. Kama baba mkuu
wa kaya atawajibia watu wote swali
hili, basi taarifa nyingine zitakosekana.
Nashauri swali la umiliki liulizwe kwa
mtu mmoja mmoja kama sehemu
sehemu ya uzazi.
7. Mtoto hajafikia umri wa miaka 18 Mshiriki wa Ardhi kutoka Zanzibar ametoa
ambaye hana kitambulisho cha ufafanuzi kuwa watu ambauo wako chini ya
mzanzibar mkaazi je, mtoto huyo miaka 18 wanaweza kumiliki ardhi na kupitia
atamiliki hati ya ardhi. msimamizi wake hadi atakapofikia umri wa
miak 18.
8. Hati ya umiliki kwa maandishi/kimila Taarifa za aina ya hati ziko kwenye sehemu
itachukuliwa kama ni umiliki wa ardhi K ila zitachukuliwa ziwekwe kwenye sehemu
kwa mujibu wa sensa hii H
9. Hati miliki ya Kimila
Hati nyingine za kisheria na Leseni za
makazi ndiyo zichukuliwe kama ni
nyaraka za umiliki
10. Kuna mtu anaishi kwenye nyumba Itafafanuliwa kwenye Sehemu K.
ambayo hana umiliki wa nyumba
wakati wa sensa itakuaje
11. Viashiria ya maswali mawili ya Cross tabulation itafanyika ili kuweza kupata
umiliki wa ardhi kwani program taarifa kwa jinsia
itakwenda kufanya nini kama
kupatikana kwa umiliki wa nyumba
kwa umiliki wa ki gender au
availability ya ardhi
12. Umiliki wa ardhi/matumizi ya ardhi Ni kweli ardhi ni mali ya serikali kisheria.
kwani umiliki ni wa ardhi ni wa nchi. Wananchi ni kama wamepangisha kwa hiyo
wanapewa hati ya kumiliki ardhi kwa muda
maalum km miaka 99, 33 nk
MASWALI YA TEHAMA
13. Swali H04: Vifaa vya TEHAMA ni Lengo la swali ni kwa ajili ya kupata
Zaidi ya hivyo vilivyoorozeshwa. kiashiria cha SDG 5.b.1 kinachotaka umiliki
Nashauri lionengezwe geresho la vifaa wa ‘Mobile phones’ Kwa sasa vifaa vingine
vyengine ili kupata vitavyotajwa vifaa
haviwezi kuingizwa kwenye swali
ambavyo havijaorozeshwa

14. Ikiwa similiki simu ila nimetumia Matumizi ya simu hayajalishi kama unamiliki
simu ya mtoto wangu itakuwa simu. Swali linataka mtu anayetumia simu
nimetumia simu au hata kama hamiliki
15. Maswali ya H03 na H04: Maswali Maswali haya yanaulizwa kwa kifaa kimoja
haya ni ya multiple response hivyo kimoja na karani anatakiwa amsomee kifaa
majibu ya Ndiyo na Hapana kitakwimu kimoja kimoja na aina za matumizi nazo
zinatakiwa zisomwe kwa kila kifaa.
yatakuwa hayana hoja. Napendekeza
kuuongezeke kwa safu wimu E (hajui).
Kama hajajibu popote na akajibu safu
wima E nenda I01

H04 ni vizuri tumsomee aina ya vifaa Lazima umsomee aina zote za matumizi
yaliyotajwa
16. Umiliki wa kifaa cha ofisini nao Jibu ni Hapana kwani kifaa hicho unaweza
uchukuliwe kama mtu anamiliki? ukakirudisha wakati wowote ule ila kwa
upande wa matumizi utaonekana umetumia
kifaa hicho
17. Umri wa wamiliki wa simu sehemu ya Lengo la maswali ya Sehemu ya
demografia kulinganisha na kaya ya demographia ni kwa ajili ya kupata mhimili
bwana matata (yaani miaka 4 mpk 15) wa Sampuli.
sehemu ya demografia
Kwenye TEHAMA ni kwa ajili ya kupata
viashiria vya SDG.
Pia kwenye demographia hatuulizi aina ya
kifaa cha TEHAMA
18. Simu ya kawaida ni ya landline au ya Simu ya kawaida ni simu ndogo wanaita
kiganjani kitochi au kiswaswadu
SEHEMU I: HALI YA UZAZI
1. Swali la I02-I04: Swali liongezwe Yapo ila hayaonekani na kwenye tablet
sehemu ya mageresho ya kiume kike litaulizwa mmoja baada ya mwingine
kwa kuweka safu wima mbili. Vile vile
mageresho haya yafanyike kwa swali la
I05
2. Swali I05: Uzazi miezi 12 iyopita je Wanajazwa wote wawili na itategemea
kama mama amezaa mapacha anaishi nao au sehemu nyingine au amefariki
tutajazaje? Au kama amezaa mapacha Itaongezwa kwenye mwongozo
mmoja amefariki na mmoja yupo hai
au wamefariki wote.
Pia nashauri hili liwekwe kwenye
mwongozo
3. Ikiwa mwanamke kapandikiza mayai Yule aliyemzaa atasema ni wa kwake na yule
yake na mbegu kwa mtu mwengine ila aliyetoa mbegu naye atasema ni wa kwake.
biological mtoto atakuwa wake. Je kwa Hatuna jinsi ya kuzuia na impact yake ni
kesi hii mama huyu atahesabiwa kama ndogo sana na siyo rahisi kusema kuwa
mtoto wake au yule mama aliembebea hajamzaa yeye
mimba
4. Inawezekana ukakutana na wanawake Kuna wakati mwingine unaweza kumweleza
ambao hawataki kutoa taarifa zao. Pg mwenyekiti na wakati mwingine msimamizi.
120 imeeleza kuwa kama kuna Inategemea na aina ya changamoto
changamoto awasiliane na mwenyekiti utakayokutana nayo
ikishindikana aende kwa msimamizi
5. Mwanamke amelala kwa rafiki /ndugu Watoto hawa watajazwa kuwa wanaishi
yake anayeishi Mwanza usiku wa mahali pengine na siyo mahali pale alipo
kuamkia siku ya Sensa na watoto wake mama yao
kawaacha nyumbani kwake
Kilimanjaro. Watoto hao
watachukuliwa kuwa wanaishi naye
pale Mwanza au sehemu nyingine
(Kilimanjaro)
6. Mwanamke anatakiwa kuulizwa Karani atumie mbinu zote ili aweze
maswali ya uzazi lakini hayupo? Je kukamilisha taarifa za mhojiwa hata kwa
unafanyaje ku mskip ili uhoji watu kupiga simu
wengine ambao wapo?
SEHEMU J - TAARIFA ZA VIFO NA VIFO VITOKANAVYO NA
UZAZI KATIKA KAYA

1. Swali la J01: Maelezo ya swali Imerekebishwa kwenye mwongozo


linauliza idadi ya vifo ila uhalisia “Madhumuni ya swali hili ni kutaka
linauliza hali ya vifo kujua iwapo kuna kifo chochote
kilichotokea kwenye kaya husika..
2. Swali la J01: Ikiwa kaya ya mtu Kifo hicho kitarekodiwa kule
mmoja na yeye amefariki na alikozikwa kwa sababu ile kaya
maiti imezikwa mbali kifo hicho haitakuwepo. Karani anatakiwa adadisi
zaidi ili kujua kuwa huyo mtu alikuwa
kitarekodiwa wapi
anaishi peke yake huko alikofia

3. Swali la J05: Je, kama aliyefariki Karani atumie mbinu za kudadisi Zaidi
hajulikani amekufa akiwa na kama tulivyofundishwa kwenye swali
umri gani, tutafanyaje? la umri (B05) ili apate jibu
4. Naomba ufafanuzi wa taarifa za Sehemu I inahusiana na uzazi –
vifo vinavyorekodiwa katika maswali ya I02, I03 na I04 yanatupatia
sehemu I04 (ambayo itajumuisha idadi ya watoto hai waliozaliwa na
mwanamke husika. (kumbuka kuwa,
Watoto wachanga) na vifo katika
I04 haijalishi mtoto amefariki lini).
sehemu (J02) ambavyo pia Sehemu J – ni vifo vilivyotokea
itarekodiwa vifo vya Watoto kwenye kaya katika kipindi cha miezi
wachanga 12 iliyopita. Maswali ya sehemu J
yatatupatia kiwango cha vifo vya
watoto wachanga, vifo vya watoto
chini ya miaka mitano, vifo vya watu
wazima na vifo vitokanavyo na uzazi.
5. Je kifo kilichotokea wakati wa Kifo kitarekodiwa mahali kilipotokea.
kujifungua kitarekodiwa wapi? Je Hivyo kitarekodiwa kwenye kaya
katika kaya yake au kaya alipoenda kujifungua.
alipokwenda kujifungua?
6. Swali la J06: Sababu ya kifo, Ndiyo, geresho la uzazi litatumika kwa
geresho la uzazi, je geresho hili wanawake waliofariki kwa
linahusu mjamzito aliyefariki changamoto za ujauzito, wakati wa
kujifungua na siku 42 baada ya ukomo
kutokana na changamoto za
wa mimba. Maswali ya J07, J08 na J09
mimba ndiyo yatatoa taarifa halisi ya vifo
vitokanavyo na uzazi.

SEHEMU K - TAARIFA ZA HALI YA UMILIKI WA NYUMBA,


VIFAA/RASILIMALI NA UDHIBITI WA MAZINGIRA
Swali la K02: Geresho la 05 na Mikataba (Geresho 05): Watu wawili
07 maelezo yaliyotolewa wanaweza kuuziana na serikali za
hayatofautishi nyaraka hizi, mitaa/kijiji ikashiriki kama mashahidi
mkataba kawaida una muda Nyaraka za Serikali za Mitaa (Geresho
maalum, wakati nyaraka za 07): ni fomu ambayo inatolewa na
mauziano huonesha hamisho la serikali za mitaa/kijiji kama
umiliki kutoka kwa muuzaji makubaliano ya muuzaji na mnunuzi
kwenda kwa mnunuzi kwa jinsi Mwongozo utaboreshwa
ya maelezo hayo yalivyo hakuna
tofauti naomba ufafanuzi
Swali la K02: Naomba uelewa Swali hili litaulizwa kwa kaya ambayo
wa swali la K02 -Haki ya kisheria inamiliki jengo wanaloishi. Hivyo
juu ya umiliki? Kwa mtazamo Karani asisitize kuwa tunahitaji kujua
kama ana haki ya kisheria juu ya ardhi
wangu swali hili ni la jumla sana
ilipojengwa nyumba hiyo wanayoishi.
kiasi kwamba mhojiwa anaweza
kuonesha nyaraka ya nyumba
anayomiliki lakini bado
hajahamia kwenda kuishi, je
majibu kama haya hayataleta
mkanganyiko kwa dhamira ya
swali hili?
Ufafanuzi na taasisi mbili Hizi ni taasisi zinazohusiana na usajili
zimekosekana kwenye muongozo lakini swali la K02 linahitaji kujua
/mageresho kwa wakfu na mali nyaraka mbalimbali za haki ya kisheria
ya amana na taasisi ya wakala wa juu ya umiliki wa eneo ilipojengwa
usajili wa mali na biashara. nyumba wanayoishi.

Swali K02: Kwa Zanzibar hati


zinatolewa na wakfu na mali ya
amana, wakala wa usajili wa
biashara na mali zitawekwa wapi
katika sehemu ya hali ya umiliki
wa nyumba, vifaa/rasilimali na
udhibiti wa mazingira?
Swali la K05: Kama kaya Swali litaulizwa kwenye kila kaya
imepanga basi tuulize makazi
yanayokutikana na kaya hiyo na
siyo nyumba. Hivyo nashauri
liongezwe neno makazi. Hii kwa
mujibu wa utafiti wa umiliki wa
makazi
Swali la K07 (Chanzo cha maji Ni kisima kirefu kinachotumia pampu
ya kunywa) - geresho 05 kisima (inaweza ikawa ya mkono au ya
kirefu cha bomba ni kipi? umeme). Tutarekebisha geresho
naomba maelezo. lisomeke “Kisima kirefu cha pampu
Maksai iwe defined inaweza
kuwa kuna baadhi ya maeneo Tafsiri ya maksai itatolewa. Maksai ni
ng’ombe dume aliyehasiwa na
hawafahamu hilo neno
hutumika kwa kazi kama kulima.

Chanzo cha maji kuletwa Iwapo mhojiwa atakwambia


mkokoteni chanzo chake cha maji ni
mkokoteni na anafahamu maji
hayo yanakopatikana basi jaza
geresho la chanzo alichokutajia. Na
iwapo mhojiwa hafahamu maji ya
mkokoteni yanapatikana chanzo
kipi basi jaza geresho la mkokoteni
ndio chanzo cha upatikanaji wa
maji hayo
Swali la K08 (nishati ya Geresho la Biogas limeongezwa
kupikia): napendekeza geresho la
BIOGAS liongezwe kwenye
swali hili maana ni chanzo
kikubwa sana cha nishati ya
kupikia kwa jamii za wafugaji wa
“zero grazing” na wakulima
Swali la K08-K09:Tunaomba Biogas ni gasi inayotokana na Kinyesi
tofauti kati ya biogas iliyoelezwa cha Wanyama (geresho 5) na geresho
katika swali K09 geresho 5 na la 12 – Kinyesi cha wanyama kinyesi
kinachokaushwa na kinatumika kama
tofauti ya kinyesi cha Wanyama
mkaa (wamasai na wasukuma
K08 geresho 11 wanatumia).

Swali la K10: naomba Geresho 02 - Choo cha kuvuta/Flush


ifafanuliwe tofauti ya geresho 02 kwenda katika tenki la maji machafu
na 03 (septic tank) - Hili ni Karo la maji taka
lililojengewa.
Geresho 03 - Choo cha kuvuta/Flush
kwenda katika shimo lililofunikwa –
Hili ni shimo lililochimbwa na
kufunikwa tu, halijajengewa.
Swali la K11: napendekeza Mageresho haya ndiyo yanayopelekea
kwenye mageresho 01 na 02 kuuliza swali la K12, hivyo ukitaja
liongezeke neno “na mamlaka” mamlaka katika swali la K11
zisomeke
(mageresho 01 na 02) utawakosa wale
01. zinakusanywa na mamlaka
mara kwa mara ambao taka zao zinakusanywa na watu
02. zinakusanywa na mamlaka binafsi.
mara chache
Swali la K12: Katika mwongozo Mwongozo utarekebishwa kwenye
swali la K12, je taka kwenye uk.132
kaya yako zinakusanywa na
mamlaka ipi? Marekebisho
lingeandikwa katika mstari wa
pili kwa swali hili wataulizwa
waliojibu geresho 1 au 2 katika
swali la 11
Swali la K15: Baiskeli ya Kifaa kilicholengwa hapa (K15 – G) ni
magurudumu matatu ya watu Guta na si baskeli za miguu mitatu
wenye ulemavu yawekewe zinazotumiwa na watu wenye
kwenye geresho lake kwani ni ulemavu.
kifaa saidizi kwa wao
kisichanganywe na Guta
Swali la K15: Napendekeza Sw Ni sahihi. Vifaa hivi ni vizima na
K15 kwa vile vifaa ambavyo vitarekodiwa
vinafanya kazi (kwa scenario ya
vifaa ambavyo vipo (mfano Pasi,
friji, blenda) lakini tu kwa kuwa
nishati ya umeme haijaingizwa
kwenye kaya yangu pia
vihusishwe kuwa vinafanyakazi.
Swali la mjumbe kuhusu Ni vizuri kutenganisha kwani inapima
kuunganisha mafuta ya taa kwa inatumika kupima hali ya umasikini.
ujumla wake yaani ameshauri Aidha, kwa upande wa afya kibatari
kuweka mafuta ya taa (karabai,
hutoa moshi unadhuru mapafu na
chemli, kibatari)
Pendekezo: kibatari, chemli, hivyo ni hatari kwa afya ukilinganisha
karabai vyote vinatumia mafuta na chemli au karabai
ya taa lakini huwezi ku- group
indicator 3 na kuzipima kwa
pamoja mageresho hayo yapo
sahihi na yabaki kama yalivyo.
Mwongozo: Katika maswali ya Maelezo yatabaki kama yalivyo.
mazingira tunasimamia na siyo
kudhibiti mazingira
Jengo kuu Ni ile nyumba inayotumiwa na
wanakaya wengi zaidi
Pikipiki ya magurudumu matatu kwa Guta ni baiskeli ya magurudumu matatu
bara inaitwa Toyo na kwa Zanzibar Kwenye mafunzo makarani wafundishwe
tunaita guta. Naomba tuiweke katika vizuri waweze kutofautisha kati ya Toyo na
mazingira yatakayoeleweka kwa pande Guta
zote mbili.
SEHEMU L: KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA MISITU
1. Swali la L01: ufafanuzi upo sahihi Swali linataka kujua iwapo mwanakaya
kwenye muongozo kuwa kilimo cha alijishughulisha na shughuli za uzalishaji wa
mazao kitahusisha mazao ya msimu mazao yawe ya biashara au yasiyo ya
biashara. Kinachotakiwa hapa ni kujua tu
kama mpunga, mahindi nk pamoja na
iwapo mwanakaya kajishughulisha na
mazao ya kudumu ambayo ni kahawa shughuli yoyote ile ya uzalishaji wa mazao
nk hivyo basi, nashauri kwenye mfano bila kujali shamba hilo liko wapi.
uliotolewa darasani makarani
wenzangu walipaswa kuchukua ekari
za mazao ya msimu (3 acres) jumlisha
na zile zilizokuwa na zao la kahawa
(2.5 acres) na hii kufanya jumla ya 5.5
acres na ndio uhalisia tutakaokutana
nao field.
2. Swali la L01: Kwenye sehemu ya Marekebisho yatafanyika na kiboksi cha idadi
kujaza eneo la ardhi lililotumiwa na ya ekari kitawekwa
kaya kwa uzalishaji wa mazao Kwa sasa dodoso litajazwa kwa ajili ya
mazoezi lakini kwenye kishikwambi iko
kuongezwe kiboksi kimoja baada ya
vizuri
desimali (vile viboksi viwili) ili
kuweka kukepcha eneo dogo sana
linalotumiwa na kaya. Mfano: Kaya
ililima mazao kwenye eneo la mita za
mraba 50, hii nis awa ekari 0.0125
3. Swali la L01: Swali lihusishwe mazao Swali limebadilishwa – litasomeka hivi Je,
yote isipokuwa miti ya biashara/ujenzi kaya hii ilipanda/ililima mazao yapi kati ya
na jumla ya ekari zirekodiwe kwenye yafuatayo katika mwaka wa kilimo 2021/22.
Hii itachukua pia mazao ya kudumu na
L02 itajazwa mazao mengine sw L02.
yalioyopandwa kwa muda mrefu
Neno kupanda libadilike liwe ililima
kwani mazao kama mihogo au
ndiziyanaweza kuwa shambani kwa
muda wa zaidi ya mwaka mmoja
4. Mwanakwetu – alijushughulisha na Kama watu ambao kwa kawaida wanaishi
kilimo na alikuwa mgeni kwenye kaya, kwenye kaya hawajishughulishi na kilimo
nashauri aorodheshwe kwenye kaya lakini ikatokea kuna mgeni alilala kwenye
kaya hiyo anajishughulisha na kilimo
yake
ichukuliwe kuwa kaya hiyo haijishughulishi
na kilimo na taarifa za yule mgeni
anayejishughulisha na kilimo zitachukuliwa
kwenye kaya yake. Hii pia ichukuliwe kwa
wanakaya ambao hawakulala pale usiku wa
kuamkia siku ya Sensa lakini
wanajishughulisha na kilimo kaya hiyo
ichukuliwe kama inajishughulisha na kilimo.
Mwongozo utawekwa vizuri ili ijumuishe
wale wanakaya wanaojishulisha na kilimo
hata kama hawakulala hapo.
5. Swali la L02: Kulingana na mfano Mageresho yamebalishwa ili yaweze
uliotolewa, zao la kahawa ni mojwapo kuchukua mazao ya usalama wa chakula na
ya mazao ya asili ya biashara au mazao yale ya biashara yatakuwa kwenye mazao
yasiyo ya chakula
ya kudumu yanayounda makundi sita
ya mazao yanayotambuliwa na wizara
ya kilimo. Hivyo nashauri mazao yote
ya asili ya biashara (kahawa,
chai,korosho, mkonge na miwa)
yahesabike kama ni mazao ya kudumu
na yasihesabike kama ni mazao
kwenye sekta ndogo ya misitu.
6. Swali la L02: liwe mazao ya chakula L01-Ni kilimo cha mazao ya chakula na ya
kwa ajili ya kupata usalama wa chakula biashara
neno geresho la E liandikwe mazao
mengine ya chakula
7. Kuna watu wanalima kwenye green Watu hawa watapatikana kwenye tafiti
house kwenye eneo dogo na wanavuna nyingine za kilimo
sana
8. Swali la L04: mifugo mingine Haiwezekani kuongeza, mifugo
iongezwe kwenye aina ya mifugo bila iliyokusudiwa ni hiyo iliyoko kwenye
kujaza idadi dodoso.
9. Swali la L04: Endapo kaya ina mifugo Itahesabiwa katika kaya ilikolala usiku wa
na ipo kwa mtu mwingine lakini kuamkia siku ya Sensa
tunashirikiana kuwatunza kila siku
hasa kwa kuwapatia maji, chakula, kwa
kupeana zamu. Je mifugo hiyo
itahesabiwa kwa nani? Pale wanapoishi
au watagawanywa?
10. Swali la L04; mifugo mingine Mifugo ni ile ile iliyotajwa
iongezwe
11. Je, kuna maeneo yanakodishwa Mifugo hiyo itahesabiwa kule iliko kwenye
NARCO watu wanakodi na kuweka kaya na swali halihitaji kujua mmiliki
mifugo yao na kila kitalu ni ng’ombe
365. Je mmiliki wa ng’ombe atakuwa
nani na pale kambini kuna mlinzi na
mchungaji?
12. Swali la L05: liongezwe geresho la Kwa kuwa aina ya ufugaji inayotakiwa hapa
ni ile ya kudumu, karani anatakiwa adadisi
ufugaji huria na ndani zaidi kujua ni aina gani kuu kati ya ufugaji
wa huria na ndani
13. Swali la L05: kwenye aina ufugaji Geresho la ufugaji wa kuhama hama
iongezwe ufugaji wa kuhamahama limeongezwa
“pastorism” iwe geresho 4, na lile la
huria/shadidi liwe 5.

Kwa wafugaji wa kuhamahama iwapo


watakuwa kwenye EA wahojiwe idadi
ya Wanyama wao sababu hapo
tunahitaji kuapata idadi ya Wanyama
na si wanakaya na wengine huwa
wanahama na kaya zao

14. Kuhusu kaya zinazotunza Kaya zote ambazo zitasema zinafuga


ng’ombe/Wanyama wa kwenye ranchi ataulizwa aina ya ufugaji
sw L05 wajaziwe geresho 3 hii
itofautishwe na wale Wanyama
waotunzwa kwenye kaya nyingine

15. Swali laL06: Inawezekana kaya Swali hili litaulizwa kwa kila aina ya ufugaji
inatumia zaidi ya aina moja ya ufugaji.
Aina kuu ya ufugaji itakuwaje?
16. Idadi ya mifugo inayofugwa nyumbani Mifugo itakayohesabiwa kwenye kaya
na Ranchi itajumuishwa pamoja? ilipokutwa usiku wa kuamkia siku ya sensa
17. Katika taarifa ya umiliki wa mashamba Shamba la miti ya kuoteshwa/kupandwa ni
ya miti inaelezea mashamba au miti ya lile lisilohusisha miti ya asili na miti ya
matunda isihusishwe kwenye matunda. Mwongozo wa Karani uk.137 wa
kuchukuliwa taarifa. Napendekeza Mwongozo wa Karani
karani especially kwenye maeneo ya
njombe na Mbeya miti ya matunda
kama maparachichi ichukuliwe kwa
sababu ni miti ya matunda na biashara
na matunda haya yanuzwa sana nchi za
nje.
18. Iwapo mimi nimepanda miti ya mpingo Miti ya asili ni ile inayoota yenyewe. Kama
ambayo ni ya asili. Je hii miti mtu amepanda miti ni sahihi ila awe
itachukuliwa kama ni ya kupanda au ya amepanda kwenye shamba lenye ukubwa wa
asili? nusu eka au zaidi
19. Dodoso la makundi maalum liongezwe Wataingia kwenye geresho la ‘Vituo vingine’
kambi za ujenzi kwani kuna kambi
nyingi za ujenzi
20. Nashauri kwenye dodoso liwekwe Ushauri umepokelewa na dodoso
ukubwa wa shamba la miti litarekebishwa
21. Programu ichukue tarehe na jumla ya Programu ndivyo ilivyo
watu katika kaya automatic bila
kuandika
22. Kwenye swali la ufugaji wa nyuki Maswali yanataka kujua tu kama kaya
tuweke na mizinga inajishughulisha na ufugaji. Swali la mizinga
ni swali lingine

You might also like