- Kila kiungo kina kazi yake na ni lazima vyote vishirikiane ili mwili uwe katika hali nzuri. 1. Ulimi (tongue)– kiungo cha kuonjea, kilicho ndani ya mdomo. 2. Meno(teeth) – hutafunia chakula. 3. Ufizi(gum,) – nyama ishikiliayo meno. 4. Utaya (jaw)– mfupa unaoyashikilia meno. 5. Koromeo/umio( oesophogus )– mfereji unaotumikia kuteremshia chakula au kinywaji hadi tumboni. Kifuko kinachotolea mate. 6. Tumbo(stomach) – sehemu ya kupokea chakula na kuanza kukisaga. 7. Uchanga/uchengele/chango (large interstine)– utumbo mwembamba wa kupitishia chakula kilichosagwa. 8. Moyo/mtima (Heart)– kiungo kisukumacho damu ili ienee mwilini. 9. Mshipa (veins)– mrija au mfereji mdogo unaopitisha damu na pia fahamu katika mwili wa kiumbe. 10. Neva (nerves)– mishipa ya fahamu mwilini. 11. Ateri(arteries)– mshipa mkubwa uchukuao damu kutoka moyoni. 12. Pafu/lungs – kiungo kinachotumika kusafishia hewa. Hutoa hewa chafu na kuingiza hewa safi mwilini.
Umilisi katika lugha ya kiswahili,faida za umilisi,Dhana ya utendaji, Mambo ya kuzingatia katika utumizi wa lugha,umbo la ndani na umbo la nje la sentensiDhana ya sarufi zalishi,maana ya sarufi_16993492863...