You are on page 1of 3

1. Maana ya mafanikio kwa maoni yako ?

 Kuwa na maadili sahihi ya kiislamu


 Madaraka , utawala , udhibiti
 Kushika madaraka .
2. Ni mambo yapi yatakayokuwezesha kuhakikisha
mafanikio maishani mwako ?
_ kitu kitakachofanyika
_ kujitegemea ‫االعتماد على النفس‬.
_ jitahada
_ elimu ya kutosha
_ mwenye jitahada.
_
3. Je, kuwa na kipaji / talanta ni sharti la kupata
mafanikio?
_ unamunga mkono ? ‫هل تدعمه‬
_ kuna watu wana kipaji lakini hawatumii kipaji
chao vizuri.
_ kujiendeleza, kujiboresha ‫تطوير الذات‬
Kusonga mbele .
4. Mchezo wa kubahatisha:
 Mimi ni mtu anayetumia misumari na misumeno
Msumeno ‫منشار‬
Karpenta ‫نجار‬
Seremala ‫نجار‬
 Mimi ni mtu anayerekebisha mabomba ya maji na
vyoo
_ fundi bomba
Fundi .
 Mimi ni mtu anayetibu/ anayeuguza wagonjwa?
Daktari, nesi , tabibu .
 Mimi ni mtu anayesimamia timu na kuchagua
wachezaji.
_ kocha , meneja
 Mimi ni mtu anayevua samaki kwa wavu au
ndoano
 Ndoano ‫سناره‬
 Wavu ‫شبكه‬
 Nyavu ‫شباك‬
_ mvuvi , mwana bahari
 Mimi ni mtu anayewinda wanyama
_ mwindaji , Msasi
_ kuwinda ‫يصطاد حيوانات‬

 Mimi ni mtu anayeendesha ndege


_ mwanahewa
_ rubani
 Mimi ni mtu anayeendesha meli ?
_ mwanamaji
_ nahodha .
 Mtaalamu wa kuweka hesabu za fedha.
_ mhasibu.
 Mlinzi wa mlangoni.
_ mlinzi , bawabu .
 Mpakiaji na mpakuaji wa watu au mizigo kama
vile katika gari .
 Mtu anayepiga pasi
 Kupiga pasi ‫يكوي‬
_ dobi ‫مكوجي‬
Mfumuko wa bei ‫تضخم في األسعار‬.
 Kupakia ‫يحمل‬
 Kupakua ‫ينزل‬
 Kondakta , utingo .
(Hakuna marefu yasiyo na ncha . )
_ hakuna kitu kitakachoendelea milele.
 Kuandaa dozi : kujiandaa kwa kiwango kikubwa
.

You might also like