Professional Documents
Culture Documents
Religious Education Class 6
Religious Education Class 6
Maelezo ya Muhimu.
C) hauruhusiwi kuingia na Biblia kwenye Chumba cha mtihani wala Daftari lolote.
SEHEMU A
1. Ibrahimu ni nani?
A. Mwalimu
B. Mtumishi wa Mungu. { }
C. Rafiki wa Mungu
D. Mtoza ushuru
A. Lutu
B. Nuhu. { }
C. Isaya
D. Musa
4. Unadhani kwa nini Mungu alimuamuru Ibrahimu kutoa mwana wake wa pekee kuwa sadaka.?
A. George
B. Fanuel { }
C. Tito
D. Ishmaeli
A. Ibrahimu
B. Isaka { }
C. Ishmaeli
D. Nuhu
A. Mchunguzi wetu
B. Mwombezi wetu. { }
C. Mchungaji wetu
D. Mshauri wa Ajabu.
A. Zaburi 23
B. Kumbukumbu la Torati. { }
C. Mwanzo
D. Maombolezo
10. Kutokana na mpangilio wa Vitabu vya Biblia vifuatavyo ni vitabu Vitano vya kwanza.
A. 5
B. 6
C. 7
D. 10
12. Jua, Mwezi na Nyota viliumbwa siku gani Kati ya siku za uumbaji.
A. Siku ya Kwanza
B. Siku ya Pili
C. Siku ya Nne
D. Siku ya Tatu
A. 3
B. 6
C. 5
D. 2
A. Mito na bahari
B. Uoto wa Asili
C. Samaki na viumbe vya Baharini
D. Wanyama na mwanadamu
SEHEMU: B
Jibu KWELI kwenye Sentensi ya kweli AU SI KWELI kwenye Sentensi ambayo si kweli.
18. Je Mwanzo, Kutoka,Mambo ya Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la Torati ni Vitabu Vitano vya
Kwanza katika Biblia?........................
19. Je ni kweli kwamba Leo tukizishikana kuzitunza sheria za Mungu tutakuwa Wana na Binti
zake?.............................
"Mungu akubariki"