You are on page 1of 5

ELAM CHRISTIAN UNIVERSITY

ECU

P.O.BOX 1917 MBEYA


SHAHADA YA KWANZA NA STASHAHADA YA UZAMILI KATIKA THEOLOJIA

SIFA NA IBADA
KITABU CHA MTIHANI

NAMBA YA USAJIRI…………………………………………………………………………..........

JINA KAMILI……………………………………………………………………………… ………

ANUANI……………………………………………………………………………………………….......

Email …………………………………………………………SIMU …………………………

Alama ulizopata katika somo hili…………………% Daraja………………………

Rudisha mtihani huu kabla ya tarehe

Rudisha mtihani huu kwa anuani ya hapo juu

1
SEHEMU “A” MACHAGULIO

1. Chagua herufi ya jibu sahihi zaidi na kisha jaza katika jedwali lililotolewa hapo chini
i. Katika Agano la kale makuhani walitoka katika kabila la
A. Yuda . B. Benyamini C. Lawi D. Gadi
ii. Kusifu ni udhihirisho wa kupenda na
A. Kuabudu B. Kutukuza C. Kudhimisha D. kupendezwa
iii. Ni ufahamu wa ndani wa stahili kwanza
A. Kuabudu B. kusifu C. kutukuza D. kuimba
iv. Ni mojawapo ya mrejeano mrahisi na wa kawaida kuliko yote kwa ajabu ya Mungu
A. Kusifu. B. Kuimba C. kusujudu D. kuadhimisha
v. Ni aina ya juu ya kusifu
A. Kurukaruka B. kugalagala C. Kucheza D. Kulia
vi. _____ni kunena vema
A. Kuadhimisha B. Kucheza C. kuomboleza D. kusifu
vii. Hugharimu
A. Tendo la kuabudu B. Tendo la kuadhimisha C. Tendo la kusifu D. Tendo la Kusherehekea
viii. Nyimbo za hiari zinazotolewa na Roho Mtakatifu huitwa
A. Pambio B. Tenzi C. Korasi D. Ubeti
ix. Mungu anarejeza _____ kwa watu wake leo.
A. Kucheza B. Kuabudu C. Kusifu D. Kusujudu
x. watu waliogundua ala za muziki na silaha za vita ni watu wa uzao wa
A. Seti B. Methusela C Hamu D. Kaini
Jedwali la majibu ya swali la kwanza
Safu Ya Maswali i. ii. iii. iv. v. vi. vii. viii. ix. x.
Safu Ya Majibu

SEHEMU “B” KWELI AU SIKWELI


2. Ikiwa maelezo ni kweli weka tiki katika chumba cha kweli na ikiwa maelezo si kweli weka tiki
katika chumba cha sikweli
MAELEZO KWEL SIKWEL
I I
i. Kusifu na kuabudu ni maneno mawili tofauti yenye maana moja
ii. Nyimbo za kanisa la awali zilikuwa ni sifa kwa Bwana
iii. Hema ya kukutania hutufundisha utaratibu na maendeleo ya kuabudu
iv. Tendo la kuabudu lilimgharimu Ibrahimu
v. Biblia inaposema msifuni Bwana. Hilo ni pendekezo
vi. Kwa mara ya kwanza neno kuabudu tunalikuta katika Mwanzo 22:10
vii. Kuabudu ni kunena vema
viii. Kuabudu kwanza ni nia ya nafsi
ix. Kusifu ni kuonesha heshima
x. Dhabihu ya sifa ni sawa na kusifu kwa kawaida
xi. Kufurahia katika Bwana pia ni njia nyingine ya kumwabudu Mungu

2
xii. Kwamba Shetani kuugiza jambo hakuna maana kwamba tusifanye lile lililo la asilili
xiii. Kulia sana huleta nguvu katika Bwana
xiv. Kucheza ni aina ya juu ya kusifu
xv. Kusifu ni ufahamu wa ndani wa stahili kwanza
xvi. Mtu mmoja anaweza kuabudu badala ya mtu mwingine
xvii. Dini hukandamiza
xviii. Kikwazo cha kwanza cha kusifu ni mila na desturi
xix. Somo la kusifu na kuabudu ni ni hoja mojawapo muhimu kuliko zingine zote katika Biblia
xx. Neno Kuhani katika Agano jipya huhusisha wale wenye daraja takatifu la Ukweli (wachungaji)

SEHEMU “C” KUOANISHA


3. Oanisha kati ya orodha A na orodha B kwa kujaza katika jewali lililotolewa hapo chini mara
baada ya jedwali la maswali.
ORODHA A ORODHA A
i. Ecclesia A. Pleeroo
ii. Kutoa sauti dhahiri B. Kuinua mikono
iii. Neno la kigiriki lenye maana ya furaha C. Yadah
iv. Ishara ya kujisalimisha D. Kulia
v. Mkazo upo katika kuimba E. Tehilah
vi. Ishara ya heshima F. Kupiga makofi
vii. Kutoa ukiri wa shukrani G. Hallal
viii. Aina ya juu ya kusifu H. Kusimama
ix. Ishara ya kuonesha kibali I. Shabach
x. Kukunjua mikono katika kusujudu na kutoa shukrani J. Kucheza
xi. Ishara ya heshima na adhimu K. Barak
xii. Sherehe ya kutoa shukrani kwa kumaliza kuvuna L. Agalliao
xiii. Kwaweza kuwa itikio la kumsifu Mungu M. Towdah
xiv. Sauti ya shangwe N. Kuinama
xv. Ni kupenda kumstahi Mungu O. Shachah
xvi. Kupiga magoti kusujudu P. Kuabudu
xvii. Neno lenye maana ya wokovu Q. Hilluwi
xviii. Kusujudia kwa heshima ya mfalme au Mungu R. Yeshuah
xix. Kumsifu Mungu kwa ala za muziki S. Zamar
xx. Sisi tumetimilika T. Kanisa

Orodha A i. ii. iii. iv. v. vi. vii. viii. ix. x. xi. xii. xiii. xiv. xv. xvi.xvii.
xviii.xix.xx.
Orodha B

SEHEMU D. MAELEZO MAFUPI

4. Eleza kwa kifupi maana ya istilahi zifuatazo

3
i. Kusifu………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
ii. Kuabudu……………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
iii. Kuadhimisha…………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………
iv. Kusujudu……………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
v. Unabii………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
vi. Tenzi za Rohoni………………………………………………………………..…………………………...
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
vii. Muziki………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
viii. Kuhani………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
ix. Takasa……………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
x. Tukuza………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU “E” MASWALI YA KUTAJA

5. Toa sababu tano kama ulivyojifunza katika somo hili kwanini tunapaswa kumsifu Mungu ?
i. ………………………………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………………………………
iii. ………………………………………………………………………………………………………
iv. ………………………………………………………………………………………………………
v. ………………………………………………………………………………………………………

6. Ainisha sifa tano wanazopaswa kuwa nazo viongozi wa ibada ya kuabudu

4
i. ………………………………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………………………………
iii. ………………………………………………………………………………………………………
iv. ………………………………………………………………………………………………………
v. ………………………………………………………………………………………………………
7. Muziki una umuhimu gani katika kusifu na kuabudu (toa sababu tano )
i. ………………………………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………………………………
iii. ………………………………………………………………………………………………………
iv. ………………………………………………………………………………………………………
v. ………………………………………………………………………………………………………
8. Namna gani kusifu kunaleta Baraka kwa Mungu (toa hoja tatu)
i. ………………………………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………………………………….
iii. ………………………………………………………………………………………………………
9. Ainisha vikwazo vikubwa viwili vya kumsifu Mungu
i. ………………………………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………………………………….

You might also like