Professional Documents
Culture Documents
Mkataba Wa Kupangisha Chumba Cha Biashara
Mkataba Wa Kupangisha Chumba Cha Biashara
Kwa thamani ya Tsh ……………………… kwa kila mwezi. Hivyo atalipia Tsh …………………… ambayo ni kodi ya
Miezi …………………….. Ambayo itaanzia Tarehe …………………………… hadi Tarehe …………………………………..
1. Umeme ni wakuchangia, iwapo utajitokeza usumbufu kwa mchangiaji basi atakatwa kwenye
chumba husika na gharama zitamuhusu mwenye nyumba.
2. Usafi wa chumba ndani na nje ni muhimu kila siku.
3. Mwisho wa tarehe ya mkataba ndio mwisho wa kumiliki chumba, ukitaka kuendelea utasaini
mkataba mwingine.
4. Uharibifu wa aina yeyote ile basi mpangaji atagharamia ukarabati wote.
5. Kupanda kwa bei ya kupangisha kutaendana na hali ya Uchumi na mmiliki wa nyumba atatoa
taarifa mapema yaani miezi mitatu kabla ya kodi kupanda.
KATI YA
JACKSON LIMBI
(MPANGISHAJI)
NA
UMETAYARISHWA NA:
ERICK CHRISTOPHER(WAKILI)
SOSTA’ADVOCATES
MKAMBA HOUSE-UHINDINI
S.L.P 17099,
DODOMA.
Phone;O684549556/O756293627