Professional Documents
Culture Documents
Kando Ya Jehanamu
Kando Ya Jehanamu
“Na shoka limekwisha kuwekwa penye mashina ya miti,basi kila mti usiozaa matunda
mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”(Mathayo 3:10)
Mashahidi wa uongo
Wanaonyanyasa maskini
Wasiotaka kulipa madeni/matapeli
Wanaowazuia watu kufanya ibada kwa Mungu
Wanaokula rushwa
Wasiotunza miili yao
Wasengenyaji wote
Wanaoimba nyimbo za upuuzi/dhihaka (zaburi 69:12,Amosi 6:5)
Wezi wote wa zaka na sadaka
Wachawi
Wazinzi,waasherati na mashoga
Mafisadi wote
Wazushi wote
Walevi na wasio na kiasi wote
Wauaji
Wanaopenda mizaha wote
“Katika kila kizazi nuru na fursa hutolewa kwa watu,wakati wa matazamio ambao
wanaweza kufanya maafikiano na Mungu.Lakini kuna kikomo cha neema hii.Rehema
inaweza kusihii kwa miaka mingi na ikakataliwa,na unakuja wakati ambao rehema ya
Mungu hukoma kuita.Moyo hufanywa kuwa mgumu na unakoma kuitikia sauti ya
Roho Mtakatifu.Ndipo sauti ya upole ya kuwasihi wenye dhambi watubu
hukoma.”(Tumaini la Vizazi Vyote,sehemu ya pili,toleo la Kiswahili,Uk 192)