Simu: +255-22-28662796/97 DAR ES SALAAM Nukushi: +255-22-2865835 TANZANIA TANZANIA Barua pepe: info@temesa.go.tz Tovuti: www.temesa.go.tz 22/02/2019
TAARIFA KWA UMMA
Huduma za kivuko katika Mto Ruvuma zinazotolewa na kivuko
cha MV. Kilambo kati ya Kilambo Mtwara na Namoto upande wa Msumbiji zilizokuwa zimesitishwa kwa muda kwa sababu za kiusalama kutokana na kufurika kwa mto huo zimeanza kutolewa leo Tarehe 22/02/2019.
Kivuko kimerejea kutoa huduma baada ya hali ya Mto kurejea