Professional Documents
Culture Documents
Maombi Ya Kuvunja Familia Isiyo Na Afya Na Mafungo Mengine
Maombi Ya Kuvunja Familia Isiyo Na Afya Na Mafungo Mengine
Ninajitenga nafsi yangu, akili, nafsi na mwili na kila mchungaji asiye stahili
(aliyeniwekea mikono).
Katika jina la YESU KRISTO, ninavunja mahusiano yote yasiyofaa yaliyowekwa
katika maisha yangu kutokana na kuwekewa mikono ya huyo mchungaji.
Kwa jina la YESU KRISTO, ninawahukumu na kuwafukuza pepo wote wabaya
walionifuata hadi leo ili kunishika mtu wangu kwa sababu ya kuwekewa
mikono.
~3~
YESU KRISTO.