You are on page 1of 1

Ee BWANA, WEWE UNAYO MANENO

Psaume après le 6ème lecture ZABURI:18,8,9,10,11.

       
Arsène MATABARO

        
                 
 = 70

 

              
        
Ee Bwa na we we u na Yo ma ne no Ya u zi ma wa ni le le

Bwa na we we u na Yo ma ne no Ya u zi ma wa mi le le

                     
   
Bwa na we u na Yo ma ne no Ya u zi ma wa mi le le

       
        
5

1.Sheriya ya Bwana ni kamilifu,


ya tuliza roho;
mafundisho ya Bwana ni imara,
ya mletea mjinga elimu.

2.Amri za Bwana ni za haki,


zafuraisha moyo,
agizo la Bwana ni safi
layatiya macho mwangaza.

3.Ibada kwa Bwana ni safi,


yadumu hata milele;
hukumu za Bwana ni kweli,
zote za haki kamili

4.Zatamanika kuliko zahabu,


kuliko wingi wa zahabu safi,
ni tamu kuliko asali,
kuliko mavuno ya uki.

Chorale Notre Dame de la Miséricorde,Aumônerie Cath HPGRB Mars 2023

You might also like