You are on page 1of 12

Muunganiko wa shule na nyumbani

(Linking the school and home)


• Ushirikiano wa walimu na wazazi
huunganisha mazingira mawili muhimu ya
kujifunzia (shule na nyumbani)

• Je ni kwa kiasi gani watoto huweza


kujifunza au hufanya homework nyumbani?
• Je wanaweza kupata mazingira rafiki ya
kujifunzia nyumbani?
Wajibu na nafasi ya mzazi/mlezi

• Je mzazi ni mwalimu? Kwanini?


Mzazi ni mwalimu wa kwanza wa
mtoto: hivyo anaowajibu muhimu
sana ktk maendeleo ya mtoto
kitaaluma na kijamii.
• Je, mzazi ana
wajibu gani?
Mzazi anawajibu wa:
• Kuandaa mazingira rafiki ya kusomea
mtoto nyumbani ambayo:-
Yanautulivu unaoruhusu kusoma
Yanamwanga wa kutosha
Yanahalijoto na hewa yakutosha
Yanaruhusu mtoto kukaa na
kuandika vizuri (kiti na meza)
Mzazi anawajibu wa:
• Kusimamia ratiba ya kujisomea mtoto
awapo nyumbani
• Kumsaidia mtoto kufanya kazi za shule
(pale anapokwama)
• Kuwasiliana na mwalimu kuhusu
maendeleo ya mtoto ( endapo kuna
changamoto zozote, mafanikio
anayoyaona nk.)
Wajibu wa Mwalimu
Wajibu wa mwalimu
• Kuandaa malengo sahihi ya kazi
inayotolewa(Home-based Assessment
Packages for Learning)

Swali:
Yapi yanaweza kuwa malengo ya
homework (Home-based Assessment
Packages for Learning)?
Wajibu wa mwalimu
• Kuandaa kazi (Home-based Assessment
Packages for Learning)
• Kutoa maelekezo ya jinsi ya kufanya kazi
iliyotolewa
• Kuwasiliana na mzazi na mwanafunzi kila
mara
• Kutoa na kupokea mrejesho kutoka kwa
mwanafunzi na mzazi/mlezi
• Je ni mrejesho wa aina gani walimu
huwa wanatoa?
Wajibu wa Mwanafunzi
• Kupokea na kuelewa maelekezo ya nini
anatakiwa kufanya
• Kumuuliza mwalimu au mzazi pale
anapokwama
• Kushiriki kikamilifu katika kufanya kazi
alizopewa na kujisomea
• Kutoa na kupokea mrejesho kutoka kwa
mwalimu na mzazi/mlezi
Thank you all!!!

You might also like