You are on page 1of 3

KUMBUKIZI YA MAREHEMU EDWARD S KALOLE

MAHALI: KIJIJI CHA IHALIMBA


TAREHE 30/05/2023, SIKU YA JUMANNE
RISALA FUPI KWA MGENI RASMI.
1. UTANGULIZI
 Ndugu mgeni Rasmi, Ndugu Meneja wa Misitu Tarafa ya tatu,
Ndugu Mwenyekiti wa kijiji cha Ihalimba, Ndugu Mtendaji wa
Kijiji cha Ihalimba, Ndugu wafanyakazi wa misitu tarafa ya tatu,
Ndugu wanakijiji cha Ihalimba, Ndugu wageni waalikwa wote,
Ndugu marafiki wa Marehu Edward Simon Gavambale Kalole na
wanafamilia wote. Kamwene, Mnoge yi-nyenye, Bwana yesu
asifiwe, Tumsifu yesu kristo, Asalam Aleikum. Wakubwa kwangu
wote shikamooni, na wa rika langu mambo vipi, wadogo kwangu
hamjambo, nawakaribisha sana Katika Kumbukizi na Kuenzi
maisha ya mpendwa wetu Marehemu Edward Simon Gavambale
Kalole.

 Ndugu mgeni Rasmi: Kwa heshima kubwa napenda kukushukuru


wewe kwa dhati kwa kukubali kuwa mgeni rasmi katika hafla hii
ya kuenzi Maisha ya Marehemu Edward Simon Gavambale
Kalole. Pia, natambua na kukupongeza kwa kazi kubwa
unayoendelea kuitendea kata yetu pamoja na Taifa kwa ujumla,
inguluvi ye-yina mbefili yikukwamilage ili watanzania waweze
kuendelea kulijenga Taifa vema kupitia utendaji wako adhimu.
 Ndugu mgeni Rasmi: shule ina miundo mbinu ya kisasa na ya
kutosha .Shule ina jengo la utawala lenye sifa za viwango vya
juu .Shule ina madarasa 14 ambayo mpaka sasa yanayotumika ni
tisa na mengine matano yapo hatua za mwisho kukamilika ,Shule
ina vyoo vya kisasa kwa wanafunzi wote yaani wanafunzi
jumuishi.
 Ndugu mgeni Rasmi :shule ina uzio, unaofanya shule iwe salama
, kwa wakati wote.Shule ina viwanja kwa ajili ya michezo kwa
watoto.

MAFANIKIO.

 Ndugu mgeni Rasmi :shule imefanikiwa kutoa elimu bora kwa


watoto ,kwasababu ya kuwa na walimu bora na watumishi bora
sana kwa kila idara.
 Ndugu mgeni Rasmi: shule ya msingi Jordan imefanikiwa
kuwafundisha wanafunzi kwa ufasaha na matokeo yake ,watoto
wanakuwa mfano huko mitaani.
 Ndugu mgeni rasmi: shule ya msingi Jordan imefanikiwa
kufanya mitihani ya kitaifa ambapo wanafunzi wake wamefaulu
kwa daraja A.
CHANGAMOTO.
 Ndugu mgeni Rasmi: shule ina changamoto ya ukumbi kwaajili ya
wanafunzi kutumia wakati wa chakula ,mikutano, michezo ya ya
ndani na sherehe mbalimbali zinazohusu shule kama vile ;Mahafali
ya kumaliza darasa la saba na mahafali kama ya siku ya leo. Japo
kwa sasa tumeanza hatua ya msingi .
 Ndugu mgeni Rasmi:katika ujenzi wa bweni tumefikia hatua ya
boma
 Ndugu mgeni Rasmi: shule ina upungufu wa vifaa vya michezo
ususani mpira wa pete (netball) , mpira wa miguu, na mpira wa
mikono (basketball)
SHUKRANI.
 Nawashukuru Wazazi wote kwa kuiamini Jordani na kuichagua
Jordani, kuwa ni shule bora kwa watoto wao nawashukuru sana,
kwa uamuzi wenu huo .
 Nawashukuru walimu wote waliohusika kuwafundisha na
kuwaandaa watoto mpaka kufika siku ya leo wakiwa tayari ni
watarajiwa wa darasa la kwanza mwaka 2023.
 Nawashukuru sana,bodi ya wakurugenzi kwa ushirikiano wao wa
kutuandalia na kufanikisha mahafali ya siku ya leo.
 Tunakushukuru sana Mgeni Rasmi kwa kukubali kuja kushiriki
nasi siku ya leo katika mahafali hii ambayo ni muhimu sana kwa
watoto wetu .
 Mwisho: Nawakaribisha sana wazazi wote kwa mwaka wa
masomo 2023.Hapa ndipo mwanao atakaposoma na kupata ufaulu
wa daraja A.
 Mwisho kabisa:Nikuombe mkurugenzi mkuu wa Jordan ,uweze
kumwinua mgeni Rasmi ili aweze kusema machache.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.

You might also like