You are on page 1of 1

 

MKATABA WA KUPANGISHA CHUMBA CHA BIASHARA.BAINA YABi.


AZARIA THOMAS WA MWANZA TANZANIA,
 Ambaye katika mkataba huu atajulikana kama mwenye nyumba (Mpangis
haji),na __________________________________ ambaye katika Mkataba
huuatajulikana kama Mpangaji.Mpangaji amekubali kupanga kwa
makubaliano haya yafuatayo:-
1. Kuanzia leo tarehe ___________ mwezi __________ mwaka ________
_____ hadi tarehe ______________________
2. Mpangaji atalipa kodi ya pango _____________________________
kwamaneno
____________________________________________________ambayo
italipwa kwa mkupuo mmoja wakati wa kuthibitisha.
3. Mpangishaji akishapokea fedha lazima atoe Stakabadhi
kuonyeshaamepokea fedha.
4. Gharama za kodi zinaweza kubadilika muda wowote kwa
kupewa taarifana Mpangishaji.
5. Kodi iliyokwishalipwa hairudishwi endapo utavunja Mkataba
mwenyeweMpangaji.
6. Mpangaji haruhusiwi kupangisha chumba alichokipanga au
kumwachiamtu mwingine wakati wa mkataba wake bila ruhusa ya mwenye
nyumba.
7. Mpangaji atatakiwa kutunza mazingira ya chumba na vitu vyote kwa
wakatimmoja (usafi).
8. Usiweke kitu chochote bila ruhusa.
9. Ifikapo mwisho wa mkataba mpangaji atakabidhi chumba husika
kwenyenyumba kikiwa katika hali ya usafi kama ulivyokabidhiwa wakati
wakuingia.
10. Kama utaendelea na mkataba mpya utamjulisha mwenye nyumbana
kama hauendelei pia utamjulisha mwenye nyumba.Kwa kuthibitisha
mkataba huu kwa pande zote zinaweka sahihi zao kwamakubaliano yote
yaliyoandikwa kwenye mkataba kwa hiari yao.Jina kamili la mwenye
nyumba
Bi. AZARIA THOMAS
 Sahihi _____________________ Tarehe _____________________Jina
kamili la Mpangaji
___________________________________________Sahihi ___________
__________ Tarehe _______________________ Anatambulika biashara
yake ni ___________________________

You might also like