You are on page 1of 2

HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

MTIHANI WA KUJIPIMA MUHULA WA PILI 2022

SOMO: SAYANSI: DARASA LA TATU.

1: Jibu swali la i hadi x kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.


i. Ipi kati ya hizi ni aina ya maada ? a) kimiminika b) kinywa c) umbali

ii. Chanzo cha asili cha nishati ya joto ni _____ a) umeme b) jua c) chemli

iii. Sifa mojawapo ya mwanga ni ____ a) kuzimika b) kumulika c) kusafiri katika mstari mnyoofu.

iv. Kuna makundi ____ ya vipimo. a) mawili b) matatu c) matano

v. Kuna aina ____ za maada. a) mbili b) tatu c) nne

vi. Chanzo cha nishati ya mwanga ni ? a) kurunzi b) pasi c) birika

vii. Yupi ni mdudu hatari kati ya hawa wafuatao? a) nyuki b) panzi c) kumbikumbi

viii. Kipi ni chakula cha wanga kati ya hivi ? a) ugali b) mtindi c) mayai

ix. Chanzo cha vitamini ni pamoja na ____ a) chapati b ) embe c) nyama

x. Faida ya matumizi ya simu ni _____ a) kunyoosha nguo b) kurahisisha mawasiliano c) kutibu


magonjwa.

2: Oanisha maneno kutoka kifungu A na B ili kupata maana katika swali la i hadi vi
NA KIFUNGU A KIFUNGU B
i. Huduma ya kwanza A: nge na kipepeo
ii. Baadhi ya wadudu wenye sumu B: Mpeleke aliyejeruhiwa hospitalini au kwenye
zahanati.
iii. Vifaa vya huduma ya kwanza kwa C: Kupunguza maumivu na kuokoa maisha.
aliyeumwa na mdudu mwenye simu
iv. Baada ya kutoa huduma ya kwanza D: Nyuki na tandu
v. Huduma ya kwanza hutolewa ili _ E: mtu yeyote
vi. Huduma ya kwanza inaweza kutolewa na F. wembe, pamba, spiriti na glovu
G: Maji ya kitunguu swaumu na jivu
H: Ni msaada unaotolewa kwa majeruhi kabla ya
kwenda hospitalini
I: Mpeleke aliyejeruhiwa nyumbani
A B
3: Tumia picha ifuatayo kujibu swali la i hadi v
i. Mdudu aliyeoneshwa kwa herufi A anaitwa ____ C
ii. Kitu kilichooneshwa kwa herufi B ni _____
iii. Kiumbe hai aliye oneshwa kwa herufi D
hujongea kwa kutambaa ardhini, je anaitwaje? ____ E D
iv. Herufi C inaonesha kifaa kinachotumika kila siku
katika mazingira yetu. Je kifaa hicho huitwa ____
v. Kazi ya kifaa kilichooneshwa kwa herufi C ni ____
4: Jaza nafasi zilizo wazi katika swali la i hadi iv
i. Utumbo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni ____
na ____
ii. Aina mbili za simu ni _____ na _____.
iii. Taarifa iliyohifadhiwa kwenye jalada au kwenye kompyuta huitwa ____
iv. Kiumbe hai akikosa hewa nini kitatokea ? ____

You might also like